Lord Delamere in Kenya
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,988
- 8,021
Simba alicheza fainali ya CAFCC mwaka 1993 na Mama Samia aliwakumbusha hilo siku mmeenda kujipendekeza Ikulu. Na kabla hamjafika fainali hiyo nyie hivi karibuni, mlikuwa hamjawahi kudhihaki fainali aliyocheza Simba.Auna D 2 ndio maana ujanielewa point yangu,,kucheza kwako robo fainali akuna maana yoyote ni sawa na timu iliyoishia makundi tu kwakuwa timu zinapigania kombe ama medali,,kufika robo tu na ukaishia hapo Kila msimu ni kuferi,,yanga wao wamecheza fainali ya ilo kombe ulilopo na wanazo medali za mshindi wa pili kwaiyo aujawafikia hata robo kimafanikio!
Leta iyo picha ukivalishwa medali iyo miaka ya zilipendwa tuzione
Huyo bingwa wa confederation cup 92/93 Stella club d'adjame alicheza na nani? Cheza na washamba wenzako tulikuwa taifa 93 sio wewe wa kijijini vitoto vya 2000
Sawa mtaalamuSimba ana mechi ngumu zijazo
Hizo mechi zote anaenda kudondosha alama 7
24 February
Simba vs Azam
Licha ya undugu wa damu alionao Simba na Azam. Naamini hii mechi Azam atamkazia Simba ili aweze kushika nafasi ya pili na kucheza CAFCL sio UMITASHUMITA shirikisho
Na Azam wana hasira, baada ya Ahmed Ali kuwaita Azam nzi wa choo, wala kinyesi. Hapa Simba na Azam zitagawana alama. Hii mechi ni sare.
1 March
Coast union vs Simba
Hii mechi itakuwa away huko Arusha
Tunajua Simba Huwa anapata Shida mechi za away na Huwa anashinda Kwabeleko Kwa maana ya red card na penalties. Waamzi wakitenda haki hapa ni sare au Simba apoteza, maana atakuwa ametoka kutumia nguvu kubwa kwenye Mzizima derby
8 March
Young Africans vs Simba
Hapa ndo balaa. Yaani Simba wanaoingia kwenye geto la Pdidy hapa lazima Simba wapakwe mafuta. Yanga atashinda goli 5+
Huu mtego Simba wamenasa
Yanga bingwa.
View attachment 3246865
Tuambie sasa ilo kombe ulilocheza fainali lilikuwa ni kombe Gani?Sio Babu yangu alinidanganya nilikuwepo uwanja wa uhuru Mimi sio wewe umezaliwa Kijiji mpira wa miguu umeukuta mjini
Kwaiyo na wewe unaungana na mbumbumbu mwenzako kwamba mlicheza fainali ya shirikisho mwaka 1993?We jamaa ukishindwa hoja una tabia ya kukimbia mijadala halafu unakuja kuiibua tena sehemu nyingine.
Mlipoenda kulishwa wali pale Ikulu halafu mkanyang'anywa mchezaji wenu kipenzi Feisal, Rais Samia aliwazodoa akawaambia nyie siyo wa kwanza nchi hii kufika fainali za kombe la shirikisho CAF.
Nimeona hapo juu unadai uonyeshwe picha za medali wakati jana tu zimepostiwa. Unagoma kabisa kushindwa.
Ndo utuambie baada ya Stella abdijan kuwa bingwa wa iyo caf cup kwanini akwenda kucheza Africa super cup kama michuano iyo ilikuwa na umuhimu,,kwanini mshindi wa champions cup Aly ahly alienda kucheza na aliyekuwa mshindi wa kombe la washindi kwenye African super cup mwaka 1994?Huyo bingwa wa confederation cup 92/93 Stella club d'adjame alicheza na nani? Cheza na washamba wenzako tulikuwa taifa 93 sio wewe wa kijijini vitoto vya 2000
Wewe akuna unachokijua usipiyange kwenye vitu usivyovijuaSimba alicheza fainali ya CAFCC mwaka 1993 na Mama Samia aliwakumbusha hilo siku mmeenda kujipendekeza Ikulu. Na kabla hamjafika fainali hiyo nyie hivi karibuni, mlikuwa hamjawahi kudhihaki fainali aliyocheza Simba.
Kama maneno haya yalikupitia ngoja niyarudie....Kwaiyo na wewe unaungana na mbumbumbu mwenzako kwamba mlicheza fainali ya shirikisho mwaka 1993?
Kwaiyo Rais akisema ndio Yuko sahihi? Usiwe bendera fata upepo nilishaga kwambia uwe na detail kabla ujachangia jambo,,Simba aikucheza kombe la shirikisho,,kombe lillilokuwa la washindi barani Africa ndilo lilikuwa na hadhi ya kombe la shirikisho kwa sasa baada ya kufanyiwa marekebisho,,kombe lillilokuwa linaitwa champions cup ndilo klabu bingwa kwasasa,,kwa maana iyo yanga ndio timu ya kwanza kucheza fainali ya shirikisho barani Africa akuna timu iliwai kucheza fainali iyo period!Kama maneno haya yalikupitia ngoja niyarudie....
