Majok majok
JF-Expert Member
- Aug 3, 2023
- 783
- 2,057
Tumezoea awa mabwana kupost mauzo ya ticket yalipofikia kwenye page zao na mitandao ya kijamii uku wakionyesha sold out za kutosha Kila jukwaa, Sasa nashanga safari hii wamekuwa Kama wamepigwa na shot ya umeme wameganda Kama barafu.
Hii sio kawaida yao kabisa mechi ni kesho lakini akuna post yoyote juu ya mauzo ya ticket.
Na lugha ya mwili ya msemaji wao Ahmed Aly inaonyesha Hali sio nzuri na wamepigwa za uso kwenye mauzo ya ticket, inaonekana mashabiki wamesusia bado wanayo homa ya kipigo Cha Kono la nyani wakiweka na kutopata kocha kwa wakati ndio kabisa matumaini yanazama mazimaaaa.
Hii sio kawaida yao kabisa mechi ni kesho lakini akuna post yoyote juu ya mauzo ya ticket.
Na lugha ya mwili ya msemaji wao Ahmed Aly inaonyesha Hali sio nzuri na wamepigwa za uso kwenye mauzo ya ticket, inaonekana mashabiki wamesusia bado wanayo homa ya kipigo Cha Kono la nyani wakiweka na kutopata kocha kwa wakati ndio kabisa matumaini yanazama mazimaaaa.