Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nani na nani?Wanasema chama kawapa hasara
da babra na Monani na nani?
Fei toto hana uwezo wa kucheza simba kamwe.Daaah shtuka mkuu uko ndoton unaota
Fei hakuna kitu anaweza kuoffer kwa timu zaidi ya mashuti akiwa kafunga macho ambayo 98% huenda nje. Zaidi ya kuifunga simba hamna kingine kinachompa namba pale Uto. Hauwezi kumfananisha na hao uliowataja kwa kuwa wameshaonesha viwango vya juu sana kwenye soka. Fei hana Achievement ya hata mmoja hapo.Fei toto utamfananisha na watu kama mzamiru? Kanoute? Akpan? Mkude? Okwa?
Hapa haujacheza fair play.Fei hakuna kitu anaweza kuoffer kwa timu zaidi ya mashuti akiwa kafunga macho ambayo 98% huenda nje. Zaidi ya kuifunga simba hamna kingine kinachompa namba pale Uto. Hauwezi kumfananisha na hao uliowataja kwa kuwa wameshaonesha viwango vya juu sana kwenye soka. Fei hana Achievement ya hata mmoja hapo.
PoleHapa haujacheza fair play.
Niletee mchezaji aliyemzidi feitoto walau kwa assist peke yake kwa msimu uliopita katika hao wachezaji tajwa hapo juuFei hakuna kitu anaweza kuoffer kwa timu zaidi ya mashuti akiwa kafunga macho ambayo 98% huenda nje. Zaidi ya kuifunga simba hamna kingine kinachompa namba pale Uto. Hauwezi kumfananisha na hao uliowataja kwa kuwa wameshaonesha viwango vya juu sana kwenye soka. Fei hana Achievement ya hata mmoja hapo.
Hao hawapo Simba kwa sasa, wapo kwenye kamati za CAFda babra na Mo
Atawakojolea kama Luthu alivyokojozwa na mabinti zake.Yule nadhani kazeeka.
Wana roles sawa kwenye timu zao?Niletee mchezaji aliyemzidi feitoto walau kwa assist peke yake kwa msimu uliopita katika hao wachezaji tajwa hapo juu