Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YUle mBrazil hakua na CV?Uwe unaangalia na CV ya mchezaji basi. Suala la GSM kununua mechi halina mjadala
Si unasikia aliumia? Anaumia Mendy atakuwa mbrazil.. Hatuna guarantee ya uzimaYUle mBrazil hakua na CV?
Kocha mchezaji mwenye miaka 28? Semen8 tu mmefanya ubabaishaji kwenye usajili mpaka dirisha limefungwaHuyu hatujamsajili kwa ajili ya NBC.
Level ya NBC ni level ya Ally Salim
Huyu kipa wa leo ana mechi chache za kimataifa baada ya hapo atakuwa anasimama kama kocha kutoa maelekezo kwa kina Ally Salim
Hamkumfantie vipimo? Acheni ubabaishaji hakuna mjadala kwenye hilo watu wamepiga hela kusajili gollie wa ndondo Brazil wakijisahaulisha kanuni zinakataaSi unasikia aliumia? Hatuna guarantee ya uzima
Dirisha gani lililofungwa?Kocha mchezaji mwenye miaka 28? Semen8 tu mmefanya ubabaishaji kwenye usajili mpaka dirisha limefungwa
Duh!...atadaka jumapili ?Wakati Clubs ndogo ndogo zikiwa zimefikia deadline ya kufanya usajili CAF, Club namba 1 nchini Simba Sc bado inaendelea kusajili.
Dakika chache zijazo Simba inatarajiwa kushusha nyanda la boli la kimataifa kwa ajili ya maandalizi ya michuano mikubwa Super Cup.
Kutokana na Quality ya NBC Simba imeona Ally Salim anatosha zaidi kusimama langoni kwenye mechi za ligi kuu.
Hivyo huyu anayetambulishwa saa 7:00 ni maalumu kwa ajili ya mechi zile kubwa za kimataifa.
**********
Updates
BREAKING NEWS 🔴🦁
Ayoub Lakred Goal keeper mpya Simba sports ni raia wa Morocco
View attachment 2715299
Huyu anapita Karume anakuta dirisha za TFF zimefungwa akajua ndio usajili umefungwaKocha mchezaji mwenye miaka 28? Semen8 tu mmefanya ubabaishaji kwenye usajili mpaka dirisha limefungwa
Sio mbaya akijaribiwa jumapili.Level zake sio kucheza mashindano madogo dhidi ya timu ndogo
Sajilini kesho ili mtoke hilo kundiVipi Yanga, nae ni miongoni mwa hizo klabu ndogo ndogo.
Mbona lipo waziMnajitekenya na kucheka wenyewe. Nyie sajilini mapazia mwisho anakuja kulaumiwa GSM ananunua mechi.
Ni 3b siyo 30bHahaaaaaaaaaaaa Tshs 30b Mwamedi atanunua huyo janja janja sana. Mafi ya kuku...
ShatiWana Jangwani msiwe na wasiwasi hatokuwepo kesho
Hapo hamna kipa, nilijua anadaka hadi mbegu za choroko kumbe ni mbegu za ubuyu.Kipa gani?
Unamzungumzia yule Mbrazili ambaye ni majeruhi?
Huyu wa leo akiwa mazoezini kocha huwa hatumii mipira kum train.
Anatumia mbegu za ubuyu na zote anadaka