"Mlipoenda kulishwa wali pale Ikulu halafu mkanyang'anywa mchezaji wenu kipenzi Feisal, Rais Samia aliwazodoa akawaambia nyie siyo wa kwanza nchi hii kufika fainali za kombe la shirikisho CAF."
Jibu hoja na sio vihojaHizi story za ally kamwe unatuletea jf jipate itakusaidia .
Unaelekea kubaya. Unampinga kila mtu, hadi umefikia kumpinga Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpaka Rais anasema vile ujue amejiridhisha na amepewa details hizo na wasaidizi wake. Kwa hiyo wewe una ufahamu kuliko wasaidizi wa Rais wa nchi? Nakuwaje bendera fuata upepo wakati tulikuwa tunawaambia hivyo kabla hata Rais hajatamka maneno hayo?Kwaiyo Rais akisema ndio Yuko sahihi? Usiwe bendera fata upepo nilishaga kwambia uwe na detail kabla ujachangia jambo,,Simba aikucheza kombe la shirikisho,,kombe lillilokuwa la washindi barani Africa ndilo lilikuwa na hadhi ya kombe la shirikisho kwa sasa baada ya kufanyiwa marekebisho,,kombe lillilokuwa linaitwa champions cup ndilo klabu bingwa kwasasa,,kwa maana iyo yanga ndio timu ya kwanza kucheza fainali ya shirikisho barani Africa akuna timu iliwai kucheza fainali iyo period!
Acha ukilaza na ujinga usio na mipaka bingwa wa confederation Kwa orodha ya cuf 92/93 ni Stella sio zamalek,wenye michuano ndio wameweka record wewe mjinga mmoja kutoka sijui wapi.Kama umesoma walimu wako walipata KAZI kufundisha mjinga mmojaNdo utuambie baada ya Stella abdijan kuwa bingwa wa iyo caf cup kwanini akwenda kucheza Africa super cup kama michuano iyo ilikuwa na umuhimu,,kwanini mshindi wa champions cup Aly ahly alienda kucheza na aliyekuwa mshindi wa kombe la washindi kwenye African super cup mwaka 1994?
We ndo huna ulijualo ila uko hapa kukaza fuvu. Ushahidi tumekuwekea hapo bado unakuja kuimba taarabu. Nilikuwepo uwanjani mwaka huo 1993.Wewe akuna unachokijua usipiyange kwenye vitu usivyovijua
Hawawezi kuelewa hao mbumbumbu wa RageKwaiyo Rais akisema ndio Yuko sahihi? Usiwe bendera fata upepo nilishaga kwambia uwe na detail kabla ujachangia jambo,,Simba aikucheza kombe la shirikisho,,kombe lillilokuwa la washindi barani Africa ndilo lilikuwa na hadhi ya kombe la shirikisho kwa sasa baada ya kufanyiwa marekebisho,,kombe lillilokuwa linaitwa champions cup ndilo klabu bingwa kwasasa,,kwa maana iyo yanga ndio timu ya kwanza kucheza fainali ya shirikisho barani Africa akuna timu iliwai kucheza fainali iyo period!
Kama kolo atacheza kizembe kama alivyocheza na namungo kule Rwangwa juzi, uwezekano wa kufungwa mechi zote 3 ni 100%.Simba ana mechi ngumu zijazo
Hizo mechi zote anaenda kudondosha alama 7
24 February
Simba vs Azam
Licha ya undugu wa damu alionao Simba na Azam. Naamini hii mechi Azam atamkazia Simba ili aweze kushika nafasi ya pili na kucheza CAFCL sio UMITASHUMITA shirikisho
Na Azam wana hasira, baada ya Ahmed Ali kuwaita Azam nzi wa choo, wala kinyesi. Hapa Simba na Azam zitagawana alama. Hii mechi ni sare.
1 March
Coast union vs Simba
Hii mechi itakuwa away huko Arusha
Tunajua Simba Huwa anapata Shida mechi za away na Huwa anashinda Kwabeleko Kwa maana ya red card na penalties. Waamzi wakitenda haki hapa ni sare au Simba apoteza, maana atakuwa ametoka kutumia nguvu kubwa kwenye Mzizima derby
8 March
Young Africans vs Simba
Hapa ndo balaa. Yaani Simba wanaoingia kwenye geto la Pdidy hapa lazima Simba wapakwe mafuta. Yanga atashinda goli 5+
Huu mtego Simba wamenasa
Yanga bingwa.
View attachment 3246865
Bora umepona ujinga huu wa Simba na YangaSIMBA NA YANGA zinawafanya watanganyika waonekane wapumbavu.
Vijana wamekuwa vichaa kabisa.