MtoMsimbazi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2009
- 1,800
- 3,091
Tatizo la Timu zetu hazitaki kuwatema wazee na kuwapa nafasi vijana mfano kapombe, Bocco, Saido, Onyango, Mkude walitakiwa waachwe ili vijana wachukue nafasi, Sasa wao wanalea wazee tu.Kiuhalisia simba hatuna timu ya kushindana kwenye ligi wala kwenye mashindano ya kimataifa. Timu iko flop.
Lazima tukubali mpira wa sasa hauchezwi kwa historia eti kwa mkapa hatoki mtu huu ni uzwazwa.
Ni hivi, Simba imekuwa ikisajiri kwa ujanja ujanja, ni kama viongozi hawapo serious huku ukweli wanaujua, mpira ni uwekezaji.
Ni hivi, Simba imewekeza sana kwenye propaganda. Msemaji wa timu anaropoka ropoka tuu kufurahisha genge huku akijua wazi kuwa mpira hauchezwi mdomoni wala kwa slogan.
Ni hivi, viongozi wanatufanya mashabiki wa simba ni mazuzu. Wanaona kwa kuwa watu wanaujaza uwanja basi wao wanafikiri watu ni watumwa wa mpira na hawana shuguli nyingine ya kufanya. Tunaweza tusiwe tunaenda uwanjani kwa kususia kwani simba haileti ugali majumbani kwetu.
Ni hivi, imenyesha tumejua panapo vuja. Tuna wachezaji magalasa kibao ambao hawakutakiwa kuwa simba leo ila wanalindwa kwa kutumia neno uzawa, bloodfckn.
Ni hivi, hii dhana ya kujiona wakubwa kisa tulimfunga ahly ni ya kitoto na ya kuachana nayo. Angalia quality tuliyonayo sasa hivi utaifunga timu gani inayojielewa? Hao utopolo tu ambao tunarogana kila siku hatuwawezi sembuse wanaowekeza mijipesa yao kwenye mpira?
Kiukweli natamani tusipate point hata moja kwenye mashindano haya labda viongozi akili zitawaamka. Ng'ombe hanenepi siku ya mnada viongozi nao waachane na kutoa motisha kwa wachezaji kwani ile ni kazi yao.
Kiufupi msimu ujao wachezaji wanaostahili kubaki simba ni baleke, inonga, saodoo, phiri na chama bhaaasiii. Wengine wote timua. Ni bora timu ikasukwa upya kuliko kujidanganya eti sisi ni wakubwa.
Lakini kama ni mshabiki wa mpira kweli, ungeweza kutoa kasoro zilizojidhihirisha kwenye mchezo wa leo kwanza kabla ya kuanza kuhukumu historia!
Timu haina short on target ya maana, mipira inapotea kati, Saido anapoteza mipira ovyo, anaesaidia na Kapombe hajulikani, Boko na Baleke hakukuwa na tofauti.
Kongole kwa Shomari kwa kila hali.
Kimsingi, tatizo ni waalimu kwanza, kisha umri wa wachezaji na mwisho makuzi ya wachezaji, kuwa mpira sio jambo lao la kwanza, ni baada ya kufeli shule!
😂😂😂Yaani hata yule kocha wa casablanca akiletwa simba hakuna watachofanya mda mwingine ni psychology tu. Wale jamaa hawakucheza KWA nguvu walicheza mpira wa akili. Mkuu sema bongo janja janja kiukweli KWA hapa ndani wazuri ILA ukitaka kujijua uwezo wako usicheze na unaocheza nao kila siku. Timu zote nyeupe kichwani kwenye mashindano ya nje😂😂 sema ukweli ndo hatutakagi kusema tuKwahiyo ulitaka apaki basi na sio kutafuta point tatu? Kocha hana cha kulaumiwa wacjeza wazee unategemea wakupe nn?
