Simba kuifunga Yanga siyo kipimo sahihi Cha kujiamini kuwa wao ni Bora dhidi ya wydad Casablanca

Ila Yanga amefungwa..sawa
 
Tuliza mapupu wewe bimbilisa mavi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

Tuliza hasira wee utelembwe!
Nyie mipuuzi ya utopolo mlitarajia Simba ingefungwa goli nyingi, matokeo yake imekuwa tofauti na matarajio yenu, sasa kilichobaki ni kushikwa na hasira na kutema tema mate hovyo kama wajawazito!
Mkikumbuka na kile kichapo cha 2-0, basi mnakasirika na kutukana tukana hovyo tu!
Hapo mlipo mnajitia matumaini simba itaena kufungwa morocco!
Nyie jiaminisheni tu hivyo, ila mtaona yatakayotokea!
Zipo nyuzi nyingi sana za kuiponda simba mmezianzisha huku, lakini mwisho wa siku mnaumbuka na kuzikimbia ama mnaishia kutukana tu, kama unavyofanya wewe!
 
Sasa kwa akili zako Simba atatoka kwa wydad???

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Sasa kwa akili zako Simba atatoka kwa wydad???

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

Kwani kwa akili zako si ulijua Simba itafungwa kwa Mkapa?
Mlijiaminisha na zile Polimilai mngrifunga Simba, leo mkiulizwa matokeo mnajitetea hakucheza Bangala!
Ni bora kuanzia sasa mkafunga midomo tu!
Hamtaamini kitakachotokea pale morroco!!
 
Kwani kwa akili zako si ulijua Simba itafungwa kwa Mkapa?
Mlijiaminisha na zile Polimilai mngrifunga Simba, leo mkiulizwa matokeo mnajitetea hakucheza Bangala!
Ni bora kuanzia sasa mkafunga midomo tu!
Hamtaamini kitakachotokea pale morroco!!
Acha hadithi za sungura na fisi huyo onyango Hana uwezo wakumzui wydad wewe

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kunywa sumu ufe kama umeudhika m mbwiga wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…