Simba kuishitaki Waydad CAF

Simba kuishitaki Waydad CAF

Kama ulikuwa mfuatiliaji mzuri wa mechi mwishoni mashabiki wa Waydad walifukiza Moshi na kusababisha mashabiki kutoona na hata waliingia VIP kufanya vurugu ambapo kwenye uwanja wao wa nyumbani huwa ni utamaduni.

Je, hii inamaanisha uoga au? Dondosha lako tuichambue.
Nimetafuta sentensi ya Simba kushtaki CAF sijaona.

Acha bangi inakudhuru
 
Makolo walishawahi kupata ushindi wa mezani dhidi ya Tp Mazembe, sasa wamenogewa wanataka kupitia dirishani tena.

Jifunzeni kwa Yanga jinsi ya kushinda away games.
 
Kama ulikuwa mfuatiliaji mzuri wa mechi mwishoni mashabiki wa Waydad walifukiza Moshi na kusababisha mashabiki kutoona na hata waliingia VIP kufanya vurugu ambapo kwenye uwanja wao wa nyumbani huwa ni utamaduni.

Je, hii inamaanisha uoga au? Dondosha lako tuichambue.
Mzee umelewa au vip..Mbona sentensi hazimake sense?
 
Makolo walishawahi kupata ushindi wa mezani dhidi ya Tp Mazembe, sasa wamenogewa wanataka kupitia dirishani tena.

Jifunzeni kwa Yanga jinsi ya kushinda away games.
Tujifunze kwa ma looser utopolo
 
Kama ulikuwa mfuatiliaji mzuri wa mechi mwishoni mashabiki wa Waydad walifukiza Moshi na kusababisha mashabiki kutoona na hata waliingia VIP kufanya vurugu ambapo kwenye uwanja wao wa nyumbani huwa ni utamaduni.

Je, hii inamaanisha uoga au? Dondosha lako tuichambue.
Kosa la polisi hapo, tunajua kwa mujibu wa taratibu za kimichezo siruhusa vyombo vya ulinzi kuingia ktk 3neo linalochezewa lkn kule kwa mashabiki jeshi lina mamlaka ya kuwalong'ota wafanya fujo
 
yani mshaanza kusingizia vitu visivyoeleweka ama kweli mbaazi zikikosa maua husingizia jua
 
Back
Top Bottom