Baki na timu yako UTO PRO MAX, mambo ya Simba hayakuhusuKombe la ma loser ndo mfike fainali mtajuana kama alisema manara au manyara kikubwa mikubwa nanyi mlikubaliana nae kwamba hilo ni kombe la ma loser ila tunashangaa mapema kabisa mkia anatolewa kamasi jepesi na super loser