Simba kufungwa na Raja tumestahili, tujipange msimu ujao

Simba kufungwa na Raja tumestahili, tujipange msimu ujao

Lile pira Dubai limekwenda wapi?! Au walikunda kutafuta Malaya Dubai!! Vijana wa thiimbaa!! Vp? Pumzi imekata mapemaaaa!! Onyangoo limi lote nje. NIMEUMIA SAANA!!
Umeumia wapi fala wewe [emoji1787]
 
Kiuhalisia simba hatuna timu ya kushindana kwenye ligi wala kwenye mashindano ya kimataifa. Timu iko flop.

Lazima tukubali mpira wa sasa hauchezwi kwa historia eti kwa mkapa hatoki mtu huu ni uzwazwa.

Ni hivi, Simba imekuwa ikisajiri kwa ujanja ujanja, ni kama viongozi hawapo serious huku ukweli wanaujua, mpira ni uwekezaji.

Ni hivi, Simba imewekeza sana kwenye propaganda. Msemaji wa timu anaropoka ropoka tuu kufurahisha genge huku akijua wazi kuwa mpira hauchezwi mdomoni wala kwa slogan.

Ni hivi, viongozi wanatufanya mashabiki wa simba ni mazuzu. Wanaona kwa kuwa watu wanaujaza uwanja basi wao wanafikiri watu ni watumwa wa mpira na hawana shuguli nyingine ya kufanya. Tunaweza tusiwe tunaenda uwanjani kwa kususia kwani simba haileti ugali majumbani kwetu.

Ni hivi, imenyesha tumejua panapo vuja. Tuna wachezaji magalasa kibao ambao hawakutakiwa kuwa simba leo ila wanalindwa kwa kutumia neno uzawa, bloodfckn.

Ni hivi, hii dhana ya kujiona wakubwa kisa tulimfunga ahly ni ya kitoto na ya kuachana nayo. Angalia quality tuliyonayo sasa hivi utaifunga timu gani inayojielewa? Hao utopolo tu ambao tunarogana kila siku hatuwawezi sembuse wanaowekeza mijipesa yao kwenye mpira?

Kiukweli natamani tusipate point hata moja kwenye mashindano haya labda viongozi akili zitawaamka. Ng'ombe hanenepi siku ya mnada viongozi nao waachane na kutoa motisha kwa wachezaji kwani ile ni kazi yao.

Kiufupi msimu ujao wachezaji wanaostahili kubaki simba ni baleke, inonga, saodoo, phiri na chama bhaaasiii. Wengine wote timua. Ni bora timu ikasukwa upya kuliko kujidanganya eti sisi ni wakubwa.
saidoo ni mchezaji gani huyo?
 
Tukubali kujiandaa wale raja hata turudiane nao mara 3 tunaliwa tu wale wametuzidi daraja
 
Raja hii hata uchanganye simba na YANGA goli tatu ziko palepale. Ni wao tu kuamua dakika ya ngapi wafunge.
 
Kiuhalisia simba hatuna timu ya kushindana kwenye ligi wala kwenye mashindano ya kimataifa. Timu iko flop.

Lazima tukubali mpira wa sasa hauchezwi kwa historia eti kwa mkapa hatoki mtu huu ni uzwazwa.

Ni hivi, Simba imekuwa ikisajiri kwa ujanja ujanja, ni kama viongozi hawapo serious huku ukweli wanaujua, mpira ni uwekezaji.

Ni hivi, Simba imewekeza sana kwenye propaganda. Msemaji wa timu anaropoka ropoka tuu kufurahisha genge huku akijua wazi kuwa mpira hauchezwi mdomoni wala kwa slogan.

Ni hivi, viongozi wanatufanya mashabiki wa simba ni mazuzu. Wanaona kwa kuwa watu wanaujaza uwanja basi wao wanafikiri watu ni watumwa wa mpira na hawana shuguli nyingine ya kufanya. Tunaweza tusiwe tunaenda uwanjani kwa kususia kwani simba haileti ugali majumbani kwetu.

Ni hivi, imenyesha tumejua panapo vuja. Tuna wachezaji magalasa kibao ambao hawakutakiwa kuwa simba leo ila wanalindwa kwa kutumia neno uzawa, bloodfckn.

Ni hivi, hii dhana ya kujiona wakubwa kisa tulimfunga ahly ni ya kitoto na ya kuachana nayo. Angalia quality tuliyonayo sasa hivi utaifunga timu gani inayojielewa? Hao utopolo tu ambao tunarogana kila siku hatuwawezi sembuse wanaowekeza mijipesa yao kwenye mpira?

Kiukweli natamani tusipate point hata moja kwenye mashindano haya labda viongozi akili zitawaamka. Ng'ombe hanenepi siku ya mnada viongozi nao waachane na kutoa motisha kwa wachezaji kwani ile ni kazi yao.

Kiufupi msimu ujao wachezaji wanaostahili kubaki simba ni baleke, inonga, saodoo, phiri na chama bhaaasiii. Wengine wote timua. Ni bora timu ikasukwa upya kuliko kujidanganya eti sisi ni wakubwa.
Naunga mkono hoja mwanamsimbazi mwenzangu
 
Quality mbovu, huyo Baleke hata TP Mazembe hawamtaki na sasa hivi anawekwa benchi na Boko! Sewadogo kasajiliwa kwa vigezo gani? Tumeambiwa msimu mzima hajacheza kwa majeruhi.

Sakho nae kama Morrison tu, game anazokupa quality ni chache. Hiyo timu hata kama kocha wetu angekuwa huyo wa Raja hatutoboi.

