Simba itapata Sare na Mashujaa

Simba itapata Sare na Mashujaa

Lefa katimiza maelekezo
Yule ndio Refa wa Simba wa mechi za Mikoani, Anaitwa Mdoe wa Tanga.
Alianza na Dodoma JiJi dhidi ya Simba Leo alikua kati Mashujaa dhidi ya Simba.
 
Yule ndio Refa wa Simba wa mechi za Mikoani, Anaitwa Mdoe wa Tanga.
Alianza na Dodoma JiJi dhidi ya Simba Leo alikua kati Mashujaa dhidi ya Simba. Ni refa wa Simba katika mechi za ki mkakati.
 
Yule ndio Refa wa Simba wa mechi za Mikoani, Anaitwa Mdoe wa Tanga.
Alianza na Dodoma JiJi dhidi ya Simba Leo alikua kati Mashujaa dhidi ya Simba.
Yupo kimkakati zaidi halafu timu zingine zizipo lalamika kuhusu trend za marefa wanaochezesha mechi za simba hakika itwagharimu maana makosa ya kibinadamu.kwenye mechi za simba ni mengi na yote yanamnufaisha simba.
 
Yupo kimkakati zaidi halafu timu zingine zizipo lalamika kuhusu trend za marefa wanaochezesha mechi za simba hakika itwagharimu maana makosa ya kibinadamu.kwenye mechi za simba ni mengi na yote yanamnufaisha simba.
Leo lefa amefanya kosa gani?
 
Habari.

Sina Mda kuanza kutoa takwimu Mara kuchambua Mchezo wa Leo Ili kuthibitisha hio heading ya Uzi.

Ila hizi ni hisia zangu tu..Narudia hizi ni Hisia Zangu sio kimbinu wala Nini!

Simba at Draw Leo na Mashujaa.

Good morning 🇵🇹
Umeyaonamatokeo?
 
IMG-20190119-WA0045.jpeg
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
JamiiForums1222824732.jpeg
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu) View attachment 3141415
na huyu naye anajiita ana familia 😂😂😂
 
Ilikua draw ila refa mpumbavu sana
Goli lilifungwa dakika ya 96+
Muda wa nyongeza ulikuwa dakika 6.
Katika huo muda wa nyongeza golikipa wa Mashujaa alilala kama kaumia kwa dakika 3.
Sasa kosa la mwamuzi lilikuwa ni nini ?
 
na huyu naye anajiita ana familia 😂😂😂
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
JamiiForums-31645776.jpeg
 
Back
Top Bottom