Simba kupanda thamani, maombi ya uwekezaji na ushirikiano kutoka klabu na kampuni kubwa za michezo ni mengi

Simba kupanda thamani, maombi ya uwekezaji na ushirikiano kutoka klabu na kampuni kubwa za michezo ni mengi

Sultan MackJoe Khalifa

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2022
Posts
6,782
Reaction score
14,148
Screenshot 2023-10-19 103357.png


Imebainika club ya Simba kupanda thamani maradufu kwa zaidi ya 85.9% kwenye maeneo tofauti ndani ya club. Maeneo yanayotazamiwa kupanda thamani ni pamoja na wadhamini wakubwa kuongezeka,kupata wafadhili mbalimbali watakao jitolea kukuza vipaji kwenye club, wadhamini wa soka la wanawake Simba Queens kuongezeka pamoja ujenzi wa uwanja wa kisasa.

Aidha, Simba kupata covarage pana kutokana na kuongezeka kwa mashabiki mitandaoni kutoka bala Ulaya, bara Asia na Bara America, mauzo ya jezi pamoja na kupata club kubwa rafiki (investment club partnership) zenye sifa kemkem kwenye ulimwengu huu wa soka la kisasa.
 
imebainika club ya Simba kupanda thamani maradufu kwa zaidi ya 85.9% kwenye maeneo tofauti ndani ya club. Maeneo yanayotazamiwa kupanda thamani ni pamoja na wadhamini wakubwa kuongezeka,kupata wafadhili mbalimbali watakao jitolea kukuza vipaji kwenye club, wadhamini wa soka la wanawake Simba Queens kuongezeka pamoja ujenzi wa uwanja wa kisasa.

Aidha, Simba kupata covarage pana kutokana na kuongezeka kwa mashabiki mitandaoni kutoka bala Ulaya, bara Asia na Bara America, mauzo ya jezi pamoja na kupata club kubwa rafiki (investment club partnership) zenye sifa kemkem kwenye ulimwengu huu wa soka la kisasa.
quenes ni nini?
 
View attachment 2786187

Imebainika club ya Simba kupanda thamani maradufu kwa zaidi ya 85.9% kwenye maeneo tofauti ndani ya club. Maeneo yanayotazamiwa kupanda thamani ni pamoja na wadhamini wakubwa kuongezeka,kupata wafadhili mbalimbali watakao jitolea kukuza vipaji kwenye club, wadhamini wa soka la wanawake Simba Queens kuongezeka pamoja ujenzi wa uwanja wa kisasa.

Aidha, Simba kupata covarage pana kutokana na kuongezeka kwa mashabiki mitandaoni kutoka bala Ulaya, bara Asia na Bara America, mauzo ya jezi pamoja na kupata club kubwa rafiki (investment club partnership) zenye sifa kemkem kwenye ulimwengu huu wa soka la kisasa.
Hii ndio ina reflect akili za Mbumbumbu fc wengi yaani ana amini Simba kushirikishwa katika bonanza la AFL kuna kampuni zitakuja kuwekeza.

Timu ambayo ina miaka miwili haina kombe lolote la maana.

Timu ambayo ina miaka mitano mfululizo katika michuano ya kimataifa haijawahi kuvuka ngazi ya robo.
Timu ambayo mashabiki wake wana wastani usio ridhisha kuingia uwanjani katika mechi za ligi ya NBC.

Timu ambayo imepata nafasi ki shemeji ili ishiriki katika mashindano ya AFL na bado mpaka Leo tiketi za kuingia uwanjani bado hazijaisha.

Timu ambayo mpaka leo bado siku moja
Kabla ya mechi wanahamasisha watu kwa kuzunguka vi chochoroni na vi spika ili watu waende uwanjani.

Wakati wapinzani wao Yanga msemaji wao Ally Kamwe alitoa kauli moja tu, uwanja wa Pele pale Kigali Rwanda zaidi ya kilomita 1400 kutoka DSM ulijazwa na masshabiki wa Yanga.

Hakuna mwekezaji atakuja kuwekeza kwenye timu ambayo imejikita kwenye fitina na makafara, uchawi wa hadharani ili ipate ushindi kwa njia chafu, kwa kufanya hivyo anakwenda kuua Brand ya Kampuni yake.
 
Hii ndio ina reflect akili za Mbumbumbu fc wengi yaani ana amini Simba kushirikishwa katika bonanza la AFL kuna kampuni zitakuja kuwekeza.

