Simba kufungwa 5, Misri: Lawama kwa bechi la ufundi la Simba

Lakini pia ina changia malezi na mafunzo ya mchezaji tangia akiwa mdogo mana siku ile jioni tulipo kuwa training tulielekezwa jinsi ya u mark au Ku defense mnapo poteza mpira hautakiwi kuupa mngongo mpira tuliambiwa tucheki al haly na kweli wachezaji wa simba walikuwa wana Fanya makosa hayo ambapo al hly wakipoteza mpira walikuwa hawa upo mngongo mpira na Ku mark adui asiye na mpira .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilikuwa kosa kuwaruhusi wacheze mpira wao, Simba ilipoteza kabisa kwenye nafasi ya Kiungo, na kama unavyojua ukipoteza kiungo tu basi jua maumivu ni yako.

Niamini mimi kaka hao hao waliocheza juzi wakija kucheza hapa nyumbani na timu ile ile haitakua hivyo, Kwanza utashuhudia wageni watakuja na tactic nyingine tofauti kabisa hadi utashangaa. Mpira ni hesabu kaka ukiyumbisha dishi kidogo tu umekwisha.
 
Ni kweli na ndo mana napingangana na aina ya wachezaji wanao sajiliwa kutokea nje bora iwekwe sheria yoyote anae tokea nje sharti awe anacheza cheza first elven huko alipo toka ukiangalia kwa makini ni kama wawili tu au watatu walio kwenye form nzuri na tatizo kubwa jingine ni hawa wachezaji wetu wa ndani hawajafundishwa kabisa mpira mpira wanatumia vipaji vyao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simba hawana kiungo wanaokaba pia viungo wenyewe wazito,viungo wazuri ni at least nyoni na dilunga
 
unajua kati yenu nyie mnaolaumu kwa misingi ya ufundi wa kucheza mpira,nani kati yenu alishakuwa kocha japo wa timu inayocheza ndondo cup?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hii si hoja; mbinu zako zikiwa safi unaweza kuifunga hata timu inayokuzidi ubora.

Lazima Mwalimu ajue mbinu za kucheza away games kwenye mashindano haya; huwezi kufungwa goli 10 kwa mechi mbili za away; hapa kuna tatizo la kiufundi .

Wachezaji wa Simba si dhaifu hivi kiasi ambacho mnataka kituaminisha.

Utahakikisha nachokuambia mimi hao jamaa wakija hapa; usitegemee watacheza kama walivyocheza wakiwa kwao; watawaachia simba wachezee na wao watakwenda mbele kwa kushitukiza.

Mpira wa leo ni Sayansi na Sayansi lazima uumize kichwa. ndiyo maana makocha wanalipwa ma millioni kwa kazi hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…