Ukweli mchungu😂😂😂Quality mbovu, huyo Baleke hata TP Mazembe hawamtaki na sasa hivi anawekwa benchi na Boko! Sewadogo kasajiliwa kwa vigezo gani? Tumeambiwa msimu mzima hajacheza kwa majeruhi.
Sakho nae kama Morrison tu, game anazokupa quality ni chache. Hiyo timu hata kama kocha wetu angekuwa huyo wa Raja hatutoboi.
Simba tuna misimu 3 hatununui wachezaji wa maana. Toka tulivyootea akina Kagere, Fraga, Chama na Miquison tumekuwa tunaokota wachezaji. MO hatoi pesa za usajili!
Use
Sasa fukuzeni kocha muacheni Mgunda na timu maana ndio pressure ya mashabiki! Ila huyo Mgunda atapigwa hadi game za ligi ndio mjue shida sio makocha! Kila siku tunafukuza makocha tu!
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Na haiwezekani[emoji850]Mechi Simba atatakiwa kushida ni zote za vipers na horoya
Kwahiyo Kapombe, Hussein, Kanoute, Sakho wote watimuliwe? Una matatizo ya kichwa wewe. Anzisha timu yako. Tuachie timu yetuKiuhalisia simba hatuna timu ya kushindana kwenye ligi wala kwenye mashindano ya kimataifa. Timu iko flop.
Lazima tukubali mpira wa sasa hauchezwi kwa historia eti kwa mkapa hatoki mtu huu ni uzwazwa.
Ni hivi, Simba imekuwa ikisajiri kwa ujanja ujanja, ni kama viongozi hawapo serious huku ukweli wanaujua, mpira ni uwekezaji.
Ni hivi, Simba imewekeza sana kwenye propaganda. Msemaji wa timu anaropoka ropoka tuu kufurahisha genge huku akijua wazi kuwa mpira hauchezwi mdomoni wala kwa slogan.
Ni hivi, viongozi wanatufanya mashabiki wa simba ni mazuzu. Wanaona kwa kuwa watu wanaujaza uwanja basi wao wanafikiri watu ni watumwa wa mpira na hawana shuguli nyingine ya kufanya. Tunaweza tusiwe tunaenda uwanjani kwa kususia kwani simba haileti ugali majumbani kwetu.
Ni hivi, imenyesha tumejua panapo vuja. Tuna wachezaji magalasa kibao ambao hawakutakiwa kuwa simba leo ila wanalindwa kwa kutumia neno uzawa, bloodfckn.
Ni hivi, hii dhana ya kujiona wakubwa kisa tulimfunga ahly ni ya kitoto na ya kuachana nayo. Angalia quality tuliyonayo sasa hivi utaifunga timu gani inayojielewa? Hao utopolo tu ambao tunarogana kila siku hatuwawezi sembuse wanaowekeza mijipesa yao kwenye mpira?
Kiukweli natamani tusipate point hata moja kwenye mashindano haya labda viongozi akili zitawaamka. Ng'ombe hanenepi siku ya mnada viongozi nao waachane na kutoa motisha kwa wachezaji kwani ile ni kazi yao.
Kiufupi msimu ujao wachezaji wanaostahili kubaki simba ni baleke, inonga, saodoo, phiri na chama bhaaasiii. Wengine wote timua. Ni bora timu ikasukwa upya kuliko kujidanganya eti sisi ni wakubwa.
Kabla ya jana ulikuwa unalijua hili bro wanguKocha afanyeje sasa? Una wachezaji wazee plus vijana ambao uwezo ni mdogo. Wala sishangai maana viongozi wetu mara zote jumba bovu wanamwangushia kocha.
Ni vyema lakini kwa uswahili tulionao inakua ngumu.uswahili unafelisha mambo mengi sana.Basi tuwekeze kwenye kukuza vipaji timu b, nako pia shida viongozi wa timu wanaaaza kugawana percent na wachezaji magalasa
Yanga ipo itakupa faraja..Bado ni Simba mkuu....haya mambo hayana mwenyewe...alilouwa German akalouwaaa France uje kushangaa Simba?