Simba kipimo chenu Kombe la Shirikisho ni kufika Fainali na si vinginevyo. Mliwabeza Yanga sasa ngoja tuwaone

Chai
 
Mwaka 93 kulikua na kombe la shirikisho?
 
Akili yako ndogo sana,ipo hivi ni kombe moja ila majina yalitofautiana tu..nikama hapa Tanzania kulikuwa na Vodacom,n.k sasa ni NBC..ila ligi ni ile ile...we nyumbu kumbuka rais wako Samia aliwathibitishia hili..rais wa nchi kathibitisha alafu mlavianzi vilivyochacha unaleta ulevi wako hapa..shindwa kabisa
 
Ukinywa matapu tapu usiingie online
 
Hujielewi na huna akili.
Kombe lile halikua sawa na Confederetion.
Lilikua kombe la hadhi ya tatu CAF.
Mfano wa NBC na Vodacom PL ni kuwa kombe ama michuano ya aina moja ila jina lilibadilika kulingana na udhamini.
Ila African cup winner na CAFCC inatofautiana hii michuano.
Kwa akili zako UEFA conference league na EUROPA League zinafanana!!??
CAFCC ilianza 2004 baada ya kuliunganisha African cup aliofika final simba na CAF cup na hayo makombe yakafa likazaliwa CAFCC, aya utuambie hiyo Simba kuanzia 2004 mpaka sasa iliingia fainali gani ya michuano Africa!!??
Huyo Samia na mpira wapi na wapi??
Toka Confederation izinduliwe Tanzania ni Yanga peke yake ndio kafika final.
 
Mwaka 93 kulikua na kombe la shirikisho?
Hapana.
1993 kulikua kuna African cup winner,na hili kombe ndio SIMBA alifika fainali.
Yani kulikua na makombe aina tatu,
-CAFCL
-CAF cup
-African cup winners.
2004 CAF ikachukua michuano ya CAF cup na African cup winner wakaunganisha hayo mashindano wakaja NA CAF CONFEDERATION CUP.
Kwahiyo inamaana Simba alifika fainali katika michuano ambayo ni NUSU ya hadhi ya CAFCC aliofika final Yanga.
Aya huyo fala huko juu aniambie tokea 2004 CAFCC inaundwa SIMBA kaingia lini fainali!!????
 
Alifika fainali kwenye African cup winner ambao ilikua kombe la hadhi ya tatu baada ya CAFCL na CAF cup,kikombe cha maluza daraja C ndio hiko African cup winners.
2004 ndio wakakiunganisha na CAF cup ili kupata CONFEDERATION CUP ya sasa.
Halafu ukimueleza anakubishia eti hata Rais alithibitisha.
Mama mpaka shedo yule mcheza madufu na mpira wapi na wapi!?
 
Mmeshika nafasi ya tatu kiume..!!
 
Kumbe n mambo ya kuthibitisha na kizimkazi [emoji2957][emoji23][emoji23][emoji23]

Wanasimba NI MBUMBUMBU [emoji16]
 
Mwo
Mwogope Mungu.
Mwaka huo kombe la Shirikisho lilikuwa halijazaliwa. Kombe alofika fainali liliitwa CAF Cup mdhamini akiwa Mashoud Abiola.
Makombe ya miaka hiyo yalikuwa ni
1. Kombe la klabu Bingwa Afrika
2. Kombe la Washindi (Winners Cup)
3. Kombe la CAF ( Simba Walicheza fainali 1993)
Kombe la 2 na 3 yaliunganishwa na kuzaliwa CAFCC.
Nakusamehe kwa kuwa bado ni kijana mdogo.
 
Hujui kitu. Ni mbumbu tu.
Shirikisho lomeanza 2004 baada yakuunganisha makombe mawili.
1. Winners cup na
2. CAF Cup.
 
Uko vizuri sana. Sahihisho dogo tu ni kwamba kombe la hadhi ya 3 lilikuwa CAF Cup.
Winners hadhi ya pili
Otherwise you are goid
 
Usipoteze muda kuyaelewesha machawa ya wakina mangungu, awa ndio wenzao wanawasema kuwa wanahongwa elfu Tano Tano na kusafirishwa kwenda kwenye mechi ili wausifie uongozi wao, unaweza ukakuta unamuelewesha kisugu apo au mzaramo mtabishana mpaka kesho Wana maslai yao pale
 
hakuna mshabiki wa yanga mwenye akili..wote akili ni mapupu yenye mavi mavi..sina muda wa kubishana na watu wanaoshabikia timu yenye rangi ya mavi(njano ni mavi)ndio maana akili zenu zina mavi
 
hakuna mshabiki wa yanga mwenye akili..wote akili ni mapupu yenye mavi mavi..sina muda wa kubishana na watu wanaoshabikia timu yenye rangi ya mavi(njano ni mavi)ndio maana akili zenu zina mavi
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…