Simba Kujificha Kwenye kivuli cha Wydad ni Udhaifu

Wewe waache wajipe moyo, kwani wajinga ndiyo waliwao
 
hiyo miaka mi5 ambayo simba anaishia robo nyie uto mlikuwa wapi
 
hiyo miaka mi5 ambayo simba anaishia robo nyie uto mlikuwa wapi
Yanga FC walikuwa wako vibaya kiuchumi ndiyomaana walikuwa wanatembeza bakuli la mchango wa pesa kuendeshea klabu.

Sasa ninyi miaka mitano yote hiyo mlikuwa wapi kuvuka hata nusu fainali CAFCL ilihali klabu yenu ndiyo inaongoza kuweka pesa nyingi za udhamini kwa mwaka hata zaidi ya B 26?

Au zilikuwa B 26 za mchongo?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
hatujawahi kukutana na wapinzani mliokutana nao nyinyi
 
Simba alicheza fainali kombe la caf cup ambalo ni la Tatu kwa ubora viwango vya caf yanga amecheza kombe la shirikisho la pili kwa ubora wa viwango vya caf
Kwa kauli hii unakubali kwamba , klabu bingwa ni bora kuliko shirikisho na vilabu vilivyoko klabu bingwa ni bora kuliko vilivyoko shirikisho?
Hivyo unakubali kwamba Yanga kacheza na timu dhaifu kwenye hayo mashindano ikilinganishwa na simba kama ilivyokuwa kwa simba 1993 kombe la CAF kwamba yalikuwa mashindano ya timu dhaifu?
 
Sasa hao unaowasema kwa hiyo miaka 5 angalau wao walikuwa wanaridhika sababu walikuwa wanachukua ubingwa wa ligi kuu na ASFC huku timu yao ilikuwa inafika hadi robofainali ya CAFCL . Lakini kuna timu kwa miaka hiyo mitano unayoisema wao kombe lao lilikuwa la mapinduzi tu na mashindano ya CAF hata hatua za awali walikuwa hawavuki na usajili wao ulikuwa wa hakjna KINDOKI na YIPE likini walitawalika tu.
 

Wamekuwa aina ya watu ambao hufarijiwa kuona wengine wakipitia kwenye kipindi kigumu. Bila kung'amua kwamba kupitia kipindi kigumu kwa mwingine hakuna uhusiano wowote na urahisi wa maisha yako.
 
Aina ya wapinzani ambao amekuwa akikutana nao robofainali ni bora kuliko aliokutana nao Yanga robo na nusu. Kwa miaka hiyo simba kakutana na Mazembe wa moto , Orando pirates , kaiza chifes na Wydad . Tukiachana na ushabiki marumo ni dhaifu kwa Pirates , Wydad na kaiza chifes
 
Hakuna wapinzani wowote waliokuwa wa moto, tena Makolokolo ndiyo mlikutana na timu dhaifu mno kupita maelezo sababu nchi nyingi Africa ziliwekwa lockdown tokana na COVID 19.

Kumbuka Hayati JPM alikataa hiyo dhana so ilipaswa mtumie nafasi hiyo vyema kabisa kwa timu dhaifu ambazo hazikufanya mazoezi tokana na lockdown.

Labda Madunduka hamkuwa na bahati maana mpira wakati mwingine huwa unaenda na upepo kimatokeo haijalishi una kikosi kizuri wala kibaya, ndiyomaana pamoja na kubamizwa HAMSA HAMSA ila bado mliongoza kundi na kutinga robo fainali CAFCL.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Wapinzani gani hao Horoya FC wanaopigwa 7-0 na ninyi Makolokolo mliojifia mnasubiri kuzikwa tu kiubora?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kumpiga Horoya 7,0 siyo kwamba inawezekana kwa kila timu au Horoya ni wa bovu . Hata Raja kakutana naye lakini hakumpiga hizo 7. Yanga mwenyewe kwenye huohuo mwezi alikandwa 2 ,0 .
 
Sawa mko vizuri
 
Kwani kwa hiyo miaka Yanga hakushiriki mashindano yoyote ya CAF? Na kama timu nyingi zilikuwa dhaifu sababu ya covid 19 Yanga alishindwa nini kuzifunga hizo timu zenye covid? Au Yanga wao walikuwa wa nchi nyingine zenye covid?
 
Mtani bana anakimbilia kichaka Wydad....basi sawa asi poop tu kichakani
 
Sawa mkuu, sijajua Simba inajificha vipi kwenye kivuli cha Wydad baada ya kumtoa Mamelod. Once you talk something, make sure you have defensive points less otherwise usemacho ni porojo.
Kwenye kile cha mbumbumbu
 
Orlando na Kaizer wote walikuwa dhaifu ukilinganisha na Simba ila kwa sababu ya dharau na kulizika mkatolewa kama mlivyotolewa na Jwanengy na Udisongo
Yanga haijadharau mpinzani imepambana nyumbani na ugenini
Simba sera yenu ilikuwa "kwa Mkapa hatoki mtu"
Hata Wydad mliyokutana nayo ilipoteana kwa Mkapa na kwao ushindi ulikuwa upande wenu mkashindwa kupambana na kuishia kusema "team kubwa"hao mkatwapokea wachezaji na kuwaambia "hatuwadai"Sasa lawama zenu zote ni kwa Yanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…