Simba kama tuna 20b, tunashindwa kujenga uwanja?

Simba kama tuna 20b, tunashindwa kujenga uwanja?

bulabo

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2015
Posts
628
Reaction score
780
ASALAAM, NIMEMSIKILIZA ADEN RAGE leo asubuhi kwenye kipindi cha Sport cha Wasafi Media. Anasema kama Simba wana 20B kwenye account watumie hizi pesa kuchukua mkopo ili kuanza ujenzi wa HOSTEL ZA KISASA, GYM YA KISASA KIWANJA CHA KISASA ili hizi hela zinazochangishwa zitumike kuandaa mfano michoro, kusogeza umeme, kutengeneza njia za kufika hapo BUNJU n.k Lakini kama pesa hazipo basi bodi ya SIMBA ije na mkakati mpya sina hakika kama kuchanga inaweza kujenga uwanja.

Baada ya kumsikiliza RAGE unaona kabisa SIMBA kuna shida kama kweli hizo B20 zipo why tudelay kuanza ujenzi??
Na je Kama hazipo SImba kwa nn wanadanganya? Pia Rage amesisitiza Simba inabd wanunue wachezaj wazuri kuanzia local player wa ndani badala ya kuwategemea akina MZAMIRU na KIBU watu wa mechi moja moja ili mwakani wasiteseke tena.

MY TAKE kwa Simba: SIMBA KWA NINI WASIANZE NA MFUMO WA CARD kupata hela mfano

Mwanachama hai wa Simba ajisajili kwenye mfumo (online app) na kulipia let say 30,000 per year

Mshabiki ajisajili kwenye mfumo (Online app) na kulipa let say 20,000 per year naamini kuanzia hapo SIMBA INAWEZA IKAJITEGEMEA VIZURI UKIONGEZA NA HELA za AZAM, sportpesa, CAFC, CAFCC n.k mfano una wanachama 600 na mashabiki mil 3 let say unaweza kukusanya bil 60 kwa mwaka kitu ambacho inawezekana


badala ya kumtegemea mtu mmoja hii haina afya siku za mbeleni wanasimba tupige kelele bodi wanyooshe maelezo.
 
Kamsikilize Barbara kasema leo hiyo michango sio kwamba itajenga uwanja fedha ya kujenga uwanja ipo na Ijumaa inapitishwa rasmi ujenzi wa uwanja na makokoro yake uanze hii ya mashabiki tumeambiwa itatumika kujenga ukuta wa kuzunguka eneo la ujenzi sasa watu mnakaa eti bilion 20 zikachukuliwe zikajenge kesho mje mlalamike mna wachezaji wabovu dunia itawaelewa?

Kila kitu ni hatua na hii ya watu aina yako haishangazi maana ndivyo wanadamu tulivyo unamkosoa mtu aliyejenga nyumba ohh dirisha angeweka hivi wakati wewe huna nyumba.

Hebu tuchukulie Simba wanataka kukopa , Je,watatangaza wamekopa? Subiri after three months hapo Bunju kuna mabadiliko au la kisha njoo hapa tujadili upya mikakati na approaches ya Simba ni nzuri au mbaya
 
Kamsikilize Barbara kasema leo hiyo michango sio kwamba itajenga uwanja fedha ya kujenga uwanja ipo na Ijumaa inapitishwa rasmi ujenzi wa uwanja na makokoro yake uanze hii ya mashabiki tumeambiwa itatumika kujenga ukuta wa kuzunguka eneo la ujenzi sasa watu mnakaa eti bilion 20 zikachukuliwe zikajenge kesho mje mlalamike mna wachezaji wabovu dunia itawaelewa?

Kila kitu ni hatua na hii ya watu aina yako haishangazi maana ndivyo wanadamu tulivyo unamkosoa mtu aliyejenga nyumba ohh dirisha angeweka hivi wakati wewe huna nyumba.

Hebu tuchukulie Simba wanataka kukopa , Je,watatangaza wamekopa? Subiri after three months hapo Bunju kuna mabadiliko au la kisha njoo hapa tujadili upya mikakati na approaches ya Simba ni nzuri au mbaya
Lakini umemsikliza vizuri Barbara anasema si chini ya bil 2 hivi inawezekana kuwa na uwanja mzuri usiozidi bil 2 kweli.
Pitch viti vya kisasa camera, ulinzi chnging room taa za ndani na nje barabara parking nzuri mageti benchi la ufundi maji umeme n.k Just 2bil kweliiiii
 
ASALAAM, NIMEMSIKILIZA ADEN RAGE leo asubuhi kwenye kipindi cha Sport cha Wasafi Media. Anasema kama Simba wana 20B kwenye account watumie hizi pesa kuchukua mkopo ili kuanza ujenzi wa HOSTEL ZA KISASA, GYM YA KISASA KIWANJA CHA KISASA ili hizi hela zinazochangishwa zitumike kuandaa mfano michoro, kusogeza umeme, kutengeneza njia za kufika hapo BUNJU n.k Lakini kama pesa hazipo basi bodi ya SIMBA ije na mkakati mpya sina hakika kama kuchanga inaweza kujenga uwanja.

Baada ya kumsikiliza RAGE unaona kabisa SIMBA kuna shida kama kweli hizo B20 zipo why tudelay kuanza ujenzi??
Na je Kama hazipo SImba kwa nn wanadanganya? Pia Rage amesisitiza Simba inabd wanunue wachezaj wazuri kuanzia local player wa ndani badala ya kuwategemea akina MZAMIRU na KIBU watu wa mechi moja moja ili mwakani wasiteseke tena.

MY TAKE kwa Simba: SIMBA KWA NINI WASIANZE NA MFUMO WA CARD kupata hela mfano

Mwanachama hai wa Simba ajisajili kwenye mfumo (online app) na kulipia let say 30,000 per year

Mshabiki ajisajili kwenye mfumo (Online app) na kulipa let say 20,000 per year naamini kuanzia hapo SIMBA INAWEZA IKAJITEGEMEA VIZURI UKIONGEZA NA HELA za AZAM, sportpesa, CAFC, CAFCC n.k mfano una wanachama 600 na mashabiki mil 3 let say unaweza kukusanya bil 60 kwa mwaka kitu ambacho inawezekana


badala ya kumtegemea mtu mmoja hii haina afya siku za mbeleni wanasimba tupige kelele bodi wanyooshe maelezo.
Shabiki au mwanachama wa Simba akijisajiri kwa tsh.20000,asilimia 49 ambavyo ni 9800 inaenda kwa Mo Dewj.Hata hizi za Nani zaidi,mgawanyo uko hivyo,
 
Lakini umemsikliza vizuri Barbara anasema si chini ya bil 2 hivi inawezekana kuwa na uwanja mzuri usiozidi bil 2 kweli.
Pitch viti vya kisasa camera, ulinzi chnging room taa za ndani na nje barabara parking nzuri mageti benchi la ufundi maji umeme n.k Just 2bil kweliiiii
Labda unimegee kipande hicho maana kaongea mengi sana ikiwemo uwanja wa wanawake wenye seats walau za watu 500
Huenda ulichanganya hapo
 
Kamsikilize Barbara kasema leo hiyo michango sio kwamba itajenga uwanja fedha ya kujenga uwanja ipo na Ijumaa inapitishwa rasmi ujenzi wa uwanja na makokoro yake uanze hii ya mashabiki tumeambiwa itatumika kujenga ukuta wa kuzunguka eneo la ujenzi sasa watu mnakaa eti bilion 20 zikachukuliwe zikajenge kesho mje mlalamike mna wachezaji wabovu dunia itawaelewa?

Kila kitu ni hatua na hii ya watu aina yako haishangazi maana ndivyo wanadamu tulivyo unamkosoa mtu aliyejenga nyumba ohh dirisha angeweka hivi wakati wewe huna nyumba.

Hebu tuchukulie Simba wanataka kukopa , Je,watatangaza wamekopa? Subiri after three months hapo Bunju kuna mabadiliko au la kisha njoo hapa tujadili upya mikakati na approaches ya Simba ni nzuri au mbaya
Labda kama kuna Barbra mwingine lakini kama ni binti Gonzalez nimemsikiliza. Uwanja anaosema utaanza kujengwa bajeti yake kasema "Haizidi bil.2".
 
Simba kumtegemea mtu mmoja na kutokuwepo uwazi ni Tatizo. Mo kuwa Simba ni vzr sana lakini lazima kila kitu kiwekwe wazi ina atengeneze mfumo wa kujitegemea ili mwisho wa siku hata kama yeye ataondoka SIMBA IBAKI SALAMA
 
Mimi mfumo wa mabadiliko pale Simba upo shallow sana,haiwezekani timu ipate investor halafu tuendelee kuchangia timu

Lengo la kuja mwekezaji ni kuweka pesa zake pale kwenye timu,pesa ambayo ilifanyika tathmini ikapatikana thamani ya klabu na kupitia pesa hizo zinaweza kutumika kwa mfumo alio eleza RAGE,pia kutengeneza mifumo rasmi ya kuingizia mapato klabu

Na mwekezaji unapokuja unajua kabisa naenda pale ila timu haina pesa

Yaani tulichangishana wakati timu hazina mwekezaji na Leo hii ambayo mwekezaji yupo anataka tuendelee kuchangia

Jamani tusiongopeane kabisa hata timu kubwa duniani zina madeni makubwa,mfano Barcelona,Madrid,spurs na Madeni hayo ni kwa faida ya maendeleo ya timu zetu
 
