Simba katika mipango ya kumsajili Fei Toto baada ya kuachana na Chama mwisho wa msimu

Duh ushabiki unakufanya kuwa kipofu mkuu
 
Kiongozi gani kasema huo upumbavu ulioandika?
 
Fei toto utamfananisha na watu kama mzamiru? Kanoute? Akpan? Mkude? Okwa?
ila jamaa wanapigwa mpunga hizi takataka walizokusanya kwa mbwe bwe wizi mtupu za Nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…