Simba kufungwa Novemba 27,2024. Yajayo yanatisha

Simba kufungwa Novemba 27,2024. Yajayo yanatisha

Mzee wa siioni simba akishinda leo au utasikia simba leo akimfunga fulani nipigwe ban.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mzee wa siioni simba akishinda leo au utasikia simba leo akimfunga fulani nipigwe ban.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huwa nafanya uchambuzi makini mkuu
 
Nyie ndio waoga wa matokeo (-ve),sisi tumeshazowea kutopata matokeo tarajiwa inawezekana pia.

Nje ya mada:Nasikia za chini chini eti bloangu eti Gamondi alikiwa anakula mali ya kibopa hapo vyurani

Hilo ni kweli eti bloangu?

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Fatuma (Fetty) wa Kitambaa Cheupe na hata Mlango wa Kusi Dada huwa anaruhusu Watu kupita na Boss ni Mdau huko.
 
Fatuma (Fetty) wa Kitambaa Cheupe na hata Mlango wa Kusi Dada huwa anaruhusu Watu kupita na Boss ni Mdau huko.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣,na bado hawajasema na misindano yao waliyoshtukiwa,leo ni maafa tena kwao
 
Baada ya kutulia toka nilivyotoka ziarani nchini Uganda kwa museveni na GENTAMYCINE nimefanikiwa kufanya uchambuzi wa kina kati ya timu ya Simba na wapinzani wao Bravos Kwa kweli takwimu za Bravos kuibuka na ushindi zinatisha.

Kama tu Makolo de Mbu mbu Mbu walishindwa kuibuka na ushindi dhidi ya pamba (note goli la penalty sio goli) wataweza kuwadhibiti hawa wapinzani wao?

Hivyo Kwavile marefa wa kibongo hawatakuwepo ndivyo makolo watakandwa heavily.

NB: Kuna watu wanasema sijui loser cup (kombe la wamama ni rahisi hivyo makolo watashinda) ndio loser cup ni kurahisi .... lakini siyo Kwa makolo waliozoea kubebwa NBC premier league.

Makolo watakandwa heavily 2-0.

View attachment 3160930
Eti?
 
Jamaa unamoyo mgumu kilasiku unaangukia pua ila hauchoki.

Halafu wewe unagundu kinyama. Sema haujijui tu.
 
Back
Top Bottom