Simba katika mipango ya kumsajili Fei Toto baada ya kuachana na Chama mwisho wa msimu

Simba katika mipango ya kumsajili Fei Toto baada ya kuachana na Chama mwisho wa msimu

Fei hakuna kitu anaweza kuoffer kwa timu zaidi ya mashuti akiwa kafunga macho ambayo 98% huenda nje. Zaidi ya kuifunga simba hamna kingine kinachompa namba pale Uto. Hauwezi kumfananisha na hao uliowataja kwa kuwa wameshaonesha viwango vya juu sana kwenye soka. Fei hana Achievement ya hata mmoja hapo.
Duh ushabiki unakufanya kuwa kipofu mkuu
 
Fei toto utamfananisha na watu kama mzamiru? Kanoute? Akpan? Mkude? Okwa?
ila jamaa wanapigwa mpunga hizi takataka walizokusanya kwa mbwe bwe wizi mtupu za Nini?
 
Back
Top Bottom