Timu ambayo ina miaka miwili haina kombe lolote la maana.

Timu ambayo ina miaka mitano mfululizo katika michuano ya kimataifa haijawahi kuvuka ngazi ya robo.
Timu ambayo mashabiki wake wana wastani usio ridhisha kuingia uwanjani katika mechi za ligi ya NBC.

Timu ambayo imepata nafasi ki shemeji ili ishiriki katika mashindano ya AFL na bado mpaka Leo tiketi za kuingia uwanjani bado hazijaisha.

Timu ambayo mpaka leo bado siku moja
Kabla ya mechi wanahamasisha watu kwa kuzunguka vi chochoroni na vi spika ili watu waende uwanjani.

Wakati wapinzani wao Yanga msemaji wao Ally Kamwe alitoa kauli moja tu, uwanja wa Pele pale Kigali Rwanda zaidi ya kilomita 1400 kutoka DSM ulijazwa na masshabiki wa Yanga.

Hakuna mwekezaji atakuja kuwekeza kwenye timu ambayo imejikita kwenye fitina na makafara, uchawi wa hadharani ili ipate ushindi kwa njia chafu, kwa kufanya hivyo anakwenda kuua Brand ya Kampuni yake.
Umelalamika kwa uchungu mkubwa.
Karia,body ya ligi na caf wanaipendelea sana Simba.

pole yataisha haya.futa machozi mungu yupo, Utopolo mtacheza na nyinyi baada ya miaka 1000.
 
View attachment 2786187

Imebainika club ya Simba kupanda thamani maradufu kwa zaidi ya 85.9% kwenye maeneo tofauti ndani ya club. Maeneo yanayotazamiwa kupanda thamani ni pamoja na wadhamini wakubwa kuongezeka,kupata wafadhili mbalimbali watakao jitolea kukuza vipaji kwenye club, wadhamini wa soka la wanawake Simba Queens kuongezeka pamoja ujenzi wa uwanja wa kisasa.

Aidha, Simba kupata covarage pana kutokana na kuongezeka kwa mashabiki mitandaoni kutoka bala Ulaya, bara Asia na Bara America, mauzo ya jezi pamoja na kupata club kubwa rafiki (investment club partnership) zenye sifa kemkem kwenye ulimwengu huu wa soka la kisasa.
Gongowazi hawataki kusikia habari hii
 
Hii ndio ina reflect akili za Mbumbumbu fc wengi yaani ana amini Simba kushirikishwa katika bonanza la AFL kuna kampuni zitakuja kuwekeza.

Timu ambayo ina miaka miwili haina kombe lolote la maana.

Timu ambayo ina miaka mitano mfululizo katika michuano ya kimataifa haijawahi kuvuka ngazi ya robo.
Timu ambayo mashabiki wake wana wastani usio ridhisha kuingia uwanjani katika mechi za ligi ya NBC.

Timu ambayo imepata nafasi ki shemeji ili ishiriki katika mashindano ya AFL na bado mpaka Leo tiketi za kuingia uwanjani bado hazijaisha.

Timu ambayo mpaka leo bado siku moja
Kabla ya mechi wanahamasisha watu kwa kuzunguka vi chochoroni na vi spika ili watu waende uwanjani.

Wakati wapinzani wao Yanga msemaji wao Ally Kamwe alitoa kauli moja tu, uwanja wa Pele pale Kigali Rwanda zaidi ya kilomita 1400 kutoka DSM ulijazwa na masshabiki wa Yanga.

Hakuna mwekezaji atakuja kuwekeza kwenye timu ambayo imejikita kwenye fitina na makafara, uchawi wa hadharani ili ipate ushindi kwa njia chafu, kwa kufanya hivyo anakwenda kuua Brand ya Kampuni yake.
Ungeongezea timu iliyokaa miaka 25 bila kuingia makundi ya klabu bingwa Africa halafu unataka ionewe huruma kushiriki super cup.
 
Hii ndio ina reflect akili za Mbumbumbu fc wengi yaani ana amini Simba kushirikishwa katika bonanza la AFL kuna kampuni zitakuja kuwekeza.

Timu ambayo ina miaka miwili haina kombe lolote la maana.

