Simba kipimo chenu Kombe la Shirikisho ni kufika Fainali na si vinginevyo. Mliwabeza Yanga sasa ngoja tuwaone

Simba kipimo chenu Kombe la Shirikisho ni kufika Fainali na si vinginevyo. Mliwabeza Yanga sasa ngoja tuwaone

Final Simba sc ilifika mwaka 1993 kwenye league ya shirikisho,hivyo yanga ndio anafuata nyayo za Simba sc kwenye kila kitu..popote mlipo Simba kashapita akiwa wa kwanza miaka 30 iliyopita kabla hamjajua kupengq kamasi.

Superleague Simba ndio ya kwanza kucheza ..na club bingwa ndio kachafua sana huko tokea nchi ipate uhuru..kumbuka nyie mmejitafuta kucheza hatua ya akundi club bingwa juzi baadaa kujitafuta k2a miaka 30,

Pia Simba sc imrshafika nusu final club bingwa mwaka 1974...yanga mpaka afika nusu final club bingwa Simba itakuwa imechukua kombe la club bingwa mara tano.
Chai
 
SIMBA HAKUWAHI FIKA FAINALI YA SHIRIKISHO.

Alifika fainali katika kombe la hadhi ya tatu katika michuano ya CAF.

Ni sawa Ulaya tuseme kafika fainali ya EUFA CONFERENCE LEAGUE ya kina Watford.

Usitudanganye hapa we kijana.

Tatizo progression.

Hata Ajax ilikua timu tishio Ulaya miaka ya nyuma ila Barcelona keshampita rekodi.
Mwaka 93 kulikua na kombe la shirikisho?
 
SIMBA HAKUWAHI FIKA FAINALI YA SHIRIKISHO.

Alifika fainali katika kombe la hadhi ya tatu katika michuano ya CAF.

Ni sawa Ulaya tuseme kafika fainali ya EUFA CONFERENCE LEAGUE ya kina Watford.

Usitudanganye hapa we kijana.

Tatizo progression.

Hata Ajax ilikua timu tishio Ulaya miaka ya nyuma ila Barcelona keshampita rekodi.
Akili yako ndogo sana,ipo hivi ni kombe moja ila majina yalitofautiana tu..nikama hapa Tanzania kulikuwa na Vodacom,n.k sasa ni NBC..ila ligi ni ile ile...we nyumbu kumbuka rais wako Samia aliwathibitishia hili..rais wa nchi kathibitisha alafu mlavianzi vilivyochacha unaleta ulevi wako hapa..shindwa kabisa
 
Akili yako ndogo sana,ipo hivi ni kombe moja ila majina yalitofautiana tu..nikama hapa Tanzania kulikuwa na Vodacom,n.k sasa ni NBC..ila ligi ni ile ile...we nyumbu kumbuka rais wako Samia aliwathibitishia hili..rais wa nchi kathibitisha alafu mlavianzi vilivyochacha unaleta ulevi wako hapa..shindwa kabisa
Ukinywa matapu tapu usiingie online
 
Akili yako ndogo sana,ipo hivi ni kombe moja ila majina yalitofautiana tu..nikama hapa Tanzania kulikuwa na Vodacom,n.k sasa ni NBC..ila ligi ni ile ile...we nyumbu kumbuka rais wako Samia aliwathibitishia hili..rais wa nchi kathibitisha alafu mlavianzi vilivyochacha unaleta ulevi wako hapa..shindwa kabisa
Hujielewi na huna akili.
Kombe lile halikua sawa na Confederetion.
Lilikua kombe la hadhi ya tatu CAF.
Mfano wa NBC na Vodacom PL ni kuwa kombe ama michuano ya aina moja ila jina lilibadilika kulingana na udhamini.
Ila African cup winner na CAFCC inatofautiana hii michuano.
Kwa akili zako UEFA conference league na EUROPA League zinafanana!!??
CAFCC ilianza 2004 baada ya kuliunganisha African cup aliofika final simba na CAF cup na hayo makombe yakafa likazaliwa CAFCC, aya utuambie hiyo Simba kuanzia 2004 mpaka sasa iliingia fainali gani ya michuano Africa!!??
Huyo Samia na mpira wapi na wapi??
Toka Confederation izinduliwe Tanzania ni Yanga peke yake ndio kafika final.
 
Mwaka 93 kulikua na kombe la shirikisho?
Hapana.
1993 kulikua kuna African cup winner,na hili kombe ndio SIMBA alifika fainali.
Yani kulikua na makombe aina tatu,
-CAFCL
-CAF cup
-African cup winners.
2004 CAF ikachukua michuano ya CAF cup na African cup winner wakaunganisha hayo mashindano wakaja NA CAF CONFEDERATION CUP.
Kwahiyo inamaana Simba alifika fainali katika michuano ambayo ni NUSU ya hadhi ya CAFCC aliofika final Yanga.
Aya huyo fala huko juu aniambie tokea 2004 CAFCC inaundwa SIMBA kaingia lini fainali!!????
 
Alifika fainali kwenye African cup winner ambao ilikua kombe la hadhi ya tatu baada ya CAFCL na CAF cup,kikombe cha maluza daraja C ndio hiko African cup winners.
2004 ndio wakakiunganisha na CAF cup ili kupata CONFEDERATION CUP ya sasa.
Halafu ukimueleza anakubishia eti hata Rais alithibitisha.
Mama mpaka shedo yule mcheza madufu na mpira wapi na wapi!?
 
Final Simba sc ilifika mwaka 1993 kwenye league ya shirikisho,hivyo yanga ndio anafuata nyayo za Simba sc kwenye kila kitu..popote mlipo Simba kashapita akiwa wa kwanza miaka 30 iliyopita kabla hamjajua kupengq kamasi.

Superleague Simba ndio ya kwanza kucheza ..na club bingwa ndio kachafua sana huko tokea nchi ipate uhuru..kumbuka nyie mmejitafuta kucheza hatua ya akundi club bingwa juzi baadaa kujitafuta k2a miaka 30,

Pia Simba sc imrshafika nusu final club bingwa mwaka 1974...yanga mpaka afika nusu final club bingwa Simba itakuwa imechukua kombe la club bingwa mara tano.

Ngoja niweke sawa hili kama ifuatavyo maana washabiki wa yanga ni manyumbu au ni sawa na kondoo ambao wakwanza ukimuwekea kamba akaruka kisha ukatoa hiyo kamba wengine wanaokuja wanaruka hata kama umeshatoa hiyo kamba..ipo hivi hiyo league Simba sc iliyocheza ikafika final mwaka 1993 ni kombe la shirikisho ila ilikuwa na jina tofauti na sasa ila league na kombe ndio shirikisho kama inavyojulikana sasa,ni kama ligi kuu yatanzania mara ilikuwa inaitwa Vodacom n.k sasa hivi ni NBC...
Pia Rais wetu mama Samia aliwathibitishia..sasa wewe ni nani mpaka ubishane na nchi na imeshathibitisha
Mmeshika nafasi ya tatu kiume..!!
 
Final Simba sc ilifika mwaka 1993 kwenye league ya shirikisho,hivyo yanga ndio anafuata nyayo za Simba sc kwenye kila kitu..popote mlipo Simba kashapita akiwa wa kwanza miaka 30 iliyopita kabla hamjajua kupengq kamasi.

Superleague Simba ndio ya kwanza kucheza ..na club bingwa ndio kachafua sana huko tokea nchi ipate uhuru..kumbuka nyie mmejitafuta kucheza hatua ya akundi club bingwa juzi baadaa kujitafuta k2a miaka 30,

Pia Simba sc imrshafika nusu final club bingwa mwaka 1974...yanga mpaka afika nusu final club bingwa Simba itakuwa imechukua kombe la club bingwa mara tano.

Ngoja niweke sawa hili kama ifuatavyo maana washabiki wa yanga ni manyumbu au ni sawa na kondoo ambao wakwanza ukimuwekea kamba akaruka kisha ukatoa hiyo kamba wengine wanaokuja wanaruka hata kama umeshatoa hiyo kamba..ipo hivi hiyo league Simba sc iliyocheza ikafika final mwaka 1993 ni kombe la shirikisho ila ilikuwa na jina tofauti na sasa ila league na kombe ndio shirikisho kama inavyojulikana sasa,ni kama ligi kuu yatanzania mara ilikuwa inaitwa Vodacom n.k sasa hivi ni NBC...
Pia Rais wetu mama Samia aliwathibitishia..sasa wewe ni nani mpaka ubishane na nchi na imeshathibitisha
Kumbe n mambo ya kuthibitisha na kizimkazi [emoji2957][emoji23][emoji23][emoji23]

Wanasimba NI MBUMBUMBU [emoji16]
 
Mwo
Final Simba sc ilifika mwaka 1993 kwenye league ya shirikisho,hivyo yanga ndio anafuata nyayo za Simba sc kwenye kila kitu..popote mlipo Simba kashapita akiwa wa kwanza miaka 30 iliyopita kabla hamjajua kupengq kamasi.

Superleague Simba ndio ya kwanza kucheza ..na club bingwa ndio kachafua sana huko tokea nchi ipate uhuru..kumbuka nyie mmejitafuta kucheza hatua ya akundi club bingwa juzi baadaa kujitafuta k2a miaka 30,

Pia Simba sc imrshafika nusu final club bingwa mwaka 1974...yanga mpaka afika nusu final club bingwa Simba itakuwa imechukua kombe la club bingwa mara tano.

