vibertz
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 2,474
- 4,726
Vipi mechi itachezwa kwa dakika 90 au ndio itakuwa ni dakika 45-60?Kinachoangaliwa hapa ni muunganiko wa timu na mifumo ya mwalimu na sio kiwango cha timu pinzani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi mechi itachezwa kwa dakika 90 au ndio itakuwa ni dakika 45-60?Kinachoangaliwa hapa ni muunganiko wa timu na mifumo ya mwalimu na sio kiwango cha timu pinzani.
Mkuu kulikoni? Mbona mapema sana.?Kocha wa simba Sina Imani nae kabisa
Yanga hawajawahi kujipima na vitimu vidogo pale avic? Au unajisahaulisha tuKwanini Simba wanajipima na timu za daraja la pili? Hiki sio kipimo sahihi.
Tena timu ambayo inashika nafasi ya 10 kwenye ligi daraja la pili
Ingekuwa mmecheza bunju hakuna ambae angehoji ila huko huko nje jamaniYanga hawajawahi kujipima na vitimu vidogo pale avic? Au unajisahaulisha tu
Sio mbaya, Ila mechi ya pili wakipige japo na PyramidEwe Mpenzi wa Soka na mfuatiliaji wa Timu kubwa Pinzani za Tanzania yaani Simba SC na Young Africans habari hizi zikufikie popopte ulipo.
Timu ya Simba iliyopo kwenye maandalizi ya msimu ujao itakipiga na El-Qanah ya Misri ikiwa ni mechi yake ya kwanza ya kirafiki katika mandalizi ya Msimu ujao.
Mechi hii itapigwa katika dimba la Old-Suez Canal kuanzia majira ya saa 11:30 jioni.
Kwa habari hii, tafadhali puuzeni habari za uzushi kuwa Simba SC imeshacheza mechi ya kirafiki kisirisiri na kuambulia kipigo cha 6 -2. Habari hizo si kweli na watoa habari walikuwa na lengo la kutengeneza Propaganda kwa maslahi wanayojua wao..🤣😂
Simba kaenda kupiga kambi kule kwa ratiba zake, simba hapohapo dar alishajipima na timu kutoka laligaIngekuwa mmecheza bunju hakuna ambae angehoji ila huko huko nje jamani
Kwanini msiwatafute ma giants wa Egypt mkajipima? Au wamekataa?
Mkuu bila shaka unamanisha internal. Kuna tofauti kati ya internal na indoor.Kocha kasema hii ni match ya pili, match ya kwanza mmecheza indoor mkapigwa 6-2 tena match ilichezwa dakika 60 tuu.
Pre season hii alijipima na timu ipi ya laliga?Simba kaenda kupiga kambi kule kwa ratiba zake, simba hapohapo dar alishajipima na timu kutoka laliga
Ewe Mpenzi wa Soka na mfuatiliaji wa Timu kubwa Pinzani za Tanzania yaani Simba SC na Young Africans habari hizi zikufikie popopte ulipo.
Timu ya Simba iliyopo kwenye maandalizi ya msimu ujao itakipiga na El-Qanah ya Misri ikiwa ni mechi yake ya kwanza ya kirafiki katika mandalizi ya Msimu ujao.
Mechi hii itapigwa katika dimba la Old-Suez Canal kuanzia majira ya saa 11:30 jioni.
Kwa habari hii, tafadhali puuzeni habari za uzushi kuwa Simba SC imeshacheza mechi ya kirafiki kisirisiri na kuambulia kipigo cha 6 -2. Habari hizo si kweli na watoa habari walikuwa na lengo la kutengeneza Propaganda kwa maslahi wanayojua wao..🤣😂
Kumbe Simba kapiga 6 hata hamsemiEwe Mpenzi wa Soka na mfuatiliaji wa Timu kubwa Pinzani za Tanzania yaani Simba SC na Young Africans habari hizi zikufikie popopte ulipo.
Timu ya Simba iliyopo kwenye maandalizi ya msimu ujao itakipiga na El-Qanah ya Misri ikiwa ni mechi yake ya kwanza ya kirafiki katika mandalizi ya Msimu ujao.
Mechi hii itapigwa katika dimba la Old-Suez Canal kuanzia majira ya saa 11:30 jioni.
Kwa habari hii, tafadhali puuzeni habari za uzushi kuwa Simba SC imeshacheza mechi ya kirafiki kisirisiri na kuambulia kipigo cha 6 -2. Habari hizo si kweli na watoa habari walikuwa na lengo la kutengeneza Propaganda kwa maslahi wanayojua wao..🤣😂
Usilazimishe hiiPre season hii alijipima na timu ipi ya laliga?
🤣🤣🤣🤣Timu ya madrasa toka msikiti mmoja hapo kwa Firauni hiyo.
Yaani ÙTO wajinga sana, sasa tambi lote hilo ndio wawafunge simba 6Kumbe Simba kapiga 6 hata hamsemiView attachment 3047887
Kwan tambi no nilinachezaYaani ÙTO wajinga sana, sasa tambi lote hilo ndio wawafunge simba 6
Awawezi kuthubutu, wanajua wanachoweza kupata na Simba day wakose mashabiki wao sio wajingaSio mbaya, Ila mechi ya pili wakipige japo na Pyramid
Sasa matokeo watatuleteaHawataionesha hii mechi. Mechi ya kisirisiri