Wewe ndio popoma kweli kweli.Huwezi kufanya mawasiliano ya moja kwa moja.Ni lazima upitishe mawasiliano kwenye chama cha mpira husika hapa TFF. Ndio kanuni za CAF.wanalalamika TFF wakati aliyebalisha ni CAF......Mbumbumbu FC.
Kumbe nawewe ni zero kichwani... siyo malefa ni MarefaNimeamini kuwa yule jamaa aliyesema wale jamaa ni mbumbumbu hakukosea ile barua ya kupinga kubadilshwa malefa wanaandika please find attached the letter sijui ndo nini kwa maandishi yale hata CAF hawataelewa mlichokuwa mnamaanisha haaaaaaa
Tuna safari ndefu sana.Hakuna kilichokosewa hapo!
Tusipende kukosoa vitu tusivyovijua...
'Please find attached the letter'
'Please find attached my CV'
'Please find attached the report'
Hizo zote ni lugha sahihi kiofisi.!
Narudia: Tusipende kukosoa vitu tusivyovijua Bali tupende kujifunza zaidi!
Wakati wanabadilisha waliitarifu TFF were Mikia popoma aka mbu*3.Wewe ndio popoma kweli kweli.Huwezi kufanya mawasiliano ya moja kwa moja.Ni lazima upitishe mawasiliano kwenye chama cha mpira husika hapa TFF. Ndio kanuni za CAF.
Wacha ujinga.Aliyebalisha!!!Jifunze kuandika popoma.
Wakati wanabadilisha waliitarifu TFF were Mikia popoma aka mbu*3.Wewe ndio popoma kweli kweli.Huwezi kufanya mawasiliano ya moja kwa moja.Ni lazima upitishe mawasiliano kwenye chama cha mpira husika hapa TFF. Ndio kanuni za CAF.
Wacha ujinga.Aliyebalisha!!!Jifunze kuandika popoma.