Tatizo la yanga bado halijafanyiwa kazi, footbal sio hesabu za cross multiplication kwamba kama 4=7 je 12 itakuwa ngapi,Je, De Agosto ya Simba ni bora kuliko Al-Hilal ya Yanga? Au zina ubora sawa?
Kama ukishindwa kutoa jibu sahihi kwenye maswali haya, basi Simba inaweza kuchapwa na Yanga tarehe 23 October bila kulazimika kumlaumu Mgunda. Na wala Nabi asilaumiwe kwa kutolewa na Al Hilal kwa kumlinganisha na Mgunda aliyeifikisha Simba makundi.
Kwenye mashindano yale, tatizo halikuwa ni Nabi bali wachezaji wenyewe.
Fikiria msim wa 2018/2019 makundi simba alikula hamsa kwa ahly na hamsa kwa vita, hesabu zingekuwa kama utavyoww bas hawa wawil wangeenda robo fainal lakin je, unakumbuka nan aliingia robo?
Tatizo lenu yanga midomo sana bila matendo, mfano siku hz kila siku club africain tutamtoa tukijipanga, mpak mech itafika bado hamjajipanga ila mnasema mkijipanga kwahiyo nae atawagonga tena maana hamjajipanga ila mnasema mtajipanga.
Nikirud kwenye hoja yako, agosto ashawah kuwa bingwa africa wkt hilal hajawah, kwahyo simba alicheza na timu ngum kuliko yanga sema nyie mliiona mech rahs kutokana na simba kushinda kirahisi kwa mtazamo wa machoni ila kwa wachezaj ukiwauliza watakueleza walivyo pata taabu kushinda
Pia ili kuthibitisha hila simba amewah kucheza na hawa wote, kwa mkapa agosto kala moja kwa mkapa hilal alikula nne nadhan umeona ipi ni bora kat ya hao
Mwisho kabisa, mpira hautumii cross multiplication, 23 octiber simba atashinda labza yanga waruke ukute tena kama kawaida yao na ndio maana kimataifa mnafurushwa maana kule hakuna kuruka ukura kama wachaw wa gamboshi