Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
SIMBA KUCHEZESHWA SAA NANE USIKU NA MWARABU.
KWA Mjibu wa ratiba iliyopo Shirikisho la Mpira Barani Afrika (CAF) inaonesha kuwa Mchezo wa Mwisho wa Mechi ya Klabu Bingwa Barani Afrika kati ya Raja Casablanca [emoji1026] na Simba [emoji1241] utachezwa Jumamosi ya April 1,2023 kuanzia saa nane kamili usiku.
Mechi zingine ambazo zitachezwa mda huo ni Esperance [emoji1249] vs CR Belouzidad na Wydad vs JS Kabylie.
Athari Kwa Simba
_Kikosi chetu kina wazee wengi Kwa muda huo binafsi naona muarabu kashafanya calculations ili achukue point zote
Kusinzia uwanjani
Kutokana na uzee wa wachezaji wetu ...sitoshangaa wakianza kusinzia uwanjani
NB: mwarabu Hana huruma...hatuachii hata hizi point za mwisho???
#TotalEnergayChampionsLeague
KWA Mjibu wa ratiba iliyopo Shirikisho la Mpira Barani Afrika (CAF) inaonesha kuwa Mchezo wa Mwisho wa Mechi ya Klabu Bingwa Barani Afrika kati ya Raja Casablanca [emoji1026] na Simba [emoji1241] utachezwa Jumamosi ya April 1,2023 kuanzia saa nane kamili usiku.
Mechi zingine ambazo zitachezwa mda huo ni Esperance [emoji1249] vs CR Belouzidad na Wydad vs JS Kabylie.
Athari Kwa Simba
_Kikosi chetu kina wazee wengi Kwa muda huo binafsi naona muarabu kashafanya calculations ili achukue point zote
Kusinzia uwanjani
Kutokana na uzee wa wachezaji wetu ...sitoshangaa wakianza kusinzia uwanjani
NB: mwarabu Hana huruma...hatuachii hata hizi point za mwisho???
#TotalEnergayChampionsLeague