Simba kazi kwenu

Simba kazi kwenu

Kwa hapa Tanzania, ni kwa nini wameiteua Simba wakaiacha giant namba tatu Afrika?
Ni uamuzi wa anaeteua.

Kama kwenye teuzi za kisiasa mteuaji anaweza kumuacha Profesa au PhD holder akamteua Masters degree holder.
Elimu au uwezo pekee havitoshi, connection nayo muhimu.
 
View attachment 2770404

Yanga ilikuwa ni timu ya WATU wasio na Akili.

Ilikuwa ni timu ya mashabiki WAPUMBAVU.

Ilikuwa ni timu yenye Mashabiki wengi WAJINGA na wasio na Elimu.
Wakati huo Tanzania haikuwa na wasomi kwani watanganyika wengi hawakuwa na elimu. Hata hivyo Simba ilikuwa timu ya wanawake ikiwa ikijulikana kama Queen kabla ya kubadilishwa kuwa Sunderland Sports Club (SSC) na baadaye mwaka 1971 kulazimishwa na Makamu wa Rais Karume kuondokana na jina la timu ya Uingereza ndipo wakajiita Simba Sports Club (SSC) ikiwa ni muda mfupi sana kabla ya kunyukwa kunyukwa na Yanga kwa bao lililofungwa na Leonard Chitete
 
Umepotosha, kitabu kinaongelea Elimu na sio akili.

Kuna uhusiano mkubwa mno kati ya Elimu na Akili.

Elimu na Akili ni sawa na Gari na Mafuta (petroli au Diesel, gas,UMEME,jua nk)

Wale wanaoendelea Vyuo vikuu Hadi PhDs ndio wenye akili.(wenye nishati Mafuta , gas, petrol, UMEME nk

MAZEZETA wengi wanaishia Darasa la Nne Hadi la Saba hawana akili hawana nishati hawana Mafuta.

Nadhani nimeeleweka
 
Wakati huo Tanzania haikuwa na wasomi kwani watanganyika wengi hawakuwa na elimu. Hata hivyo Simba ilikuwa timu ya wanawake ikiwa ikijulikana kama Queen kabla ya kubadilishwa kuwa Sunderland Sports Club (SSC) na baadaye mwaka 1971 kulazimishwa na Makamu wa Rais Karume kuondokana na jina la timu ya Uingereza ndipo wakajiita Simba Sports Club (SSC) ikiwa ni muda mfupi sana kabla ya kunyukwa kunyukwa na Yanga kwa bao lililofungwa na Leonard Chitete

ACHA kupotosha wewe Maamuma kama Hujui kitu uliza ufundishwe, tukueleke utoe UJINGA .

Hakuna kitu kibaya kama Kung'angania MZIGO WA UJINGA.

Simba sports club ILIOANZISHWA RASMI Mwaka 1936
Ilikuwa ainajulikana kama timu ya Malikia Elizabeth wakati HUO mtawala akiwa Malikia Elizabeth
Kabla ya Tanganyika na Tanzania Kupata uhuru TULIKUWA chini ya malikia Queen Elizabeth.

Wakaamua kubadili jina kutoka queen kwenda Eagles

wakabadili jina Tena kutoka Eagle kwenda , Dar Sunderland
Baadaye Mwaka 1971 wakabadili jina RASMI kwenda Simba (Mnyama MKALI WA lunyasi).

Queen (Simba ilikuwa ya
1. WATU watu wastarabu. Civilized
2. WATU WENYE Elimu Akili na MAARIFA.
3. Timu ya WATU Matajiri

Wafadhili WAkubwa WA Simba Alikuwa Malikia Elizabeth.
WAZUNGU waingereza.
Wahindi na wafanyabiashara.
WAARABU.
Watanganyika wenye Elimu na wasomi.


YANGA ILIKUWA YA WATU MAAMUMA
 
ACHA kupotosha wewe Maamuma kama Hujui kitu uliza ufundishwe, tukueleke utoe UJINGA .

Hakuna kitu kibaya kama Kung'angania MZIGO WA UJINGA.

Simba sports club ILIOANZISHWA RASMI Mwaka 1936
Ilikuwa ainajulikana kama timu ya Malikia Elizabeth wakati HUO mtawala akiwa Malikia Elizabeth
Kabla ya Tanganyika na Tanzania Kupata uhuru TULIKUWA chini ya malikia Queen Elizabeth.

Wakaamua kubadili jina kutoka queen kwenda Eagles

wakabadili jina Tena kutoka Eagle kwenda , Dar Sunderland
Baadaye Mwaka 1971 wakabadili jina RASMI kwenda Simba (Mnyama MKALI WA lunyasi).

Queen (Simba ilikuwa ya
1. WATU watu wastarabu. Civilized
2. WATU WENYE Elimu Akili na MAARIFA.
3. Timu ya WATU Matajiri

Wafadhili WAkubwa WA Simba Alikuwa Malikia Elizabeth.
WAZUNGU waingereza.
Wahindi na wafanyabiashara.
WAARABU.
Watanganyika wenye Elimu na wasomi.


YANGA ILIKUWA YA WATU MAAMUMA
wewe ndiye pumbavu kabisa unayeweza kuandika mambo bila kuyajua. Mwaka 1936 British Empire ilikuwa inaongonzwa na King George wa tano; ambaye alifariki mwaka huko na kumwachia mwanaye King Edward wa 7; je Malkia Elizabeth 2 aliingiaje kwenye unazishwaji wa SImba mwaka 1936 wakati alikuwa ni toddler mweye miaka kumi tu. Simba ilikuwa timu ya wanawake wakitaka kuwa wake za mfalme George.

Tanganyika wakati huo haikuwa na wasomi.
 
View attachment 2770404

Yanga ilikuwa ni timu ya WATU wasio na Akili.

Ilikuwa ni timu ya mashabiki WAPUMBAVU.

Ilikuwa ni timu yenye Mashabiki wengi WAJINGA na wasio na Elimu.
Kula chuma hicho
JamiiForums-2017337500.jpg
 
wewe ndiye pumbavu kabisa unayeweza kuandika mambo bila kuyajua. Mwaka 1936 Britisha Empire ilikuwa inaongonzwa na King George wa tan; ambaye alifariki mwaka huko na kumwachioa mwanaye King Edward wa 7; je Malikai Elizabeth 2 aliingiaje kwenye unazishwaji wa SImba mwaka 1936 wakati alikuwa ni tiddler mweye miaka kumi tu. SImba ilikuwa timu ya wanawake wakitaka kuwa wake za mfalme George.

Tanganyika wakati huo haikuwa na wasomi.
Naunga mkono hoja 👍👏
 
View attachment 2770404

Yanga ilikuwa ni timu ya WATU wasio na Akili.

Ilikuwa ni timu ya mashabiki WAPUMBAVU.

Ilikuwa ni timu yenye Mashabiki wengi WAJINGA na wasio na Elimu.
Mbona umetutukana sana bro. Una hakika na unalolisema? Una hakika unacho kipimo sahihi pasi na shaka cha kumpima mwenye akili na asiye kuwa na akili. Isije ikawa wewe ndo hauna akili!
 
Back
Top Bottom