kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Je, De Agosto ya Simba ni bora kuliko Al-Hilal ya Yanga? Au zina ubora sawa?
Kama ukishindwa kutoa jibu sahihi kwenye maswali haya, basi Simba inaweza kuchapwa na Yanga tarehe 23 October bila kulazimika kumlaumu Mgunda. Na wala Nabi asilaumiwe kwa kutolewa na Al Hilal kwa kumlinganisha na Mgunda aliyeifikisha Simba makundi.
Kwenye mashindano yale, tatizo halikuwa ni Nabi bali wachezaji wenyewe.
Kama ukishindwa kutoa jibu sahihi kwenye maswali haya, basi Simba inaweza kuchapwa na Yanga tarehe 23 October bila kulazimika kumlaumu Mgunda. Na wala Nabi asilaumiwe kwa kutolewa na Al Hilal kwa kumlinganisha na Mgunda aliyeifikisha Simba makundi.
Kwenye mashindano yale, tatizo halikuwa ni Nabi bali wachezaji wenyewe.