Simba kama kawa kama dawa ni mwendo wa kuteleza tu

ligi bado changa
Mko nyuma pointi name mpaka sasa bado mechi mbili round ya kwanza iishe round ya pili mtaanza kuomba duwa mbaya kwa mnyama ili apoteze huku nyie mkishinda kitu ambacho sioni kikifanukiwa...
 
Mwenye jeuri aje atutoe pale juu nyambaf
ukiona Yanga anasema aubiri mcheze na Stand mtaona ujue kwisha habari yao...wamenunua mexhi kagera na kufunga magoli ya mikono haijawasaidia...
 
Halafu wakasema viwanja vya mikoani tutapata shida.

Lakini sisi tunateleza tu. Viwanja walivyoshindwa wao kupata matokeo sisi tunanyumbulika tu.
 
Simba hii hata ikikutana na Barcelona yaweza kupata ushindi[emoji28]
 
[emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196]
 
ukimuona simba juu ya mti basi ujue huo mti umeinama na huwa anakaa muda mfupi anashuka chini na kumuacha chui aendelee kukaa juu kama kawaida yake[emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…