Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
- Thread starter
- #21
Mbna sisi tukiweka mchana CAF wanagomaMwarabu asije kuwababu seya wachezaji wetu usiku huo.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbna sisi tukiweka mchana CAF wanagomaMwarabu asije kuwababu seya wachezaji wetu usiku huo.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kila siku wanaawambia wao siyo Waafrica hamsikii.
Jana wamewakarisha Brazil.Lkn wmerudi AU
Ndio maana tunaitwa MBUMBUMBU.Ratiba ya CAF interclub championship ikiwa inaenda kutamatika kwa kumalizia michezo ya raundi ya sita katika group stage wikiend hii. Kwa upande wa champions league, Simba itacheza na Raja Casablanca lakini mchezo huo utachezwa saa saba ya usiku kwa saa za Africa Mashariki.
Hivyo watakaotaka kushuhudia huu mchezo wanapaswa kuushinda usingizi, na changamoto zingine ili waweze kutaza game ya usiku wa manane
Hapa naona anatuliza Mpira gambani huku amesinziaAkila miraa atakua vizuri View attachment 2566228