Medecin
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 8,221
- 22,496
Timu ya baba yenu mdogo hiyo wametoa maoni haya hukoSuala la bahasha halihusiani na Ubingwa. Kama mnachukua ubingwa mchukue kihalali. Ubingwa sio mali rasmi ya Simba au Yanga. Hata Ihefu wanaweza kuchukua