Simba kufungwa na Raja tumestahili, tujipange msimu ujao

Simba kufungwa na Raja tumestahili, tujipange msimu ujao

[emoji81][emoji81]
566915561.jpg
 
Kiuhalisia simba hatuna timu ya kushindana kwenye ligi wala kwenye mashindano ya kimataifa. Timu iko flop.

Lazima tukubali mpira wa sasa hauchezwi kwa historia eti kwa mkapa hatoki mtu huu ni uzwazwa.

Ni hivi, Simba imekuwa ikisajiri kwa ujanja ujanja, ni kama viongozi hawapo serious huku ukweli wanaujua, mpira ni uwekezaji.

Ni hivi, Simba imewekeza sana kwenye propaganda. Msemaji wa timu anaropoka ropoka tuu kufurahisha genge huku akijua wazi kuwa mpira hauchezwi mdomoni wala kwa slogan.

Ni hivi, viongozi wanatufanya mashabiki wa simba ni mazuzu. Wanaona kwa kuwa watu wanaujaza uwanja basi wao wanafikiri watu ni watumwa wa mpira na hawana shuguli nyingine ya kufanya. Tunaweza tusiwe tunaenda uwanjani kwa kususia kwani simba haileti ugali majumbani kwetu.

Ni hivi, imenyesha tumejua panapo vuja. Tuna wachezaji magalasa kibao ambao hawakutakiwa kuwa simba leo ila wanalindwa kwa kutumia neno uzawa, bloodfckn.

Ni hivi, hii dhana ya kujiona wakubwa kisa tulimfunga ahly ni ya kitoto na ya kuachana nayo. Angalia quality tuliyonayo sasa hivi utaifunga timu gani inayojielewa? Hao utopolo tu ambao tunarogana kila siku hatuwawezi sembuse wanaowekeza mijipesa yao kwenye mpira?

Kiukweli natamani tusipate point hata moja kwenye mashindano haya labda viongozi akili zitawaamka. Ng'ombe hanenepi siku ya mnada viongozi nao waachane na kutoa motisha kwa wachezaji kwani ile ni kazi yao.

Kiufupi msimu ujao wachezaji wanaostahili kubaki simba ni baleke, inonga, saodoo, phiri na chama bhaaasiii. Wengine wote timua. Ni bora timu ikasukwa upya kuliko kujidanganya eti sisi ni wakubwa.
Ndio football mzee sio kila siku utashinda wewe tu..
 
Kiuhalisia simba hatuna timu ya kushindana kwenye ligi wala kwenye mashindano ya kimataifa. Timu iko flop.

Lazima tukubali mpira wa sasa hauchezwi kwa historia eti kwa mkapa hatoki mtu huu ni uzwazwa.

Ni hivi, Simba imekuwa ikisajiri kwa ujanja ujanja, ni kama viongozi hawapo serious huku ukweli wanaujua, mpira ni uwekezaji.

Ni hivi, Simba imewekeza sana kwenye propaganda. Msemaji wa timu anaropoka ropoka tuu kufurahisha genge huku akijua wazi kuwa mpira hauchezwi mdomoni wala kwa slogan.

Ni hivi, viongozi wanatufanya mashabiki wa simba ni mazuzu. Wanaona kwa kuwa watu wanaujaza uwanja basi wao wanafikiri watu ni watumwa wa mpira na hawana shuguli nyingine ya kufanya. Tunaweza tusiwe tunaenda uwanjani kwa kususia kwani simba haileti ugali majumbani kwetu.

Ni hivi, imenyesha tumejua panapo vuja. Tuna wachezaji magalasa kibao ambao hawakutakiwa kuwa simba leo ila wanalindwa kwa kutumia neno uzawa, bloodfckn.

Ni hivi, hii dhana ya kujiona wakubwa kisa tulimfunga ahly ni ya kitoto na ya kuachana nayo. Angalia quality tuliyonayo sasa hivi utaifunga timu gani inayojielewa? Hao utopolo tu ambao tunarogana kila siku hatuwawezi sembuse wanaowekeza mijipesa yao kwenye mpira?

Kiukweli natamani tusipate point hata moja kwenye mashindano haya labda viongozi akili zitawaamka. Ng'ombe hanenepi siku ya mnada viongozi nao waachane na kutoa motisha kwa wachezaji kwani ile ni kazi yao.

Kiufupi msimu ujao wachezaji wanaostahili kubaki simba ni baleke, inonga, saodoo, phiri na chama bhaaasiii. Wengine wote timua. Ni bora timu ikasukwa upya kuliko kujidanganya eti sisi ni wakubwa.
umeongea pointi tupu
 
Kwa mkapa hatoki mtu..... Huu msemo wakipumbavu sana unawadanganya mashabiki wanajiona wana timu isiyo fungika kumbe ni timu ya kawaida tu.
Lakini kama ni mshabiki wa mpira kweli, ungeweza kutoa kasoro zilizojidhihirisha kwenye mchezo wa leo kwanza kabla ya kuanza kuhukumu historia!

