Simba itajuta kuifahamu Yanga, itajuta kuifunga Azam leo

Kuna Shabiki wa Yanga damu alikuwa anaangalia mpira kwa kweeli kwa mpira wa leo simba vs azam daah, Jamaa kakiri Simba ni level nyingine+Jamaa wa najua mpira.
This is SIMBA
Tulia ulambe dawa
Azam wamenyanyasika kwa kweli duh! siyo kwa mpira ule
 
Kuna Shabiki wa Yanga damu alikuwa anaangalia mpira kwa kweeli kwa mpira wa leo simba vs azam daah, Jamaa kakiri Simba ni level nyingine+Jamaa wa najua mpira.
This is SIMBA
Tulia ulambe dawa
Tako moko fc aka pigwa bomba fc.
 
Kuna Shabiki wa Yanga damu alikuwa anaangalia mpira kwa kweeli kwa mpira wa leo simba vs azam daah, Jamaa kakiri Simba ni level nyingine+Jamaa wa najua mpira.
This is SIMBA
Tulia ulambe dawa
Huyo jamaa ni boga kama we, hajui lolote..
Hebu tuwaoneshe 11 july.
Kwanza ile Tabia yenu ya kong'oa viti bado mnayo.?
 
Sijui kwanini Simba huwa ni kibonde kwa Yanga.
 
Sijui kwanini Simba huwa ni kibonde kwa Yanga.
Nini maana ya kibonde?, Hivi kwa miaka minne iliyopita Nani kamfunga mwenzake mara nyingi?, kumbu kumbu zangu zinaonyesha Yanga kamfunga Simba mara moja tu, lakini Yanga kafungwa mara 5.
 
Tulikwambia
Uzuri thread ni yako.
Haya karibu tujadili.
 
You were right.
 
Hebu rudia tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…