rbt
Member
- Nov 28, 2014
- 95
- 73
Lakini pia ina changia malezi na mafunzo ya mchezaji tangia akiwa mdogo mana siku ile jioni tulipo kuwa training tulielekezwa jinsi ya u mark au Ku defense mnapo poteza mpira hautakiwi kuupa mngongo mpira tuliambiwa tucheki al haly na kweli wachezaji wa simba walikuwa wana Fanya makosa hayo ambapo al hly wakipoteza mpira walikuwa hawa upo mngongo mpira na Ku mark adui asiye na mpira .
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app