Simba km mnataka kufika mbali msimu ujao faya hivi.

Simba km mnataka kufika mbali msimu ujao faya hivi.

BANDOKITITA

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2022
Posts
1,484
Reaction score
2,852
1) Fumua timu yote. Wakubaki hawazidi 8 nao wapigwe mkwara. Mfano inonga anazidisha mbwembwe kwenye wakati usio muafaka.
2) Fumua benchi lote la ufundi. Hakuna kocha hapo. Kocha anashindwa kusoma mchezo na wechezaji.
3) Simba waache nyimbo za kujipanga kila msimu. Wao Kila msimu ukikaribia kuisha utaskia viongozi wanasema "haya yameisha tutajipanga msimu ujao".
4) Viongozi waliopo hapo Simba hawana uchungu na timu. Hata wakipoteza wao hawajali maana Kila mwezi wanalipwa.
5) Wapenzi na mashaabiki wa Simba acheni uzwazwa wa kumkumbatia mtu hata km siku hiyo hana mchezo mzuri. Mfano, kocha analazimika kumtumia Triple C (Chama) dakika zote kwa sababu ya makelele ya mashaabiki. Kitendo Cha kuona mchezaji fulani ni mfalume haya ndiyo madhara yaje. Chama amekuwa km mfalume ktk timu ndiyo maana mnaangukia pua Kila siku. Acheni kuingilia makocha.

NB
Kwa hiki kinachotokea kwa Simba kinafifisha nyota ya Simba kung'aa kimataifa .

Mashaabiki wanapitia wakati mgumu sn. Wanatakiwa kufanya maamuzi mazito. Mfano, kulikuwa na sababu gani kupumzisha wachezaji mechi na Namungo na hatimae ku draw na leo wamecheza chini ya kiwango na kupoteza.
 
Mfano goli alilokosa leo tena la wazi kabisa angekuwa Kibu leo wangemtolea hadi matusi ya nguoni ila kwa vile kakosa mfalume wao utaskia mapambio tu .
Kabisa. Kocha akijaribu kumbadilisha mashabiki wanamzomea. Matokeo yake anaogopa kumbadilisha.
 
Mpendwa mtazamaji wa ITV, kula chuma hichoo
AddText_05-07-05.55.40.jpg
 
Siku zote mtu husifiwa kwa mazuri tu km una makando kando utasemwa kwa mabaya pia. Malengo ya timu sku zote ni kwenda mbele siyo kuridhika na matokeo ya panda shuka km baiskeli.

Kiufundi unatakiwa uweze kuona mambo yote, yaliyo mazuri na yaliyo na nafasi ya kuleta shida hata wakati unapofanya vizuri...
 
KILA SIKU TUNAWAAMBIA ACHENI KULATA WACHEZAJI MIZIGO. TIMU INATAKIWA IFANYE MABADIRIKO. VIONGOZI WANAPASWA WAJIUZURU NA WACHEZAJI WAONDOSHWE.


1. Mohamed Ottara.
2. Joash Onyango.
3. Ismail sawadogo.
4.Peter Banda.
5. Pape Sackho.
6.Agustine Okrah.

WACHEZAJI WAZAWA WA KUACHWA.

1.John Boko.
2.Jonas Mkude.
3. GADIEL Michael.
4. Nassor Kapama.
5.Habib Kyombo.

NAFASI MUHIMU ZA KUJAZA.

1.Golikipa nambari Mbili.
2. Beki wa kushoto.
3. Mabeki wa kati .
4. Kiungo mkabaji ,, 6 ,, 8.
5. Mshambuliaji wa KIGENI futi sita.
6. Winga wa kushoto.

ZINGATIENI SANA VIMO VYA WACHEZAJI WALAU 6 FEET.

BORA KUSAJILI WACHEZAJI WACHACHE KULIKO KUWA NA RUNDO LA WACHEZAJI MIZIGO.
MOHAMED DEWJI.
TRY AGAIN.
MANGUNGO.
BODI YA WAKURUGENZI.
 
Kilichotokea na Mechi ya Namungo na leo kinaitwa kitaalam

"Ukikimbia Nchale, ukisimama Nchale, ukilala Nchale, ukiongea Nchale, ukikaa kimya Nchale....!"
 
KILA SIKU TUNAWAAMBIA ACHENI KULATA WACHEZAJI MIZIGO. TIMU INATAKIWA IFANYE MABADIRIKO. VIONGOZI WANAPASWA WAJIUZURU NA WACHEZAJI WAONDOSHWE.


1. Mohamed Ottara.
2. Joash Onyango.
3. Ismail sawadogo.
4.Peter Banda.
5. Pape Sackho.
6.Agustine Okrah.

WACHEZAJI WAZAWA WA KUACHWA.

1.John Boko.
2.Jonas Mkude.
3. GADIEL Michael.
4. Nassor Kapama.
5.Habib Kyombo.

NAFASI MUHIMU ZA KUJAZA.

1.Golikipa nambari Mbili.
2. Beki wa kushoto.
3. Mabeki wa kati .
4. Kiungo mkabaji ,, 6 ,, 8.
5. Mshambuliaji wa KIGENI futi sita.
6. Winga wa kushoto.

ZINGATIENI SANA VIMO VYA WACHEZAJI WALAU 6 FEET.

BORA KUSAJILI WACHEZAJI WACHACHE KULIKO KUWA NA RUNDO LA WACHEZAJI MIZIGO.
MOHAMED DEWJI.
TRY AGAIN.
MANGUNGO.
BODI YA WAKURUGENZI.
Onyango afukuzwe abaki Mkude? seriously??
 
Back
Top Bottom