Ngoja niweke sawa hili kama ifuatavyo maana washabiki wa yanga ni manyumbu au ni sawa na kondoo ambao wakwanza ukimuwekea kamba akaruka kisha ukatoa hiyo kamba wengine wanaokuja wanaruka hata kama umeshatoa hiyo kamba..ipo hivi hiyo league Simba sc iliyocheza ikafika final mwaka 1993 ni kombe la shirikisho ila ilikuwa na jina tofauti na sasa ila league na kombe ndio shirikisho kama inavyojulikana sasa,ni kama ligi kuu yatanzania mara ilikuwa inaitwa Vodacom n.k sasa hivi ni NBC...
Pia Rais wetu mama Samia aliwathibitishia..sasa wewe ni nani mpaka ubishane na nchi na imeshathibitisha
Mwogope Mungu.
Mwaka huo kombe la Shirikisho lilikuwa halijazaliwa. Kombe alofika fainali liliitwa CAF Cup mdhamini akiwa Mashoud Abiola.
Makombe ya miaka hiyo yalikuwa ni
1. Kombe la klabu Bingwa Afrika
2. Kombe la Washindi (Winners Cup)
3. Kombe la CAF ( Simba Walicheza fainali 1993)
Kombe la 2 na 3 yaliunganishwa na kuzaliwa CAFCC.
Nakusamehe kwa kuwa bado ni kijana mdogo.
 
Akili yako ndogo sana,ipo hivi ni kombe moja ila majina yalitofautiana tu..nikama hapa Tanzania kulikuwa na Vodacom,n.k sasa ni NBC..ila ligi ni ile ile...we nyumbu kumbuka rais wako Samia aliwathibitishia hili..rais wa nchi kathibitisha alafu mlavianzi vilivyochacha unaleta ulevi wako hapa..shindwa kabisa
Hujui kitu. Ni mbumbu tu.
Shirikisho lomeanza 2004 baada yakuunganisha makombe mawili.
1. Winners cup na
2. CAF Cup.
 
Alifika fainali kwenye African cup winner ambao ilikua kombe la hadhi ya tatu baada ya CAFCL na CAF cup,kikombe cha maluza daraja C ndio hiko African cup winners.
2004 ndio wakakiunganisha na CAF cup ili kupata CONFEDERATION CUP ya sasa.
Halafu ukimueleza anakubishia eti hata Rais alithibitisha.
Mama mpaka shedo yule mcheza madufu na mpira wapi na wapi!?
Uko vizuri sana. Sahihisho dogo tu ni kwamba kombe la hadhi ya 3 lilikuwa CAF Cup.
Winners hadhi ya pili
Otherwise you are goid
 
Hapana.
1993 kulikua kuna African cup winner,na hili kombe ndio SIMBA alifika fainali.
Yani kulikua na makombe aina tatu,
-CAFCL
-CAF cup
-African cup winners.
2004 CAF ikachukua michuano ya CAF cup na African cup winner wakaunganisha hayo mashindano wakaja NA CAF CONFEDERATION CUP.
Kwahiyo inamaana Simba alifika fainali katika michuano ambayo ni NUSU ya hadhi ya CAFCC aliofika final Yanga.
Aya huyo fala huko juu aniambie tokea 2004 CAFCC inaundwa SIMBA kaingia lini fainali!!????
Usipoteze muda kuyaelewesha machawa ya wakina mangungu, awa ndio wenzao wanawasema kuwa wanahongwa elfu Tano Tano na kusafirishwa kwenda kwenye mechi ili wausifie uongozi wao, unaweza ukakuta unamuelewesha kisugu apo au mzaramo mtabishana mpaka kesho Wana maslai yao pale
 
Hapana.
1993 kulikua kuna African cup winner,na hili kombe ndio SIMBA alifika fainali.
Yani kulikua na makombe aina tatu,
-CAFCL
-CAF cup
-African cup winners.
2004 CAF ikachukua michuano ya CAF cup na African cup winner wakaunganisha hayo mashindano wakaja NA CAF CONFEDERATION CUP.
Kwahiyo inamaana Simba alifika fainali katika michuano ambayo ni NUSU ya hadhi ya CAFCC aliofika final Yanga.
Aya huyo fala huko juu aniambie tokea 2004 CAFCC inaundwa SIMBA kaingia lini fainali!!????
hakuna mshabiki wa yanga mwenye akili..wote akili ni mapupu yenye mavi mavi..sina muda wa kubishana na watu wanaoshabikia timu yenye rangi ya mavi(njano ni mavi)ndio maana akili zenu zina mavi
 
hakuna mshabiki wa yanga mwenye akili..wote akili ni mapupu yenye mavi mavi..sina muda wa kubishana na watu wanaoshabikia timu yenye rangi ya mavi(njano ni mavi)ndio maana akili zenu zina mavi
😂😂😂😂😂😂😂😂😂.
 
Back
Top Bottom