Timu haina short on target ya maana, mipira inapotea kati, Saido anapoteza mipira ovyo, anaesaidia na Kapombe hajulikani, Boko na Baleke hakukuwa na tofauti.

Kongole kwa Shomari kwa kila hali.

Kimsingi, tatizo ni waalimu kwanza, kisha umri wa wachezaji na mwisho makuzi ya wachezaji, kuwa mpira sio jambo lao la kwanza, ni baada ya kufeli shule!
 
Lakini kama ni mshabiki wa mpira kweli, ungeweza kutoa kasoro zilizojidhihirisha kwenye mchezo wa leo kwanza kabla ya kuanza kuhukumu historia!

Timu haina short on target ya maana, mipira inapotea kati, Saido anapoteza mipira ovyo, anaesaidia na Kapombe hajulikani, Boko na Baleke hakukuwa na tofauti.

Kongole kwa Shomari kwa kila hali.

Kimsingi, tatizo ni waalimu kwanza, kisha umri wa wachezaji na mwisho makuzi ya wachezaji, kuwa mpira sio jambo lao la kwanza, ni baada ya kufeli shule!
Chifu ukisema tatizo ni walimu kwangu mm naona sio sawa na ni kama kuendelea kutetea upuuzi wa viongozi wa simba bila sabau.

Viongozi hawapo serious kwenye uwekezaji na scouting ya wachezaji. Asilimia 80 ya wachezaji wa simba ni flopy au viwango vidogo. Wengi wamesajiliwa kiujanja ujanja na ufaza mwingi.

Manzoki tuu iliyohitajika ml 400 viongozi waliingia mitini wakaleta kyombo, kapama na the likes ambao ni bei chee na viwango duni. Pale simba kwa squad hii hata umlete mzee wenga hatoboi.
 
Lakini kama ni mshabiki wa mpira kweli, ungeweza kutoa kasoro zilizojidhihirisha kwenye mchezo wa leo kwanza kabla ya kuanza kuhukumu historia!

Timu haina short on target ya maana, mipira inapotea kati, Saido anapoteza mipira ovyo, anaesaidia na Kapombe hajulikani, Boko na Baleke hakukuwa na tofauti.

Kongole kwa Shomari kwa kila hali.

Kimsingi, tatizo ni waalimu kwanza, kisha umri wa wachezaji na mwisho makuzi ya wachezaji, kuwa mpira sio jambo lao la kwanza, ni baada ya kufeli shule!
Wale hata game irudiwe Simba anafungwa tena kwa kifupi jamaa wamewazidi Simba uwezo
 
Simba imefungwa Kwa sababu
1. Kukimbizana na ahadi ya Raisi
2. Kutowaheshimu Cassablanka na kuamua kukimbizana nao huku ukijua wale madogo Wana uwezo wa kuhold mpira na dogo mmoja anauwezo wa kuwapita watu watatu bila was was kabisa , lakini bado unakimbiza mpira mbele ,na wachezaji wako ni wepesi kupoteza

Kwa haya yote kocha alaumiwe ,
 
Simba imefungwa Kwa sababu
1. Kukimbizana na ahadi ya Raisi
2. Kutowaheshimu Cassablanka na kuamua kukimbizana nao huku ukijua wale madogo Wana uwezo wa kuhold mpira na dogo mmoja anauwezo wa kuwapita watu watatu bila was was kabisa , lakini bado unakimbiza mpira mbele ,na wachezaji wako ni wepesi kupoteza

Kwa haya yote kocha alaumiwe ,
Kwahiyo ulitaka apaki basi na sio kutafuta point tatu? Kocha hana cha kulaumiwa wacjeza wazee unategemea wakupe nn?
 
Mgunda alishaiweza timu
Mimi ni shabiki wa mnyama pure.... ila hii ya leo hata umlete pep guardiola original hachomoi.

Hiyo quality ya waarabu umeiona? Umecheki wanavyokimbia? Umecheki wanavyojiamini wakipata mpira?umeona pass accuracy yao?

Men tukubali raja ina wachezaji quality kuliko simba leo hakuna wa kulaumiwa hata mmoja.
 
Simba imefungwa Kwa sababu
1. Kukimbizana na ahadi ya Raisi
2. Kutowaheshimu Cassablanka na kuamua kukimbizana nao huku ukijua wale madogo Wana uwezo wa kuhold mpira na dogo mmoja anauwezo wa kuwapita watu watatu bila was was kabisa , lakini bado unakimbiza mpira mbele ,na wachezaji wako ni wepesi kupoteza

Kwa haya yote kocha alaumiwe ,
Hii ya ahadi ya Rais hata mimi niliiona mapema nikasema inaweza kuwa tatizo la Simba kupoteza match
 
Back
Top Bottom