Simba kucheza mechi ya kirafiki na Al Dhafra inayoburuza mkia ligi ya UAE Pro League

Ndio maana wameamua kuchagua timu mbovu ili waifunge waje kuringishia kwa Uto lakini wapi.
Wamepakatwa bana.
 
Utopole mnavyoufuatilia Simba utafikiri hamuna taarifa ya manara kutafuniwa mkewe.
Manara siyo taasisi, na taarifa za kutafuniwa mkewe ni maisha yake binafsi, halafu ukute si kweli pengine ni Drama tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…