Simba jiandaeni kuotesha kichaka kingine cha kujifichia dhidi ya Yanga

Simba jiandaeni kuotesha kichaka kingine cha kujifichia dhidi ya Yanga

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Imekuwa wimbo na ngonjera zinazoimbwa na mashabiki wa Simba kila mara Yanga inapofanya vizuri dhidi yao au michuano ya ndani ya kwamba, Yanga haiwezi michuano ya kimataifa na wao wamewekeza uko.

Sasa ni dhahiri shahiri kichaka hicho kinaanza kufyekwa taratibu na kitafyekwa kabisa siku siyo nyingi kwa mipango madhubuti ambayo timu ya wananchi wanayo kwa sasa kuelekea hatua ya makundi ambayo itaanza mwezi wa 2.

Kwa mipango iliyopo ikiwemo kuboresha kikosi dirisha dogo kwa kunasa vifaa vya nguvu, nawaona Yanga wakiendelea kuwa bora kwenye hii michuano na sitoshangaa wakiivunja rekodi ya Simba ya kuishia robo fainali.

Siongei kwa kubahatisha bali naongea kwa kujiamini na mipango iliyopo kwa sasa, Yanga walikuwa wanahitaji sana wafuzu makundi ili wajipange vizuri kwa kuwa kuna kama miezi 3 kabla ya hatua ya makundi kuanza rasmi. Hivyo kuna mwanya wa kufanya usajiri dirisha dogo kuboresha maeneo muhimu.

Kwa maana hiyo naiona Yanga ikienda kutawala soka la ndani na nje ya nchi muda siyo mrefu, kwakuwa ni timu inayojengeka kwa kasi kubwa ikichagizwa na uwekezaji usiyokuwa na changa la macho wala ujanja ujanja.

Hii post itakuja kukumbukwa iheshimiwe.
 
Tulishasema tunakwenda kufyeka vichaka vyote na kuvipiga moto. Yanga Kwa Sasa tungekua mbali sana, walipo mfanyia hujuma Manji kupitia Makonda walivuruga sana timu na mipango yetu.

Mungu mkubwa GSM wamekuja, Upo uwezekano mkubwa wakufikia malengo yetu kwakua viongozi tulionao ni vijana na Wana njaaa ya mafanikio.
 
Imekuwa wimbo na ngonjera zinazoimbwa na mashabiki wa Simba kila mara Yanga inapofanya vizuri dhidi yao au michuano ya ndani ya kwamba, Yanga haiwezi michuano ya kimataifa na wao wamewekeza uko.

Sasa ni dhahiri shahiri kichaka hicho kinaanza kufyekwa taratibu na kitafyekwa kabisa siku siyo nyingi kwa mipango madhubuti ambayo timu ya wananchi wanayo kwa sasa kuelekea hatua ya makundi ambayo itaanza mwezi wa 2.

Kwa mipango iliyopo ikiwemo kuboresha kikosi dirisha dogo kwa kunasa vifaa vya nguvu, nawaona Yanga wakiendelea kuwa bora kwenye hii michuano na sitoshangaa wakiivunja rekodi ya Simba ya kuishia robo fainali.

Siongei kwa kubahatisha bali naongea kwa kujiamini na mipango iliyopo kwa sasa, Yanga walikuwa wanahitaji sana wafuzu makundi ili wajipange vizuri kwa kuwa kuna kama miezi 3 kabla ya hatua ya makundi kuanza rasmi. Hivyo kuna mwanya wa kufanya usajiri dirisha dogo kuboresha maeneo muhimu.

Kwa maana hiyo naiona Yanga ikienda kutawala soka la ndani na nje ya nchi muda siyo mrefu, kwakuwa ni timu inayojengeka kwa kasi kubwa ikichagizwa na uwekezaji usiyokuwa na changa la macho wala ujanja ujanja.

Hii post itakuja kukumbukwa iheshimiwe.
Kwani haya wamefanikiwa? Si wao walisema hii ni michuano ya waliofeli
 
Imekuwa wimbo na ngonjera zinazoimbwa na mashabiki wa Simba kila mara Yanga inapofanya vizuri dhidi yao au michuano ya ndani ya kwamba, Yanga haiwezi michuano ya kimataifa na wao wamewekeza uko.

Sasa ni dhahiri shahiri kichaka hicho kinaanza kufyekwa taratibu na kitafyekwa kabisa siku siyo nyingi kwa mipango madhubuti ambayo timu ya wananchi wanayo kwa sasa kuelekea hatua ya makundi ambayo itaanza mwezi wa 2.

Kwa mipango iliyopo ikiwemo kuboresha kikosi dirisha dogo kwa kunasa vifaa vya nguvu, nawaona Yanga wakiendelea kuwa bora kwenye hii michuano na sitoshangaa wakiivunja rekodi ya Simba ya kuishia robo fainali.