Simba kumtegemea mtu mmoja na kutokuwepo uwazi ni Tatizo. Mo kuwa Simba ni vzr sana lakini lazima kila kitu kiwekwe wazi ina atengeneze mfumo wa kujitegemea ili mwisho wa siku hata kama yeye ataondoka SIMBA IBAKI SALAMA
Mfumo wa kujitegemea unatengenezwa siku moja!! Lazima tuelewe kila kitu kinaenda kutokana na hali halisi ya uchumi wa nchi!! Leo hii nchi yetu ambayo asilimia 90% ya raia wake wanasomeshewa watoto wao bure na serikali kutokana na uwezo wao mdogo!! Nchi ambayo raia wake asilimia 90% hawana bima za afya wanategemea msaada wa Serikali!! Kama kwenye vitu vya umuhimu kwenye maisha kama hivyo wananchi wanashindwa kumudu,watamudu kweli kuchangia michezo kikamilifu!!dunia ya leo hakuna club inachangisha pesa mashabiki wake,club inatengeneza mipango ya kupata pesa kutokana na fanbase yake,kwa kuingia mikataba mizuri,lakini hapa kwetu ni vigumu kwasababu wananchi ni masikini sana,hata kama club ina mashabiki wengi wanakuwa hawana impact kubwa kwasababu ya umaskini wao,hata timu zao haziwezi kupata mikataba ya maana kwasababu purchase power ya raia ni ndogo mno. Leo mtu kama MO hakuna faida ya moja kwa moja anayoipata kutoka Simba zaidi tu ya kujitangaza na mapenzi yake kwa mchezo wa mpira wa miguu, wengi wanaomponda ni kwasababu ya elimu ndogo,kukosa exposure,na wivu tu wa kichawi unaochangiwa na umaskini!!kumbuka maskini uwa wana roho mbaya sana. Wengi utasikia MO hajaweka b20,lakini ikiwauliza MO ana share ya asilimia 49% je wenye asilimia 51% mmeweka nini? Wanaishia kutukana,Simba na yanga ni kama familia yenye watoto wengi lakini wote ni masikini wasio na elimu,tumueshimu hasa MO ambae angalau kwa pesa zake ameifanya Simba iwe vizuri kimataifa na kuifanya ligi yetu kutambulika na angalau vilabu vingine kuogopa timu za Tanzania ambazo kipindi cha nyuma zilikuwa zimepafanya Tanzania kama sehemu ya kuchukulia pointi za bure.
 
Kamsikilize Barbara kasema leo hiyo michango sio kwamba itajenga uwanja fedha ya kujenga uwanja ipo na Ijumaa inapitishwa rasmi ujenzi wa uwanja na makokoro yake uanze hii ya mashabiki tumeambiwa itatumika kujenga ukuta wa kuzunguka eneo la ujenzi sasa watu mnakaa eti bilion 20 zikachukuliwe zikajenge kesho mje mlalamike mna wachezaji wabovu dunia itawaelewa?

Kila kitu ni hatua na hii ya watu aina yako haishangazi maana ndivyo wanadamu tulivyo unamkosoa mtu aliyejenga nyumba ohh dirisha angeweka hivi wakati wewe huna nyumba.

Hebu tuchukulie Simba wanataka kukopa , Je,watatangaza wamekopa? Subiri after three months hapo Bunju kuna mabadiliko au la kisha njoo hapa tujadili upya mikakati na approaches ya Simba ni nzuri au mbaya
Hizi akili ndio mtaji mkubwa wa mo na barbra. Msome vizuri mleta mada na weka mahaba pembeni.
 
Mimi mfumo wa mabadiliko pale Simba upo shallow sana,haiwezekani timu ipate investor halafu tuendelee kuchangia timu

Lengo la kuja mwekezaji ni kuweka pesa zake pale kwenye timu,pesa ambayo ilifanyika tathmini ikapatikana thamani ya klabu na kupitia pesa hizo zinaweza kutumika kwa mfumo alio eleza RAGE,pia kutengeneza mifumo rasmi ya kuingizia mapato klabu

Na mwekezaji unapokuja unajua kabisa naenda pale ila timu haina pesa

Yaani tulichangishana wakati timu hazina mwekezaji na Leo hii ambayo mwekezaji yupo anataka tuendelee kuchangia

Jamani tusiongopeane kabisa hata timu kubwa duniani zina madeni makubwa,mfano Barcelona,Madrid,spurs na Madeni hayo ni kwa faida ya maendeleo ya timu zetu
Na mtaendelea kuchangia sana tu maana mpaka sasa ile b.20 iliyowekwa benk sijajua ina matumizi gani, kama ipo ingetumika kama dhamana ya kupata mikopo benk na kuendelea na mipango mingine ya maendeleo lakini hizi porojo inaonekana kabisa iyo ela ilikuwa changa la macho tu, Mo alitumia magumashi mengi na njia za mkato ili apewe timu haraka haraka afaidike nayo kwenye biashara zake ndo maana uwrkezaji wake umekuwa na makandokando mengi timu inaendeshwa utafikiri akuna kilichobadilika, uwezi kujua kama timu inae mwekezaji au bado iko kwenye mfumo ule ule wa kizamani, pole yenu msifikiri aya wanayohoji kina rage ni mambo ya kupuuza bali kuna vitu aviko sawa kabisa kwenye uwekezaji wa bwana Mo
 
Back
Top Bottom