TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Ulitaka Waone niniYaani huku vijiweni ni majigambo tu , ": Mara ooh Tumecheza uwanja wa mpinzani uwanja ukiwa full house, mara ooh Yanga walicheza Ethiopia uwanja ukiwa na Mashabiki 50 tu. Mara ooh Simba ni kubwa sana.
Watu wanatafuta point nyie mnatafuta sifa za kijinga.
Sifa za Mluguru kujisifia kagongwa na Benz
Yaani sifa za kijinga na kishamba sana.