Simba kudondosha points mechi zote 3 zijazo

Simba kudondosha points mechi zote 3 zijazo

Auna D 2 ndio maana ujanielewa point yangu,,kucheza kwako robo fainali akuna maana yoyote ni sawa na timu iliyoishia makundi tu kwakuwa timu zinapigania kombe ama medali,,kufika robo tu na ukaishia hapo Kila msimu ni kuferi,,yanga wao wamecheza fainali ya ilo kombe ulilopo na wanazo medali za mshindi wa pili kwaiyo aujawafikia hata robo kimafanikio!
Simba alicheza fainali ya CAFCC mwaka 1993 na Mama Samia aliwakumbusha hilo siku mmeenda kujipendekeza Ikulu. Na kabla hamjafika fainali hiyo nyie hivi karibuni, mlikuwa hamjawahi kudhihaki fainali aliyocheza Simba.
 
Leta iyo picha ukivalishwa medali iyo miaka ya zilipendwa tuzione
images-19.jpg
 
Huyo bingwa wa confederation cup 92/93 Stella club d'adjame alicheza na nani? Cheza na washamba wenzako tulikuwa taifa 93 sio wewe wa kijijini vitoto vya 2000

Mzee unazungumza na mimi mbona sikumbuki kama nilikua nafanya majibizano yeyote na wewe?
 
Simba ana mechi ngumu zijazo
Hizo mechi zote anaenda kudondosha alama 7

24 February
Simba vs Azam
Licha ya undugu wa damu alionao Simba na Azam. Naamini hii mechi Azam atamkazia Simba ili aweze kushika nafasi ya pili na kucheza CAFCL sio UMITASHUMITA shirikisho
Na Azam wana hasira, baada ya Ahmed Ali kuwaita Azam nzi wa choo, wala kinyesi. Hapa Simba na Azam zitagawana alama. Hii mechi ni sare.

1 March
Coast union vs Simba
Hii mechi itakuwa away huko Arusha
Tunajua Simba Huwa anapata Shida mechi za away na Huwa anashinda Kwabeleko Kwa maana ya red card na penalties. Waamzi wakitenda haki hapa ni sare au Simba apoteza, maana atakuwa ametoka kutumia nguvu kubwa kwenye Mzizima derby

8 March
Young Africans vs Simba
Hapa ndo balaa. Yaani Simba wanaoingia kwenye geto la Pdidy hapa lazima Simba wapakwe mafuta. Yanga atashinda goli 5+

Huu mtego Simba wamenasa
Yanga bingwa.

View attachment 3246865
Sawa mtaalamu
 
We jamaa ukishindwa hoja una tabia ya kukimbia mijadala halafu unakuja kuiibua tena sehemu nyingine.

Mlipoenda kulishwa wali pale Ikulu halafu mkanyang'anywa mchezaji wenu kipenzi Feisal, Rais Samia aliwazodoa akawaambia nyie siyo wa kwanza nchi hii kufika fainali za kombe la shirikisho CAF.

Nimeona hapo juu unadai uonyeshwe picha za medali wakati jana tu zimepostiwa. Unagoma kabisa kushindwa.
Kwaiyo na wewe unaungana na mbumbumbu mwenzako kwamba mlicheza fainali ya shirikisho mwaka 1993?
 
Huyo bingwa wa confederation cup 92/93 Stella club d'adjame alicheza na nani? Cheza na washamba wenzako tulikuwa taifa 93 sio wewe wa kijijini vitoto vya 2000
Ndo utuambie baada ya Stella abdijan kuwa bingwa wa iyo caf cup kwanini akwenda kucheza Africa super cup kama michuano iyo ilikuwa na umuhimu,,kwanini mshindi wa champions cup Aly ahly alienda kucheza na aliyekuwa mshindi wa kombe la washindi kwenye African super cup mwaka 1994?
 
Simba alicheza fainali ya CAFCC mwaka 1993 na Mama Samia aliwakumbusha hilo siku mmeenda kujipendekeza Ikulu. Na kabla hamjafika fainali hiyo nyie hivi karibuni, mlikuwa hamjawahi kudhihaki fainali aliyocheza Simba.
Wewe akuna unachokijua usipiyange kwenye vitu usivyovijua
 
Kwaiyo na wewe unaungana na mbumbumbu mwenzako kwamba mlicheza fainali ya shirikisho mwaka 1993?
Kama maneno haya yalikupitia ngoja niyarudie....

"Mlipoenda kulishwa wali pale Ikulu halafu mkanyang'anywa mchezaji wenu kipenzi Feisal, Rais Samia aliwazodoa akawaambia nyie siyo wa kwanza nchi hii kufika fainali za kombe la shirikisho CAF."
 
Kama maneno haya yalikupitia ngoja niyarudie....

"Mlipoenda kulishwa wali pale Ikulu halafu mkanyang'anywa mchezaji wenu kipenzi Feisal, Rais Samia aliwazodoa akawaambia nyie siyo wa kwanza nchi hii kufika fainali za kombe la shirikisho CAF."
Kwaiyo Rais akisema ndio Yuko sahihi? Usiwe bendera fata upepo nilishaga kwambia uwe na detail kabla ujachangia jambo,,Simba aikucheza kombe la shirikisho,,kombe lillilokuwa la washindi barani Africa ndilo lilikuwa na hadhi ya kombe la shirikisho kwa sasa baada ya kufanyiwa marekebisho,,kombe lillilokuwa linaitwa champions cup ndilo klabu bingwa kwasasa,,kwa maana iyo yanga ndio timu ya kwanza kucheza fainali ya shirikisho barani Africa akuna timu iliwai kucheza fainali iyo period!
 
Kwaiyo Rais akisema ndio Yuko sahihi? Usiwe bendera fata upepo nilishaga kwambia uwe na detail kabla ujachangia jambo,,Simba aikucheza kombe la shirikisho,,kombe lillilokuwa la washindi barani Africa ndilo lilikuwa na hadhi ya kombe la shirikisho kwa sasa baada ya kufanyiwa marekebisho,,kombe lillilokuwa linaitwa champions cup ndilo klabu bingwa kwasasa,,kwa maana iyo yanga ndio timu ya kwanza kucheza fainali ya shirikisho barani Africa akuna timu iliwai kucheza fainali iyo period!
Unaelekea kubaya. Unampinga kila mtu, hadi umefikia kumpinga Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpaka Rais anasema vile ujue amejiridhisha na amepewa details hizo na wasaidizi wake. Kwa hiyo wewe una ufahamu kuliko wasaidizi wa Rais wa nchi? Nakuwaje bendera fuata upepo wakati tulikuwa tunawaambia hivyo kabla hata Rais hajatamka maneno hayo?

Wakati website ya African Football League iko hewani, kwenye profile ya Simba waliandika ilifika fainali ya CAF shirikisho. Evidence zote hizo hazikutoshi.

Kuna mambo mengi ya maana ya kudiscuss, siyo unakalia tu hoja zile zile kila siku wakati umeshaeleweshwa. Unaboa.
 
Ndo utuambie baada ya Stella abdijan kuwa bingwa wa iyo caf cup kwanini akwenda kucheza Africa super cup kama michuano iyo ilikuwa na umuhimu,,kwanini mshindi wa champions cup Aly ahly alienda kucheza na aliyekuwa mshindi wa kombe la washindi kwenye African super cup mwaka 1994?
Acha ukilaza na ujinga usio na mipaka bingwa wa confederation Kwa orodha ya cuf 92/93 ni Stella sio zamalek,wenye michuano ndio wameweka record wewe mjinga mmoja kutoka sijui wapi.Kama umesoma walimu wako walipata KAZI kufundisha mjinga mmoja
 
Kwaiyo Rais akisema ndio Yuko sahihi? Usiwe bendera fata upepo nilishaga kwambia uwe na detail kabla ujachangia jambo,,Simba aikucheza kombe la shirikisho,,kombe lillilokuwa la washindi barani Africa ndilo lilikuwa na hadhi ya kombe la shirikisho kwa sasa baada ya kufanyiwa marekebisho,,kombe lillilokuwa linaitwa champions cup ndilo klabu bingwa kwasasa,,kwa maana iyo yanga ndio timu ya kwanza kucheza fainali ya shirikisho barani Africa akuna timu iliwai kucheza fainali iyo period!
Hawawezi kuelewa hao mbumbumbu wa Rage
 
Simba ana mechi ngumu zijazo
Hizo mechi zote anaenda kudondosha alama 7

24 February
Simba vs Azam
Licha ya undugu wa damu alionao Simba na Azam. Naamini hii mechi Azam atamkazia Simba ili aweze kushika nafasi ya pili na kucheza CAFCL sio UMITASHUMITA shirikisho
Na Azam wana hasira, baada ya Ahmed Ali kuwaita Azam nzi wa choo, wala kinyesi. Hapa Simba na Azam zitagawana alama. Hii mechi ni sare.

1 March
Coast union vs Simba
Hii mechi itakuwa away huko Arusha
Tunajua Simba Huwa anapata Shida mechi za away na Huwa anashinda Kwabeleko Kwa maana ya red card na penalties. Waamzi wakitenda haki hapa ni sare au Simba apoteza, maana atakuwa ametoka kutumia nguvu kubwa kwenye Mzizima derby

8 March
Young Africans vs Simba
Hapa ndo balaa. Yaani Simba wanaoingia kwenye geto la Pdidy hapa lazima Simba wapakwe mafuta. Yanga atashinda goli 5+

Huu mtego Simba wamenasa
Yanga bingwa.

View attachment 3246865
Kama kolo atacheza kizembe kama alivyocheza na namungo kule Rwangwa juzi, uwezekano wa kufungwa mechi zote 3 ni 100%.
 
Tukisema sisi ni manabii mnatupinga
Simba atadondosha points mechi zote 3

Na.mechi ya trh 8 Yanga atampa kipigo cha mbwa mwizi
 
Back
Top Bottom