NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Hakuna asiyejua kuwa mchezo wa derby wowote pale duniani hata ukiwa Bora namna gani unaweza ukafungwa tu.
Naikumbuka yanga akina balama mapinduzi na ditram nchimbi (yanga tia maji tia maji) yanga ya kupitisha bakuli lakini lilipofika kwenye suala la derby yanga ilitunisha msuli mbele ya simba ya akina miqson na medie kagere.
Hiyo ndiyo Derby unaweza ukawa Bora lakini ukapigwa kipigo kitakatifu bila ya kutegemea.
Simba imeifunga yanga kwa goli mbili sifuri,
Simba sc haipaswi kuchukua matokeo yao dhidi ya yanga na kwenda nayo kimataifa nakuona kwamba wanamuweza wydad Casablanca.
Simba ifute matokeo hayo kimataifa iende kwa heshima/kuwaheshimu wydad Casablanca Tena kwa nidhamu kubwa sana lakini ikiamua kuingia na matokeo mfukoni, kitakacho wakuta ni zaidi ya rajacasablanca alichokifanya kwa mkapa.
Ili niwe na Imani na Simba sc kuingia nusu kimataifa ni mpaka atakapo wafunga wydad Casablanca goli zisizopungua nne au nakuendelea tofauti na hapo Simba isipoutumia vizuri uwanja wa nyumbani (kwa mkapa) basi itakua imekosa tiketi ya kufuzu nusu fainali kimataifa.
Naikumbuka yanga akina balama mapinduzi na ditram nchimbi (yanga tia maji tia maji) yanga ya kupitisha bakuli lakini lilipofika kwenye suala la derby yanga ilitunisha msuli mbele ya simba ya akina miqson na medie kagere.
Hiyo ndiyo Derby unaweza ukawa Bora lakini ukapigwa kipigo kitakatifu bila ya kutegemea.
Simba imeifunga yanga kwa goli mbili sifuri,
Simba sc haipaswi kuchukua matokeo yao dhidi ya yanga na kwenda nayo kimataifa nakuona kwamba wanamuweza wydad Casablanca.
Simba ifute matokeo hayo kimataifa iende kwa heshima/kuwaheshimu wydad Casablanca Tena kwa nidhamu kubwa sana lakini ikiamua kuingia na matokeo mfukoni, kitakacho wakuta ni zaidi ya rajacasablanca alichokifanya kwa mkapa.
Ili niwe na Imani na Simba sc kuingia nusu kimataifa ni mpaka atakapo wafunga wydad Casablanca goli zisizopungua nne au nakuendelea tofauti na hapo Simba isipoutumia vizuri uwanja wa nyumbani (kwa mkapa) basi itakua imekosa tiketi ya kufuzu nusu fainali kimataifa.