plagiarism
Senior Member
- Jul 14, 2021
- 133
- 296
Mpira dakika 90Kwenye mpira hakuna janja janja ya kupita bila kupingwa, nendeni Morocco mkachezee kichapo heavy duty
Miye sijaelewa ebu nimwite okw BOBAN SUNZU aje atusaidieAliyeelewa hapo juu anifafanulie nitamuozesha binti wa jirani yangu
Nimetafuta sentensi ya Simba kushtaki CAF sijaona.Kama ulikuwa mfuatiliaji mzuri wa mechi mwishoni mashabiki wa Waydad walifukiza Moshi na kusababisha mashabiki kutoona na hata waliingia VIP kufanya vurugu ambapo kwenye uwanja wao wa nyumbani huwa ni utamaduni.
Je, hii inamaanisha uoga au? Dondosha lako tuichambue.
Mzee umelewa au vip..Mbona sentensi hazimake sense?Kama ulikuwa mfuatiliaji mzuri wa mechi mwishoni mashabiki wa Waydad walifukiza Moshi na kusababisha mashabiki kutoona na hata waliingia VIP kufanya vurugu ambapo kwenye uwanja wao wa nyumbani huwa ni utamaduni.
Je, hii inamaanisha uoga au? Dondosha lako tuichambue.
Utopolo nyie ndo wazee wa kulalamika baada ya kukandwa na mnyama mkaanza visingizio mara refa . Mara diara ana familia hawezi kudaka shuti la kibuMAKOLO ni waoga ......washaanza kutafuta huruma .....[emoji23][emoji23][emoji23]
( Malalamiko FC)
Tujifunze kwa ma looser utopoloMakolo walishawahi kupata ushindi wa mezani dhidi ya Tp Mazembe, sasa wamenogewa wanataka kupitia dirishani tena.
Jifunzeni kwa Yanga jinsi ya kushinda away games.
Kosa la polisi hapo, tunajua kwa mujibu wa taratibu za kimichezo siruhusa vyombo vya ulinzi kuingia ktk 3neo linalochezewa lkn kule kwa mashabiki jeshi lina mamlaka ya kuwalong'ota wafanya fujoKama ulikuwa mfuatiliaji mzuri wa mechi mwishoni mashabiki wa Waydad walifukiza Moshi na kusababisha mashabiki kutoona na hata waliingia VIP kufanya vurugu ambapo kwenye uwanja wao wa nyumbani huwa ni utamaduni.
Je, hii inamaanisha uoga au? Dondosha lako tuichambue.
[emoji1787]Saivi mmechanganyikiwa mpaka hamuelewki mnaandika Nini [emoji16]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
[emoji1787]Nimetafuta sentensi ya Simba kushtaki CAF sijaona.
Acha bangi inakudhuru