Baki na timu yako UTO PRO MAX, mambo ya Simba hayakuhusuKombe la ma loser ndo mfike fainali mtajuana kama alisema manara au manyara kikubwa mikubwa nanyi mlikubaliana nae kwamba hilo ni kombe la ma loser ila tunashangaa mapema kabisa mkia anatolewa kamasi jepesi na super loser
Fikeni fainali ya ma loser mikia acheni kutiatia huruma hapaBaki na timu yako UTO PRO MAX, mambo ya Simba hayakuhusu
Huyo Ndanda wa Ethiopia ni BINGWA.Kwani ni uongo? Nyie mlicheza na ndanda ya Ethiopia ila majigambo mengi utafiri mmecheza na timu kuuuubwaa!
Sawa..Utopolo nao wanaona sifa kucheza kama wako mazoezini kule EthiopiaYaani huku vijiweni ni majigambo tu , ": Mara ooh Tumecheza uwanja wa mpinzani uwanja ukiwa full house, mara ooh Yanga walicheza Ethiopia uwanja ukiwa na Mashabiki 50 tu. Mara ooh Simba ni kubwa sana.
Watu wanatafuta point nyie mnatafuta sifa za kijinga.
Yaani sifa za kijanga na kishamba sana
Kwani wewe hujui simba ni kubwa kuliko Yanga..By the way katika hatua ya mtoano kinachotafutwa ni kusonga mbele sio point...Yaani huku vijiweni ni majigambo tu , ": Mara ooh Tumecheza uwanja wa mpinzani uwanja ukiwa full house, mara ooh Yanga walicheza Ethiopia uwanja ukiwa na Mashabiki 50 tu. Mara ooh Simba ni kubwa sana.
Watu wanatafuta point nyie mnatafuta sifa za kijinga.
Sifa za Mluguru kujisifia kagongwa na Benz
Yaani sifa za kijinga na kishamba sana.
Simba wameridhika na matokeo yao cha ajabu UTO wanateseka, achaneni na simba bakini na timu yenuFikeni fainali ya ma loser mikia acheni kutiatia huruma hapa
Eti kuwabana mbavu waarabu🤣🚮Yani iyo timu mlizocheza nayo aina tofauti na Namungo ya Tanzania lakini kwakuwa wamekutana na timu yenu mbovu mkapaki basi la wachezaji 8 kwenye goli lenu msifungwe, no short on target ata Moja🤣🤣Simba kwa Cecafa ndio nambari moja,kwa Caf nambari 4,kuwabana mbavu wale waarabu kwao full house sio kitu cha kubeza,wanastahili pongezi
Hawa vyura wageni wageni tena WA maporini. Hawajui kwamba Manara baada ya kuhamia Yanga kutoka Simba aliwaponda Simba kuwa wanashiriki Loser Cup MUNGU si athumani wakatolewa mapema na Al Hilal ya Sudan wakashushwa Shirikisho ndio ikaanza ' Return to sender'.Aliyesema loser ni manara tena akiwa yanga hukohuko
Kwahiyo aliyeshinda 3 na aliyeshinda 4 nani alifunga hesabu za kufuzu robo fainali? Au hukujua kama ile mechi ndio ilifunga hesabu ya h2h? Ile mechi ndio iliyomtoa Belouizdad na kuishia hatua ya makundi.Simba i
Simba imewahi kumng'oa bingwa wa Caf Champions league nyumbani kwake achana na nyie kushinda kigoli kimoja na bado hakikuwasaidia halafu hao mliowachapa nne nyumbani si kwao nao waliwatandika kwao 3 mtungi bwana Changaule!!?
Wew unazungumzia kumbana mbavu mwenzio yanga alishampa kichapo benchika na timu yake yenye mashabiki full house pale algeria na ndipo mlipoanza kumjua benchika 😂😂😂Simba kwa Cecafa ndio nambari moja,kwa Caf nambari 4,kuwabana mbavu wale waarabu kwao full house sio kitu cha kubeza,wanastahili pongezi
Alinichapa tatu nikamlipa tatu zake nikamuongeza na moja na kumtoa moja kwa moja mashindanoniHuyo beruzidad kule kwao alikuchapa ngapi?
Kwanini sasa mnalalama sisi kukatwa point 6 ishu ya kagoma ..tunachojua wenye akili ni wawili huko kwenu maana haiwezekani mkaanza kuonyesha mikataba ya wachezaji kwenye vyombo vya habarihaijalishi umejifunzia mpira mda gani ila yanga ni darasa kwa simba burudani machoni mwa mashabiki wao na ni kero kwa mashabiki wa makolo fc katika kipindi hiki,naona kabisa yanga ni wanyonge kumfunga simba goli 1-0,CBE 1-0 yani sio matokeo yanayoendana na wao kabisa
short on target ndio nnEti kuwabana mbavu waarabu🤣🚮Yani iyo timu mlizocheza nayo aina tofauti na Namungo ya Tanzania lakini kwakuwa wamekutana na timu yenu mbovu mkapaki basi la wachezaji 8 kwenye goli lenu msifungwe, no short on target ata Moja🤣🤣
Mlivyomng'oa mkaishia wapi?Simba i
Simba imewahi kumng'oa bingwa wa Caf Champions league nyumbani kwake achana na nyie kushinda kigoli kimoja na bado hakikuwasaidia halafu hao mliowachapa nne nyumbani si kwao nao waliwatandika kwao 3 mtungi bwana Changaule!!?
Umeanza kushabikia mpira juzi,Simba ameshazifunga sana timu za kiarabu kuliko timu yoyote nchini,si ajabu kumfunga nwarabu ila sio kitu cha kubeza,waarabu wanafitna sana ndani nanje ya uwanja,na wamewekeza sana,huyo mambululu aba thanani ya bilioni 4 sijui,Wew unazungumzia kumbana mbavu mwenzio yanga alishampa kichapo benchika na timu yake yenye mashabiki full house pale algeria na ndipo mlipoanza kumjua benchika 😂😂😂