Simba kufungwa Novemba 27,2024. Yajayo yanatisha

Simba kufungwa Novemba 27,2024. Yajayo yanatisha

Chonde Chonde Wana Yanga nunueni tiketi...!

Nunueni tiketi bila kushawishiwa kwa SUPU..! Msije tia aibu.

Wenzenu Wana Lunyasi tiketi zinakaribia, Acheni kuhangaika na Matokeo ya Mechi ya Simba.
Ticket zimeisha mkuu
 
Baada ya kutulia Toka nilivyotoka ziarani nchini Uganda kwa museven na gentamicine nimefanikiwa kufanya uchambuzi wa kina kati ya timu ya Simba na wapinzani wao bravos Kwa kweli takwimu za bravos kuibuka na ushindi zinatisha

Kama tu Makolo de Mbu mbu Mbu walishindwa kuibuka na ushindi dhidi ya pamba ( note goli la penalty sio goli) wataweza kuwadhibiti hawa wapinzani wao??????

Hivyo Kwavile marefa wa kibongo hawatakuwepo ndivyo makolo watakandwa heavily

NB: Kuna watu wanasema sijui loser cup ( kombe la wamama ni rahisi hivyo makolo watashinda) ndio loser cup ni kurahisi .... lakini siyo Kwa makolo waliozoea kubebwa NBC premier league

Makolo watakandwa heavily 2...0View attachment 3160930
Wacha wapigwe kama ngoma Losers Cup ndo tutaheshimiana umbwa hawa.
 
Baada ya kutulia Toka nilivyotoka ziarani nchini Uganda kwa museven na gentamicine nimefanikiwa kufanya uchambuzi wa kina kati ya timu ya Simba na wapinzani wao bravos Kwa kweli takwimu za bravos kuibuka na ushindi zinatisha

Kama tu Makolo de Mbu mbu Mbu walishindwa kuibuka na ushindi dhidi ya pamba ( note goli la penalty sio goli) wataweza kuwadhibiti hawa wapinzani wao??????

Hivyo Kwavile marefa wa kibongo hawatakuwepo ndivyo makolo watakandwa heavily

NB: Kuna watu wanasema sijui loser cup ( kombe la wamama ni rahisi hivyo makolo watashinda) ndio loser cup ni kurahisi .... lakini siyo Kwa makolo waliozoea kubebwa NBC premier league

Makolo watakandwa heavily 2...0View attachment 3160930
Unazingua
 
Ha haaa kivp mkuu
Nyie ndio waoga wa matokeo (-ve),sisi tumeshazowea kutopata matokeo tarajiwa inawezekana pia.

Nje ya mada:Nasikia za chini chini eti bloangu eti Gamondi alikiwa anakula mali ya kibopa hapo vyurani

Hilo ni kweli eti bloangu?

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
FT 2-1/
Baada ya kutulia toka nilivyotoka ziarani nchini Uganda kwa museveni na GENTAMYCINE nimefanikiwa kufanya uchambuzi wa kina kati ya timu ya Simba na wapinzani wao Bravos Kwa kweli takwimu za Bravos kuibuka na ushindi zinatisha.

Kama tu Makolo de Mbu mbu Mbu walishindwa kuibuka na ushindi dhidi ya pamba (note goli la penalty sio goli) wataweza kuwadhibiti hawa wapinzani wao?

Hivyo Kwavile marefa wa kibongo hawatakuwepo ndivyo makolo watakandwa heavily.

NB: Kuna watu wanasema sijui loser cup (kombe la wamama ni rahisi hivyo makolo watashinda) ndio loser cup ni kurahisi .... lakini siyo Kwa makolo waliozoea kubebwa NBC premier league.

Makolo watakandwa heavily 2-0.

View attachment 3160930
 
Nyie ndio waoga wa matokeo (-ve),sisi tumeshazowea kutopata matokeo tarajiwa inawezekana pia.

Nje ya mada:Nasikia za chini chini eti bloangu eti Gamondi alikiwa anakula mali ya kibopa hapo vyurani

Hilo ni kweli eti bloangu?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yupi mkuu
 
Back
Top Bottom