Mashabiki wa Simba kujipa moyo baada ya kuona leo Wydad amemtoa Mamelod Sundowns huku mkiwacheka Yanga kumtoa Marumo aliyeshuka Daraja haibadilishi maana ya Yanga kucheza fainali, tengenezeni timu msimu ujao msije na kisingizio chochote.msimu wapili huu hamna ubingwa wa maana muliopata zaidi ya kufa kiume
Pambaneni kutengeneza timu ili mufanye vizuri na nyie ili tuwaandike vizuri pia
View attachment 2629217
hiyo miaka mi5 ambayo simba anaishia robo nyie uto mlikuwa wapiKuongoza club ya Simba ni rahisi sana ,imagine mashabiki ambao kwa miaka 5 mfululizo wameshindwa kuingia nusu final wanaona ni mafanikio maana waliowatoa wameingia final and they proud aisee
Yanga kwa Sasa pressure yetu kubwa ni komba la Cafcc na Asfc ambapo Leo tunakutana na Singida
Usisahau ngao ya jamii tunayo na NBC tunalo kombe na tumefanya kama vile hatuna bado tunapambana
Na wewe Mbumbumbu shuka daraja kama unawaonea wivu Marumo Gallants [emoji1787]Utopolo linaweweseka baada ya kujigundua linacheza na vilaza
MARUMO YAMESHUKA DARAJA HUKO[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Makolokolo kombe lenu la kufa kiume mnalitembeza lini mikoani tujiandae Wananchi kulishangilia?Yanga watacheza kombe la MABINGWA msimu ujao CAFCL.
Wamepenya sana Makundi.
KLABU BINGWA ni ya wanaume
Mbumbumbu ni Mbumbumbu tu [emoji38]Topolo ni topolo tu.
Yanga FC walikuwa wako vibaya kiuchumi ndiyomaana walikuwa wanatembeza bakuli la mchango wa pesa kuendeshea klabu.hiyo miaka mi5 ambayo simba anaishia robo nyie uto mlikuwa wapi
hatujawahi kukutana na wapinzani mliokutana nao nyinyiYanga FC walikuwa wako vibaya kiuchumi ndiyomaana walikuwa wanatembeza bakuli la mchango wa pesa kuendeshea klabu.
Sasa ninyi miaka mitano yote hiyo mlikuwa wapi kuvuka hata nusu fainali CAFCL ilihali klabu yenu ndiyo inaongoza kuweka pesa nyingi za udhamini kwa mwaka hata zaidi ya B 26?
Au zilikuwa B 26 za mchongo?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kwa kauli hii unakubali kwamba , klabu bingwa ni bora kuliko shirikisho na vilabu vilivyoko klabu bingwa ni bora kuliko vilivyoko shirikisho?Simba alicheza fainali kombe la caf cup ambalo ni la Tatu kwa ubora viwango vya caf yanga amecheza kombe la shirikisho la pili kwa ubora wa viwango vya caf
Sasa hao unaowasema kwa hiyo miaka 5 angalau wao walikuwa wanaridhika sababu walikuwa wanachukua ubingwa wa ligi kuu na ASFC huku timu yao ilikuwa inafika hadi robofainali ya CAFCL . Lakini kuna timu kwa miaka hiyo mitano unayoisema wao kombe lao lilikuwa la mapinduzi tu na mashindano ya CAF hata hatua za awali walikuwa hawavuki na usajili wao ulikuwa wa hakjna KINDOKI na YIPE likini walitawalika tu.Kuongoza club ya Simba ni rahisi sana ,imagine mashabiki ambao kwa miaka 5 mfululizo wameshindwa kuingia nusu final wanaona ni mafanikio maana waliowatoa wameingia final and they proud aisee
Yanga kwa Sasa pressure yetu kubwa ni komba la Cafcc na Asfc ambapo Leo tunakutana na Singida
Usisahau ngao ya jamii tunayo na NBC tunalo kombe na tumefanya kama vile hatuna bado tunapambana
Mashabiki wa Simba kujipa moyo baada ya kuona leo Wydad amemtoa Mamelod Sundowns huku mkiwacheka Yanga kumtoa Marumo aliyeshuka Daraja haibadilishi maana ya Yanga kucheza fainali, tengenezeni timu msimu ujao msije na kisingizio chochote.msimu wapili huu hamna ubingwa wa maana muliopata zaidi ya kufa kiume
Pambaneni kutengeneza timu ili mufanye vizuri na nyie ili tuwaandike vizuri pia
View attachment 2629217
Aina ya wapinzani ambao amekuwa akikutana nao robofainali ni bora kuliko aliokutana nao Yanga robo na nusu. Kwa miaka hiyo simba kakutana na Mazembe wa moto , Orando pirates , kaiza chifes na Wydad . Tukiachana na ushabiki marumo ni dhaifu kwa Pirates , Wydad na kaiza chifesYanga FC walikuwa wako vibaya kiuchumi ndiyomaana walikuwa wanatembeza bakuli la mchango wa pesa kuendeshea klabu.
