Simba kumtambulisha golikipa Ayoub Lakred leo Agosti 13, 2023

Simba kumtambulisha golikipa Ayoub Lakred leo Agosti 13, 2023

Scars

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2017
Posts
48,055
Reaction score
116,512
Wakati Clubs ndogo ndogo zikiwa zimefikia deadline ya kufanya usajili CAF, Club namba 1 nchini Simba Sc bado inaendelea kusajili.

Dakika chache zijazo Simba inatarajiwa kushusha nyanda la boli la kimataifa kwa ajili ya maandalizi ya michuano mikubwa Super Cup.

Kutokana na Quality ya NBC Simba imeona Ally Salim anatosha zaidi kusimama langoni kwenye mechi za ligi kuu.

Hivyo huyu anayetambulishwa saa 7:00 ni maalumu kwa ajili ya mechi zile kubwa za kimataifa.

**********

Updates

BREAKING NEWS 🔴🦁

Ayoub Lakred Goal keeper mpya Simba sports ni raia wa Morocco
Screenshot_20230812-131540.png
simbasctanzania-20230812-0001.jpg
 
Wakati Clubs ndogo ndogo zikiwa zimefikia deadline ya kufanya usajili CAF, Club namba 1 nchini Simba Sc bado inaendelea kusajili.

Dakika chache zijazo Simba inatarajiwa kushusha nyanda la boli la kimataifa kwa ajili ya maandalizi ya michuano mikubwa Super Cup.

Kutokana na Quality ya NBC Simba imeona Ally Salim anatosha zaidi kusimama langoni kwenye mechi za ligi kuu.

Hivyo huyu anayetambulishwa saa 7:00 ni maalumu kwa ajili ya mechi zile kubwa za kimataifa.


**********


Updates

BREAKING NEWS 🔴🦁

Ayoub Lakred Goal keeper mpya Simba sports ni raia wa Morocco
View attachment 2715299
Hahaaaaaaaaaaaa Tshs 30b Mwamedi atanunua huyo janja janja sana. Mafi ya kuku...
 
Simba Sc tunatumia hela nyingi kupata hawa watu halafu mjinga mmoja tu anaenda kwa babu na 50k kupiga msumari. Inauma sana.

Tumuonee huruma tajiri na mashabiki. Si mnaona wenyewe tajiri ameanza kama kudata
Inasikitisha sana, Mimi hadi leo bado najiuliza mtu kama Bocco anapataje nafas ya kucheza mbele ya washambuliaji wawili wa kigeni (Baleke & Phiri)
 
Wanacheka na kujitekenya wenyewe. Nyie sajilini mapazia mwisho anakuja kulaumiwa GSM ananunua mechi.
Huyu hatujamsajili kwa ajili ya NBC.

Level ya NBC ni level ya Ally Salim

Huyu kipa wa leo ana mechi chache za kimataifa baada ya hapo atakuwa anasimama kama kocha kutoa maelekezo kwa kina Ally Salim
 
Huyu hatujamsajili kwa ajili ya NBC.

Level ya NBC ni level ya Ally Salim

Huyu kipa wa leo ana mechi chache za kimataifa baada ya hapo atakuwa anasimama kama kocha kutoa maelekezo kwa kina Ally Salim
Kimataifa watakua 13..
Banda anatolewa kwa mkopo timu gani?
 
Back
Top Bottom