[emoji2][emoji2][emoji2][emoji173][emoji419][emoji375]Niliwaombea mpate 2:1 hilo la 2 kwa Al mmejitakia...hongereni watani
Kaka kesho mbuzi [emoji39][emoji39][emoji39]Kongole zao, vijana wameonyesha jitihada ya halo ya juu sana
Maadui wa mnyama SIMBA hasa baadhi ya wanayanga wasiojitambua waliomba dua zote SIMBA ifungwe
Wakafanya kila aina ya fitina mpaka majungu na masufuria bila kusahau ulozi...
Moira una matokeo matatu
Kufunga
Kufungwa
Suluhu
Asanteni sana wachezaji wote
Asanteni sana makocha wote
Asanteni sana viongozi wote
Asanteni sana wanasimba wote
Asanteni wote wenye mapenzi mema na SIMBA, marafiki na jamaa pia
Asanteni maadui.. Sijui m hali gani saa huko mliko.. Naona mmeamua kujifariji na chumbuzi za kindezi.. Nawasihi msiache .. Sisi letu limeshatimia
Gooooood night Tanganyika[emoji173][emoji173][emoji173][emoji419][emoji375]View attachment 2787555
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika
Ndiko yaliko makazi ya SIMBAMkuu mbona kwenye bandiko lako umetaja Tanganyika?
halo ya juu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] halafu kuna hiliKuna litangazaji moja la redio maarufu lilihojiwa likasema simba itafungwa magoli mengi, matokeo yake ikatoka mbili kwa mbili. Kipindi cha michezo cha redio hiyo kimewadia saa tatu hii usiku na yeye ndiye mtangazaji wa kipindi hicho wa zamu, sijui anajisikiaje?
Mikia ifeke mahala mkue!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kweli nimeona mkuu. Hongera
Ndio tumecheza mpira mzuri usio na malengo makubwa Robertinho hatufai kabisa, kaniudhi nashindwa hadi kula, kipa Bomu anadaka panzi fala yuleMaadui wa mnyama SIMBA hasa baadhi ya wanayanga wasiojitambua waliomba dua zote SIMBA ifungwe
Wakafanya kila aina ya fitina mpaka majungu na masufuria bila kusahau ulozi...
Moira una matokeo matatu
Kufunga
Kufungwa
Suluhu
Asanteni sana wachezaji wote
Asanteni sana makocha wote
Asanteni sana viongozi wote
Asanteni sana wanasimba wote
Asanteni wote wenye mapenzi mema na SIMBA, marafiki na jamaa pia
Asanteni maadui.. Sijui m hali gani saa huko mliko.. Naona mmeamua kujifariji na chumbuzi za kindezi.. Nawasihi msiache .. Sisi letu limeshatimia
Gooooood night Tanganyika[emoji173][emoji173][emoji173][emoji419][emoji375]View attachment 2787555
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi sio Shabiki Anayetumia mahaba Kujudge Mechi mi naangalia Vitu vingi sana kimojawapo ni Aina ya wachezaji na Playing style,