Simba kumtambulisha golikipa Ayoub Lakred leo Agosti 13, 2023

Simba kumtambulisha golikipa Ayoub Lakred leo Agosti 13, 2023

Huyu anapita Karume anakuta dirisha za TFF zimefungwa akajua ndio usajili umefungwa

97+44 unapata 112?

Nyie Gongowazi hizi ni hesabu za wapi?
Kule wenye akili ni wawili tu, hatujajulishwa kama walishaongezeka. Na huyo anayekusumbua hayumo miongoni mwa hao wawili.
 
Skudu sokoni ni efu 75,000

Na ukiwa muongeaji inashuka
Ila balaa lake Skudu cost yake ni TSH 5b!

Azam hawakukubali kabisa Skudu acheze, yule mjinga alimkanyaga Skudu kwenye kisigino , ukweli nililaani sana, ndo maana wachezaji wa kibongo hawaendi nje!! Akili zao rafu tu!

Kesho mbumbumbu fc maji mtaita mma! Skudu lazima afanye balaa kubwa!!
 
Ila balaa lake Skudu cost yake ni TSH 5b!

Azam hawakukubali kabisa Skudu acheze, yule mjinga alimkanyaga Skudu kwenye kisigino , ukweli nililaani sana, ndo maana wachezaji wa kibongo hawaendi nje!! Akili zao rafu tu!

Kesho mbumbumbu fc maji mtaita mma! Skudu lazima afanye balaa kubwa!!
Kabla ya kusema Skudu alikanyagwa kaangalie stats zake.

Huyu kuna misimu amecheza mechi mbili tu
 
Kipa gani?

Unamzungumzia yule Mbrazili ambaye ni majeruhi?

Huyu wa leo akiwa mazoezini kocha huwa hatumii mipira kum train.

Anatumia mbegu za ubuyu na zote anadaka
Naifanyia lamination hii comment. Itanifaa baadae!

[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom