Simba kufika makundi haimaanishi ubora kuliko Yanga

Simba kufika makundi haimaanishi ubora kuliko Yanga

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Je, De Agosto ya Simba ni bora kuliko Al-Hilal ya Yanga? Au zina ubora sawa?

Kama ukishindwa kutoa jibu sahihi kwenye maswali haya, basi Simba inaweza kuchapwa na Yanga tarehe 23 October bila kulazimika kumlaumu Mgunda. Na wala Nabi asilaumiwe kwa kutolewa na Al Hilal kwa kumlinganisha na Mgunda aliyeifikisha Simba makundi.

Kwenye mashindano yale, tatizo halikuwa ni Nabi bali wachezaji wenyewe.
 
Je De Costco ya Simba ni bora kuliko Al-Hilal ya Yanga? Au Zina ubora sawa?

Kama ukishindwa kutoa jibu sahihi kwenye maswali haya basi Simba inaweza kuchapwa na Yanga trh 23 October bila kulazimika kumlaumu Mgunda. Na Wala Nabi asilaumiwe kwa kutolewa na Al hilal kwa kumlinganisha na Mgunda aliyeifikisha Simba makundi.

Kwenye mashindano Yale tatizo halikuwa ni Nabi bali wachezaji wenyewe.
Umewehuka sio bure
Hilal ya uto tulipiga taifa 4-1 au hilal ya alkasus mujarab?
 
Je De Costco ya Simba ni bora kuliko Al-Hilal ya Yanga? Au Zina ubora sawa?

Kama ukishindwa kutoa jibu sahihi kwenye maswali haya basi Simba inaweza kuchapwa na Yanga trh 23 October bila kulazimika kumlaumu Mgunda. Na Wala Nabi asilaumiwe kwa kutolewa na Al hilal kwa kumlinganisha na Mgunda aliyeifikisha Simba makundi.

Kwenye mashindano Yale tatizo halikuwa ni Nabi bali wachezaji wenyewe.

Ndio mpira wa maneno huo yaani unafungwa bado unasema wewe ni bora,matokeo uwanjani ndio yanaonesha hivyo wewe sasa unataka kupingana na matokeo [emoji3].

Sio kuingia kwenye makundi ni kuingia kwenye club bingwa Africa,yaani unapata 1.4 bilions,
 
Na hizo hizo timu 16 ndiyo timu Bora kwa Africa kwa sasa.
Ndio mpira wa maneno huo yaani unafungwa bado unasema wewe ni bora,matokeo uwanjani ndio yanaonesha hivyo wewe sasa unataka kupingana na matokeo [emoji3].

Sio kuingia kwenye makundi ni kuingia kwenye club bingwa Africa,yaani unapata 1.4 bilions,
B
 
Ndio mpira wa maneno huo yaani unafungwa bado unasema wewe ni bora,matokeo uwanjani ndio yanaonesha hivyo wewe sasa unataka kupingana na matokeo [emoji3].

Sio kuingia kwenye makundi ni kuingia kwenye club bingwa Africa,yaani unapata 1.4 bilions,
Kama una uhakika kuwa de gosto na Al-Hilal Zina ubora sawa kwahiyo Simba ni bora kuliko Yanga tutadhibitisha trh 23.
 
Je, De Agosto ya Simba ni bora kuliko Al-Hilal ya Yanga? Au zina ubora sawa?

Kama ukishindwa kutoa jibu sahihi kwenye maswali haya, basi Simba inaweza kuchapwa na Yanga tarehe 23 October bila kulazimika kumlaumu Mgunda. Na wala Nabi asilaumiwe kwa kutolewa na Al Hilal kwa kumlinganisha na Mgunda aliyeifikisha Simba makundi.

Kwenye mashindano yale, tatizo halikuwa ni Nabi bali wachezaji wenyewe.
Maelezo mengi hayasaidii kitu mnazidi kujichoresha tu,mumetolewa CAF CL basi.
 
Maelezo mengi hayasaidii kitu mnazidi kujichoresha tu,mumetolewa CAF CL basi.
Hata Simba inaweza kupata aibu mbili, kufungwa na Yanga na kuondolewa kwenye makundi na Yanga kuifunga Club Africein weka akiba ya ma neno.
 
Waambie kama timu Yao haipo hapo, basi wao ni vitumbua tu.

Waache kelele hata hiyo Al Hillal si bora kuliko Simba.

Hata hiyo Club Africain ni underdog mbele ya Simba kama walivyo wao.
FB_IMG_1666305806016.jpg
 
Sa ndo umeandika taka taka gani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom