cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Sasa yule ni majeruhi mnooooHadi phiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa yule ni majeruhi mnooooHadi phiri
Okrah ndani ya miaka 11 kachezea vilabu 12, hakuna timu inayotaka kumtumia zaidi ya msimu mmoja, hapo kuna mchezaji kweli? Au misumari anapigwa Kila timu?Okrah ni mchezaji mzuri sana
Tatizo misumari.
Mimi nadhani hajawahi kunivutia hata kidogo. Bora nibaki na Kapama kuliko Banda.Ila Banda ndio simuelewagi basi tu
Ongezea Phiri na Kennedy.Wachezaji wanaotakiwa kubaki simba ni hawa hapa.
Manula
Ally salim
Inonga
Kapombe
Zimbwe
Kanoute
Chama
Mzamiru
Baleke
Kibu (huyu kwa sabau fulanii Fulani)
Waliobaki wenginee wotee waoneshwe gate LA kutokea, hawana hadhi ya kuwepoo palee wafurushweee.
At leastOngezea Phiri na Kennedy.
Wengine wote wafurushwe.. hata tuanze upya.
Banda ni majeruhi tu,ila dogo yupo vizuri sana huwezi kumcompare hata na Sakho.....anajua anachokifanyaIla Banda ndio simuelewagi basi tu