Azam wamenyanyasika kwa kweli duh! siyo kwa mpira uleKuna Shabiki wa Yanga damu alikuwa anaangalia mpira kwa kweeli kwa mpira wa leo simba vs azam daah, Jamaa kakiri Simba ni level nyingine+Jamaa wa najua mpira.
This is SIMBA
Tulia ulambe dawa
Tako moko fc aka pigwa bomba fc.Kuna Shabiki wa Yanga damu alikuwa anaangalia mpira kwa kweeli kwa mpira wa leo simba vs azam daah, Jamaa kakiri Simba ni level nyingine+Jamaa wa najua mpira.
This is SIMBA
Tulia ulambe dawa
Huyo jamaa ni boga kama we, hajui lolote..Kuna Shabiki wa Yanga damu alikuwa anaangalia mpira kwa kweeli kwa mpira wa leo simba vs azam daah, Jamaa kakiri Simba ni level nyingine+Jamaa wa najua mpira.
This is SIMBA
Tulia ulambe dawa
Hapo hakuna mwenye marinda hata mmojaTuweke kumbukumbu sawa
View attachment 1495556
😄😄😄Hapo hakuna mwenye marinda hata mmoja
Nini maana ya kibonde?, Hivi kwa miaka minne iliyopita Nani kamfunga mwenzake mara nyingi?, kumbu kumbu zangu zinaonyesha Yanga kamfunga Simba mara moja tu, lakini Yanga kafungwa mara 5.Sijui kwanini Simba huwa ni kibonde kwa Yanga.
TulikwambiaSasa ni rasmi Simba itakumbana na Yanga katika nusu fainali ya Azam Cup. Ni baada ya Simba kuishinda Azam mabao 2-0 hivipunde.
Nawatahadharisha watani zetu wa Simba, mtajuta kuifahamu Yanga na kushinda leo. Tutawatandika tena bila huruma. Mtafute sare!
Kila mara huwa nawaambia watani zangu Simba kuwa Yanga aweza kuwa kibonde kwa wote lakini si kwa Simba. Hadi hapo, Yanga tumeshajihakikishia mashindano ya kimataifa.
Subirini muone mbungi!
Huko waliko leo ni wachungu utadhani wagonjwa wa HIVTulikwambia
Uzuri thread ni yako.
Haya karibu tujadili.
Kweli umeamua kufukua makaburi sasa hivi utopolo wote wamezima dataTulikwambia
Uzuri thread ni yako.
Haya karibu tujadili.
Wajinga sana hawaKweli umeamua kufukua makaburi sasa hivi utopolo wote wamezima data
You were right.Sio kila siku ni sikukuu mkuu,mlivyobahatisha siku ile msidhani itajitudia tena,siku hiyo tunawabaka kabisa sio kuwafunga tu,ni suala la muda tu,ila ukweli wa nani mkali utajidhihirisha siku hiyo,na ndio siku tutakayosheherekea rasmi ubingwa wetu wa mara ya 3 mfululizo.
Hebu rudia tenaSasa ni rasmi Simba itakumbana na Yanga katika nusu fainali ya Azam Cup. Ni baada ya Simba kuishinda Azam mabao 2-0 hivi punde.
Nawatahadharisha watani zetu wa Simba, mtajuta kuifahamu Yanga na kushinda leo. Tutawatandika tena bila huruma. Mtafute sare!
Kila mara huwa nawaambia watani zangu Simba kuwa Yanga aweza kuwa kibonde kwa wote lakini si kwa Simba. Hadi hapo, Yanga tumeshajihakikishia mashindano ya kimataifa.
Subirini muone mbungi!
Unasemaje???Sijui kwanini Simba huwa ni kibonde kwa Yanga.
Sijui kwanini Simba huwa ni kibonde kwa Yanga.