Simba kufungwa Novemba 27,2024. Yajayo yanatisha

Simba kufungwa Novemba 27,2024. Yajayo yanatisha

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Baada ya kutulia toka nilivyotoka ziarani nchini Uganda kwa museveni na GENTAMYCINE nimefanikiwa kufanya uchambuzi wa kina kati ya timu ya Simba na wapinzani wao Bravos Kwa kweli takwimu za Bravos kuibuka na ushindi zinatisha.

Kama tu Makolo de Mbu mbu Mbu walishindwa kuibuka na ushindi dhidi ya pamba (note goli la penalty sio goli) wataweza kuwadhibiti hawa wapinzani wao?

Hivyo Kwavile marefa wa kibongo hawatakuwepo ndivyo makolo watakandwa heavily.

NB: Kuna watu wanasema sijui loser cup (kombe la wamama ni rahisi hivyo makolo watashinda) ndio loser cup ni kurahisi .... lakini siyo Kwa makolo waliozoea kubebwa NBC premier league.

Makolo watakandwa heavily 2-0.

1732211905620.jpg
 
Baada ya kutulia Toka nilivyotoka ziarani nchini Uganda kwa museven na gentamicine nimefanikiwa kufanya uchambuzi wa kina kati ya timu ya Simba na wapinzani wao bravos Kwa kweli takwimu za bravos kuibuka na ushindi zinatisha

Kama tu Makolo de Mbu mbu Mbu walishindwa kuibuka na ushindi dhidi ya pamba ( note goli la penalty sio goli) wataweza kuwadhibiti hawa wapinzani wao??????

Hivyo Kwavile marefa wa kibongo hawatakuwepo ndivyo makolo watakandwa heavily

NB: Kuna watu wanasema sijui loser cup ( kombe la wamama ni rahisi hivyo makolo watashinda) ndio loser cup ni kurahisi .... lakini siyo Kwa makolo waliozoea kubebwa NBC premier league

Makolo watakandwa heavily 2...0View attachment 3160930
Kichaa chako kikipanda kichwani unakuwa msumbufu sana.Unatakiwa udungwe sindano inaitwa flufenazine deconoate ili utulie au phenobabitone tablets/pheintoines!
 
Chonde Chonde Wana Yanga nunueni tiketi...!

Nunueni tiketi bila kushawishiwa kwa SUPU..! Msije tia aibu.

Wenzenu Wana Lunyasi tiketi zinakaribia, Acheni kuhangaika na Matokeo ya Mechi ya Simba.
Waje tu.Wameandaliwa supu ya senene na kabeji.
 
Mr De upupu de mazuzu depotivo de utopolo...
Baada ya kukaangwa 3 kwa 1 na Tabora ulipotea mwezi mzima humu sasa umerudi na ulivyo na gundu sasa Simba inaenda kushinda bora ungenyamaza..
Aabah this time ni ngumu
 
Back
Top Bottom