Sasa ninyi miaka mitano yote hiyo mlikuwa wapi kuvuka hata nusu fainali CAFCL ilihali klabu yenu ndiyo inaongoza kuweka pesa nyingi za udhamini kwa mwaka hata zaidi ya B 26?
Au zilikuwa B 26 za mchongo?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Wapinzani gani hao Horoya FC wanaopigwa 7-0 na ninyi Makolokolo mliojifia mnasubiri kuzikwa tu kiubora?hatujawahi kukutana na wapinzani mliokutana nao nyinyi
Hakuna wapinzani wowote waliokuwa wa moto, tena Makolokolo ndiyo mlikutana na timu dhaifu mno kupita maelezo sababu nchi nyingi Africa ziliwekwa lockdown tokana na COVID 19.Aina ya wapinzani ambao amekuwa akikutana nao robofainali ni bora kuliko aliokutana nao Yanga robo na nusu. Kwa miaka hiyo simba kakutana na Mazembe wa moto , Orando pirates , kaiza chifes na Wydad . Tukiachana na ushabiki marumo ni dhaifu kwa Pirates , Wydad na kaiza chifes
Kumpiga Horoya 7,0 siyo kwamba inawezekana kwa kila timu au Horoya ni wa bovu . Hata Raja kakutana naye lakini hakumpiga hizo 7. Yanga mwenyewe kwenye huohuo mwezi alikandwa 2 ,0 .Wapinzani gani hao Horoya FC wanaopigwa 7-0 na ninyi Makolokolo mliojifia mnasubiri kuzikwa tu kiubora?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Sawa mko vizuriSasa hao unaowasema kwa hiyo miaka 5 angalau wao walikuwa wanaridhika sababu walikuwa wanachukua ubingwa wa ligi kuu na ASFC huku timu yao ilikuwa inafika hadi robofainali ya CAFCL . Lakini kuna timu kwa miaka hiyo mitano unayoisema wao kombe lao lilikuwa la mapinduzi tu na mashindano ya CAF hata hatua za awali walikuwa hawavuki na usajili wao ulikuwa wa hakjna KINDOKI na YIPE likini walitawalika tu.
Kwani kwa hiyo miaka Yanga hakushiriki mashindano yoyote ya CAF? Na kama timu nyingi zilikuwa dhaifu sababu ya covid 19 Yanga alishindwa nini kuzifunga hizo timu zenye covid? Au Yanga wao walikuwa wa nchi nyingine zenye covid?Hakuna wapinzani wowote waliokuwa wa moto, tena Makolokolo ndiyo mlikutana na timu dhaifu mno kupita maelezo sababu nchi nyingi Africa ziliwekwa lockdown tokana na COVID 19.
Kumbuka Hayati JPM alikataa hiyo dhana so ilipaswa mtumie nafasi hiyo vyema kabisa kwa timu dhaifu ambazo hazikufanya mazoezi tokana na lockdown.
Labda Madunduka hamkuwa na bahati maana mpira wakati mwingine huwa unaenda na upepo kimatokeo haijalishi una kikosi kizuri wala kibaya, ndiyomaana pamoja na kubamizwa HAMSA HAMSA ila bado mliongoza kundi na kutinga robo fainali CAFCL.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kwenye kile cha mbumbumbuSawa mkuu, sijajua Simba inajificha vipi kwenye kivuli cha Wydad baada ya kumtoa Mamelod. Once you talk something, make sure you have defensive points less otherwise usemacho ni porojo.
Orlando na Kaizer wote walikuwa dhaifu ukilinganisha na Simba ila kwa sababu ya dharau na kulizika mkatolewa kama mlivyotolewa na Jwanengy na UdisongoAina ya wapinzani ambao amekuwa akikutana nao robofainali ni bora kuliko aliokutana nao Yanga robo na nusu. Kwa miaka hiyo simba kakutana na Mazembe wa moto , Orando pirates , kaiza chifes na Wydad . Tukiachana na ushabiki marumo ni dhaifu kwa Pirates , Wydad na kaiza chifes
Jifariji FC. Namungo tu juzi kawatia kidude kenge nyieTimu iliyopo inajitosheleza
Unakumbuka ilikutandikeni mbili kavu?
Imetolewa robo fainali ya CAFCL na mabingwa watetezi Kwa mbinde.