Simba kujifunza kwa Yanga sio Dhambi

Simba kujifunza kwa Yanga sio Dhambi

Unashinda goli moja home and you expect wonderful
 
Kulibeza kombe la shirikisho haisaidii kitu, jifunzeni kutoka kwa Yanga wamewezaje kuikaribia nusu fainali kwa mara ya kwanza kwenye historia ya nchi yetu,Simba lwamecheza kombe hili mara moja lakini walishindwa kusogea hii hatua,walau hata kuinusa tu achilia mbali kushinda !!.

View attachment 2598012
Yaani Simba ijifunze kwa Yanga iliyoshindwa Ligi ya mabingwa na kuangukia kombe la vibonde yaani Simba ajifunze jinsi ya kushindwa?
 
The only feet ya Simba kujifunza ni Yanga kuchukua kombe lenyewe kidoogo italeta sense ,kusema eti nusu fainali ni kupoteza muda maana mwaka 1974 Simba alicheza nusu fainali ya hii club Bingwa acha huko Shirikisho ambako kuna timu nyingi zilizofeli club bingwa .Mwanamme wa kweli ni anauecheza Makundi club bingwa ndiyo maana hata pesa tu atajayokusanya Simba robo Yanga ataipata akifika fainali kombe dogo [emoji23][emoji23][emoji23]

Jiulize kwa nini zawadi hazilingani kwa makombe haya kama unahisi yana hadhi inayofanana!?
Simba haina cha kujifunza kwa Yanga hata kidogo , huwezi kujifunza kwa anayecheza ndondo cup wewe upo ligi kuu na yeye amefeli kucheza ligi kuu

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Hili la Simba kujifunza kwa Yanga nii kichekesho cha Mwaka.

Yanga ni Sawa na mwanafunzi aliyefeli darasa la saba akaamua kurudia darasa la nne,

Huko akaonekana mwenye akili kubwa Kumbe ni mtu aliyeshindwa na kuamua kurudia masomo na watoto wadogo..

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom