Simba kukipiga na El-Qanah ya Misri, Mechi ya kwanza kirafiki hapo kesho 22.07.2024

Simba kukipiga na El-Qanah ya Misri, Mechi ya kwanza kirafiki hapo kesho 22.07.2024

Ewe Mpenzi wa Soka na mfuatiliaji wa Timu kubwa Pinzani za Tanzania yaani Simba SC na Young Africans habari hizi zikufikie popopte ulipo.

Timu ya Simba iliyopo kwenye maandalizi ya msimu ujao itakipiga na El-Qanah ya Misri ikiwa ni mechi yake ya kwanza ya kirafiki katika mandalizi ya Msimu ujao.

Mechi hii itapigwa katika dimba la Old-Suez Canal kuanzia majira ya saa 11:30 jioni.

Kwa habari hii, tafadhali puuzeni habari za uzushi kuwa Simba SC imeshacheza mechi ya kirafiki kisirisiri na kuambulia kipigo cha 6 -2. Habari hizo si kweli na watoa habari walikuwa na lengo la kutengeneza Propaganda kwa maslahi wanayojua wao..🤣😂
Sio mbaya, Ila mechi ya pili wakipige japo na Pyramid
 
M
Kocha kasema hii ni match ya pili, match ya kwanza mmecheza indoor mkapigwa 6-2 tena match ilichezwa dakika 60 tuu.
Mkuu bila shaka unamanisha internal. Kuna tofauti kati ya internal na indoor.

Internal match alimanisha Simba wao kwa wao wameshacheza.
Yaani kunakuwa na vikosi viwili ndani ya Timu moja kisha wanacheza.
 
IMG-20240721-WA0002.jpg
 
Ewe Mpenzi wa Soka na mfuatiliaji wa Timu kubwa Pinzani za Tanzania yaani Simba SC na Young Africans habari hizi zikufikie popopte ulipo.

Timu ya Simba iliyopo kwenye maandalizi ya msimu ujao itakipiga na El-Qanah ya Misri ikiwa ni mechi yake ya kwanza ya kirafiki katika mandalizi ya Msimu ujao.

Mechi hii itapigwa katika dimba la Old-Suez Canal kuanzia majira ya saa 11:30 jioni.

Kwa habari hii, tafadhali puuzeni habari za uzushi kuwa Simba SC imeshacheza mechi ya kirafiki kisirisiri na kuambulia kipigo cha 6 -2. Habari hizo si kweli na watoa habari walikuwa na lengo la kutengeneza Propaganda kwa maslahi wanayojua wao..🤣😂

Ewe Mpenzi wa Soka na mfuatiliaji wa Timu kubwa Pinzani za Tanzania yaani Simba SC na Young Africans habari hizi zikufikie popopte ulipo.

Timu ya Simba iliyopo kwenye maandalizi ya msimu ujao itakipiga na El-Qanah ya Misri ikiwa ni mechi yake ya kwanza ya kirafiki katika mandalizi ya Msimu ujao.

Mechi hii itapigwa katika dimba la Old-Suez Canal kuanzia majira ya saa 11:30 jioni.

Kwa habari hii, tafadhali puuzeni habari za uzushi kuwa Simba SC imeshacheza mechi ya kirafiki kisirisiri na kuambulia kipigo cha 6 -2. Habari hizo si kweli na watoa habari walikuwa na lengo la kutengeneza Propaganda kwa maslahi wanayojua wao..🤣😂
Kumbe Simba kapiga 6 hata hamsemi
Screenshot_20240721-140942.png
 
Nafikiri hii ni mechi ya pili , ya kwanza ni ile Simba ilikandwa 6-2 na timu ya ndondo kule Egypt.
Pre-season ikiisha mbumbumbu FC inaweza kurudi tz na kapu la magoli ya kufungwa , kama sio 50 basi 70!
Simba hii inatia huruma, nasi uto tunafurahi Mangungo bado yupo sana kolokoloni!!
 
Faraja pekee iliyobaki kwa JOBLESS GRADUATES ni ushabiki wa Simba na Yanga.
 
Back
Top Bottom