Simba kulikoni mbona hampost trend ya mauzo ya tiketi kama kawaida yenu? Shida ni nini!!

Simba kulikoni mbona hampost trend ya mauzo ya tiketi kama kawaida yenu? Shida ni nini!!

Majok majok

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2023
Posts
783
Reaction score
2,057
Tumezoea awa mabwana kupost mauzo ya ticket yalipofikia kwenye page zao na mitandao ya kijamii uku wakionyesha sold out za kutosha Kila jukwaa, Sasa nashanga safari hii wamekuwa Kama wamepigwa na shot ya umeme wameganda Kama barafu.

Hii sio kawaida yao kabisa mechi ni kesho lakini akuna post yoyote juu ya mauzo ya ticket.

Na lugha ya mwili ya msemaji wao Ahmed Aly inaonyesha Hali sio nzuri na wamepigwa za uso kwenye mauzo ya ticket, inaonekana mashabiki wamesusia bado wanayo homa ya kipigo Cha Kono la nyani wakiweka na kutopata kocha kwa wakati ndio kabisa matumaini yanazama mazimaaaa.
 
Tumezoea awa mabwana kupost mauzo ya ticket yalipofikia kwenye page zao na mitandao ya kijamii uku wakionyesha sold out za kutosha Kila jukwaa, Sasa nashanga safari hii wamekuwa Kama wamepigwa na shot ya umeme wameganda Kama barafu!!!
Hii sio kawaida yao kabisa mechi ni kesho lakini akuna post yoyote juu ya mauzo ya ticket!!!
Na lugha ya mwili ya msemaji wao Ahmed Aly inaonyesha Hali sio nzuri na wamepigwa za uso kwenye mauzo ya ticket, inaonekana mashabiki wamesusia bado wanayo homa ya kipigo Cha Kono la nyani wakiweka na kutopata kocha kwa wakati ndio kabisa matumaini yanazama mazimaaaa!!!!
zimeuzwa tkt 600 tu hata km wewe ndo ungekuwa ahmed ally kispika ungetangaza kweli!!!
 
Tumezoea awa mabwana kupost mauzo ya ticket yalipofikia kwenye page zao na mitandao ya kijamii uku wakionyesha sold out za kutosha Kila jukwaa, Sasa nashanga safari hii wamekuwa Kama wamepigwa na shot ya umeme wameganda Kama barafu!!!
Hii sio kawaida yao kabisa mechi ni kesho lakini akuna post yoyote juu ya mauzo ya ticket!!!
Na lugha ya mwili ya msemaji wao Ahmed Aly inaonyesha Hali sio nzuri na wamepigwa za uso kwenye mauzo ya ticket, inaonekana mashabiki wamesusia bado wanayo homa ya kipigo Cha Kono la nyani wakiweka na kutopata kocha kwa wakati ndio kabisa matumaini yanazama mazimaaaa!!!!
Kono la nyani si mchezo.
 
Ucha upimbi hiyo Nini ??
Screenshot_20231124-151819.jpg
 
Nyuma ya huu tunaouita "utani wa jadi" zimejificha roho za chuki, wivu, husda na roho mbaya.
Sio vibaya wakituwekea muelekeo wa mauzo ya ticket ili tujue tumebakisha kiasi Gani kuujaza uwanja maana Bei ya ticket imeshushwa mpaka buku 3 lakini mambo bado magumu!
 
Tumezoea awa mabwana kupost mauzo ya ticket yalipofikia kwenye page zao na mitandao ya kijamii uku wakionyesha sold out za kutosha Kila jukwaa, Sasa nashanga safari hii wamekuwa Kama wamepigwa na shot ya umeme wameganda Kama barafu!!!
Hii sio kawaida yao kabisa mechi ni kesho lakini akuna post yoyote juu ya mauzo ya ticket!!!
Na lugha ya mwili ya msemaji wao Ahmed Aly inaonyesha Hali sio nzuri na wamepigwa za uso kwenye mauzo ya ticket, inaonekana mashabiki wamesusia bado wanayo homa ya kipigo Cha Kono la nyani wakiweka na kutopata kocha kwa wakati ndio kabisa matumaini yanazama mazimaaaa!!!!
Mama atazinunua kuokoa jahazi.

..watoto wa RAGE mara wataamini.

E sikweli wee.
 
Back
Top Bottom