Siongei kwa kubahatisha bali naongea kwa kujiamini na mipango iliyopo kwa sasa, Yanga walikuwa wanahitaji sana wafuzu makundi ili wajipange vizuri kwa kuwa kuna kama miezi 3 kabla ya hatua ya makundi kuanza rasmi. Hivyo kuna mwanya wa kufanya usajiri dirisha dogo kuboresha maeneo muhimu.

Kwa maana hiyo naiona Yanga ikienda kutawala soka la ndani na nje ya nchi muda siyo mrefu, kwakuwa ni timu inayojengeka kwa kasi kubwa ikichagizwa na uwekezaji usiyokuwa na changa la macho wala ujanja ujanja.

Hii post itakuja kukumbukwa iheshimiwe.
Lakini msimu uliopita si mlisema ni michuano ya waliofeli? Au sie nyinyi
 
Imekuwa wimbo na ngonjera zinazoimbwa na mashabiki wa Simba kila mara Yanga inapofanya vizuri dhidi yao au michuano ya ndani ya kwamba, Yanga haiwezi michuano ya kimataifa na wao wamewekeza uko.

Sasa ni dhahiri shahiri kichaka hicho kinaanza kufyekwa taratibu na kitafyekwa kabisa siku siyo nyingi kwa mipango madhubuti ambayo timu ya wananchi wanayo kwa sasa kuelekea hatua ya makundi ambayo itaanza mwezi wa 2.

Kwa mipango iliyopo ikiwemo kuboresha kikosi dirisha dogo kwa kunasa vifaa vya nguvu, nawaona Yanga wakiendelea kuwa bora kwenye hii michuano na sitoshangaa wakiivunja rekodi ya Simba ya kuishia robo fainali.

Siongei kwa kubahatisha bali naongea kwa kujiamini na mipango iliyopo kwa sasa, Yanga walikuwa wanahitaji sana wafuzu makundi ili wajipange vizuri kwa kuwa kuna kama miezi 3 kabla ya hatua ya makundi kuanza rasmi. Hivyo kuna mwanya wa kufanya usajiri dirisha dogo kuboresha maeneo muhimu.

Kwa maana hiyo naiona Yanga ikienda kutawala soka la ndani na nje ya nchi muda siyo mrefu, kwakuwa ni timu inayojengeka kwa kasi kubwa ikichagizwa na uwekezaji usiyokuwa na changa la macho wala ujanja ujanja.

Hii post itakuja kukumbukwa iheshimiwe.
Utampata mchezaji gani bora Africa ambaye hajatumika kwenye Caf champions league maana akishatumika mara moja ndio basi au kuna wenzake bigi wamebaki Newcastle mnaenda kuwachukua.
 
MIMI NI SIMBA DAMU.

KISEMA UKWELI WENZETU WANA KIKOSI KIZURI SANA.

WANA KIKOSI KIPANA, WANAWACHEZAJI WAZURI SANA.

QUALITY PLAYER.

MO ANA CHUPLI CHUPLI NYINGI.
MALA AZILE.
 
Yanga anakikosi kizuri cha bahasha,m pesa,tigo pesa
 
Imekuwa wimbo na ngonjera zinazoimbwa na mashabiki wa Simba kila mara Yanga inapofanya vizuri dhidi yao au michuano ya ndani ya kwamba, Yanga haiwezi michuano ya kimataifa na wao wamewekeza uko.

Sasa ni dhahiri shahiri kichaka hicho kinaanza kufyekwa taratibu na kitafyekwa kabisa siku siyo nyingi kwa mipango madhubuti ambayo timu ya wananchi wanayo kwa sasa kuelekea hatua ya makundi ambayo itaanza mwezi wa 2.

Kwa mipango iliyopo ikiwemo kuboresha kikosi dirisha dogo kwa kunasa vifaa vya nguvu, nawaona Yanga wakiendelea kuwa bora kwenye hii michuano na sitoshangaa wakiivunja rekodi ya Simba ya kuishia robo fainali.

Siongei kwa kubahatisha bali naongea kwa kujiamini na mipango iliyopo kwa sasa, Yanga walikuwa wanahitaji sana wafuzu makundi ili wajipange vizuri kwa kuwa kuna kama miezi 3 kabla ya hatua ya makundi kuanza rasmi. Hivyo kuna mwanya wa kufanya usajiri dirisha dogo kuboresha maeneo muhimu.

Kwa maana hiyo naiona Yanga ikienda kutawala soka la ndani na nje ya nchi muda siyo mrefu, kwakuwa ni timu inayojengeka kwa kasi kubwa ikichagizwa na uwekezaji usiyokuwa na changa la macho wala ujanja ujanja.

Hii post itakuja kukumbukwa iheshimiwe.
Ombeni Mungu sana Tajiri wenu asizibe/asikate bomba lake linaloleta dola huko Jangwani.
 
Back
Top Bottom