juan de otaru
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 211
- 113
Duh ushabiki unakufanya kuwa kipofu mkuuFei hakuna kitu anaweza kuoffer kwa timu zaidi ya mashuti akiwa kafunga macho ambayo 98% huenda nje. Zaidi ya kuifunga simba hamna kingine kinachompa namba pale Uto. Hauwezi kumfananisha na hao uliowataja kwa kuwa wameshaonesha viwango vya juu sana kwenye soka. Fei hana Achievement ya hata mmoja hapo.
Sawa da BabraFei toto hana uwezo wa kucheza simba kamwe.
Unapata ugumu gani kusema nimekosea wapi na ww ukaonesha ukweli?Duh ushabiki unakufanya kuwa kipofu mkuu
Mammayo alikukojoza wewe.Mabinti wako walikukojoza?
huna akili
Ndoto nzuriInaelezwa kwamba simba wapo katika mpango huo baada ya kuachana na Chama mwisho wa msimu huu.
Kama upo kitandani utajinyea, toka upo ndotoni.Anasubiria kutambulishwa
ila jamaa wanapigwa mpunga hizi takataka walizokusanya kwa mbwe bwe wizi mtupu za Nini?Fei toto utamfananisha na watu kama mzamiru? Kanoute? Akpan? Mkude? Okwa?