Simba tuna misimu 3 hatununui wachezaji wa maana. Toka tulivyootea akina Kagere, Fraga, Chama na Miquison tumekuwa tunaokota wachezaji. MO hatoi pesa za usajili!

Sasa fukuzeni kocha muacheni Mgunda na timu maana ndio pressure ya mashabiki! Ila huyo Mgunda atapigwa hadi game za ligi ndio mjue shida sio makocha! Kila siku tunafukuza makocha tu!

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Quality mbovu, huyo Baleke hata TP Mazembe hawamtaki na sasa hivi anawekwa benchi na Boko! Sewadogo kasajiliwa kwa vigezo gani? Tumeambiwa msimu mzima hajacheza kwa majeruhi.

Sakho nae kama Morrison tu, game anazokupa quality ni chache. Hiyo timu hata kama kocha wetu angekuwa huyo wa Raja hatutoboi.

Simba tuna misimu 3 hatununui wachezaji wa maana. Toka tulivyootea akina Kagere, Fraga, Chama na Miquison tumekuwa tunaokota wachezaji. MO hatoi pesa za usajili!

Sasa fukuzeni kocha muacheni Mgunda na timu maana ndio pressure ya mashabiki! Ila huyo Mgunda atapigwa hadi game za ligi ndio mjue shida sio makocha! Kila siku tunafukuza makocha tu!

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Mda wa kujua ukweli kuhusu hii overrated team umefika.
 
Eti onyango ana 25yrs sjui n kweli?
[emoji2960]
JamiiForums-79526340.jpg
 
Usajilinunahitaji pesa na Kanji mgumu.Manzoki milioni 150 imeku ngumu kumsajili je'timu zetu hizi zitaweza kusajili mchezaji hata kwa milioni 500!
 
Hata Vunjabei akileta jezi atapata hasara ambayo hajawahi ipata labda akaloge Simba ivuke makundi
Vunja akileta jersy ndege itakayozileta itakuja kinyume nyume kutoka China kuunga mkono basi la jana lililobeba wachezaji.
 
Quality mbovu, huyo Baleke hata TP Mazembe hawamtaki na sasa hivi anawekwa benchi na Boko! Sewadogo kasajiliwa kwa vigezo gani? Tumeambiwa msimu mzima hajacheza kwa majeruhi.

Sakho nae kama Morrison tu, game anazokupa quality ni chache. Hiyo timu hata kama kocha wetu angekuwa huyo wa Raja hatutoboi.

Simba tuna misimu 3 hatununui wachezaji wa maana. Toka tulivyootea akina Kagere, Fraga, Chama na Miquison tumekuwa tunaokota wachezaji. MO hatoi pesa za usajili!

Sasa fukuzeni kocha muacheni Mgunda na timu maana ndio pressure ya mashabiki! Ila huyo Mgunda atapigwa hadi game za ligi ndio mjue shida sio makocha! Kila siku tunafukuza makocha tu!

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app

Toa Kagere na Miquison hao ni skaut ya Uto sema walikuwa kwenye enzi za bakuli wakazidiwa kete
 
Kiuhalisia simba hatuna timu ya kushindana kwenye ligi wala kwenye mashindano ya kimataifa. Timu iko flop.

Lazima tukubali mpira wa sasa hauchezwi kwa historia eti kwa mkapa hatoki mtu huu ni uzwazwa.

Ni hivi, Simba imekuwa ikisajiri kwa ujanja ujanja, ni kama viongozi hawapo serious huku ukweli wanaujua, mpira ni uwekezaji.

Ni hivi, Simba imewekeza sana kwenye propaganda. Msemaji wa timu anaropoka ropoka tuu kufurahisha genge huku akijua wazi kuwa mpira hauchezwi mdomoni wala kwa slogan.

Ni hivi, viongozi wanatufanya mashabiki wa simba ni mazuzu. Wanaona kwa kuwa watu wanaujaza uwanja basi wao wanafikiri watu ni watumwa wa mpira na hawana shuguli nyingine ya kufanya. Tunaweza tusiwe tunaenda uwanjani kwa kususia kwani simba haileti ugali majumbani kwetu.

Ni hivi, imenyesha tumejua panapo vuja. Tuna wachezaji magalasa kibao ambao hawakutakiwa kuwa simba leo ila wanalindwa kwa kutumia neno uzawa, bloodfckn.

Ni hivi, hii dhana ya kujiona wakubwa kisa tulimfunga ahly ni ya kitoto na ya kuachana nayo. Angalia quality tuliyonayo sasa hivi utaifunga timu gani inayojielewa? Hao utopolo tu ambao tunarogana kila siku hatuwawezi sembuse wanaowekeza mijipesa yao kwenye mpira?

Kiukweli natamani tusipate point hata moja kwenye mashindano haya labda viongozi akili zitawaamka. Ng'ombe hanenepi siku ya mnada viongozi nao waachane na kutoa motisha kwa wachezaji kwani ile ni kazi yao.

Kiufupi msimu ujao wachezaji wanaostahili kubaki simba ni baleke, inonga, saodoo, phiri na chama bhaaasiii. Wengine wote timua. Ni bora timu ikasukwa upya kuliko kujidanganya eti sisi ni wakubwa.
Siyo kila tatizo kwenye timu linatatuliwa kwa usajili ni watu wenye ufahamu hafifu wa mpira tu ndiyo wanaamini kuwa kila tatizo la timu lazima litatuliwe kwa usajili.

Simba Jana wamefungwa kwa kuzidiwa mbinu tu, mbinu za mwalimu za wachezaji kukimbia hovyo hovyo uwanjani huku eneo la ulinzi wanaliacha wazi kwa kiasi kile timu yoyote lazima ikufunge tu.
 
Back
Top Bottom