MtoMsimbazi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2009
- 1,800
- 3,091
Katika maisha neno,siwezi-hatuwezi,in short kujikataa au kuona huna uwezo wakufanya kitu huwezi fanikiwa kamwe,hii simba ingekua chini ya matola na mgunda ingefanya vitu vikubwa sn ilikua kosakubwa kuleta kocha Katikati ya msimu,kingine hawakufanya research ya kutosha kuhusu jamaa,team selection mbovu,formation mbovu..
Kwa mpira wa muatabu and Kanute hayupo alitakiwa kuanza na beki 3 nyuma
Kwa mpira wa muatabu and Kanute hayupo alitakiwa kuanza na beki 3 nyuma