Timu ambayo ina miaka mitano mfululizo katika michuano ya kimataifa haijawahi kuvuka ngazi ya robo.
Timu ambayo mashabiki wake wana wastani usio ridhisha kuingia uwanjani katika mechi za ligi ya NBC.

Timu ambayo imepata nafasi ki shemeji ili ishiriki katika mashindano ya AFL na bado mpaka Leo tiketi za kuingia uwanjani bado hazijaisha.

Timu ambayo mpaka leo bado siku moja
Kabla ya mechi wanahamasisha watu kwa kuzunguka vi chochoroni na vi spika ili watu waende uwanjani.

Wakati wapinzani wao Yanga msemaji wao Ally Kamwe alitoa kauli moja tu, uwanja wa Pele pale Kigali Rwanda zaidi ya kilomita 1400 kutoka DSM ulijazwa na masshabiki wa Yanga.

Hakuna mwekezaji atakuja kuwekeza kwenye timu ambayo imejikita kwenye fitina na makafara, uchawi wa hadharani ili ipate ushindi kwa njia chafu, kwa kufanya hivyo anakwenda kuua Brand ya Kampuni yake.
Unapenda kuandika insha ndefu kuonyesha ni jinsi gani unaumia..yani ni jinsi gani uko serious kwny chuki zako...
 
View attachment 2786187

Imebainika club ya Simba kupanda thamani maradufu kwa zaidi ya 85.9% kwenye maeneo tofauti ndani ya club. Maeneo yanayotazamiwa kupanda thamani ni pamoja na wadhamini wakubwa kuongezeka,kupata wafadhili mbalimbali watakao jitolea kukuza vipaji kwenye club, wadhamini wa soka la wanawake Simba Queens kuongezeka pamoja ujenzi wa uwanja wa kisasa.

Aidha, Simba kupata covarage pana kutokana na kuongezeka kwa mashabiki mitandaoni kutoka bala Ulaya, bara Asia na Bara America, mauzo ya jezi pamoja na kupata club kubwa rafiki (investment club partnership) zenye sifa kemkem kwenye ulimwengu huu wa soka la kisasa.
Tumekwisha zoea kauli zenu za mafanikio hewa
Kama unabisha ngoja tuone kinachofuata,
Mnayo mafanikio ya kuongea tu mpaka sass na tayari litimu lenu limetajirika ki hewa hewa tu mpaka sasa
Na mtaoata mafanikio zidi y haya hasa mkia n msemaji muongo muongo muongo na mropokaji kama huyu mli nae anaetwala vichwa vyenu, kiongea wote mbumbu mnaka kimya kumsikiza, likisha maliza kuropoka mnalipigi makofi hy kama limeongea pumba
Hapo ndipo nausikia ulenwimbo wa mariooo na Reyvan
'hivi unakili wewe,, zinachaji kweli,,,,,,,,
Mlizieni asee
Unijibu msinijibu kivyenu
Huo ndo ukweli sifuti kauli makolokolo ovyoo[emoji41]
 
Hii ndio ina reflect akili za Mbumbumbu fc wengi yaani ana amini Simba kushirikishwa katika bonanza la AFL kuna kampuni zitakuja kuwekeza.

Timu ambayo ina miaka miwili haina kombe lolote la maana.

Timu ambayo ina miaka mitano mfululizo katika michuano ya kimataifa haijawahi kuvuka ngazi ya robo.
Timu ambayo mashabiki wake wana wastani usio ridhisha kuingia uwanjani katika mechi za ligi ya NBC.

Timu ambayo imepata nafasi ki shemeji ili ishiriki katika mashindano ya AFL na bado mpaka Leo tiketi za kuingia uwanjani bado hazijaisha.

Timu ambayo mpaka leo bado siku moja
Kabla ya mechi wanahamasisha watu kwa kuzunguka vi chochoroni na vi spika ili watu waende uwanjani.

Wakati wapinzani wao Yanga msemaji wao Ally Kamwe alitoa kauli moja tu, uwanja wa Pele pale Kigali Rwanda zaidi ya kilomita 1400 kutoka DSM ulijazwa na masshabiki wa Yanga.

Hakuna mwekezaji atakuja kuwekeza kwenye timu ambayo imejikita kwenye fitina na makafara, uchawi wa hadharani ili ipate ushindi kwa njia chafu, kwa kufanya hivyo anakwenda kuua Brand ya Kampuni yake.
Hakika ujinga wa uzeeni lazima utakufa nao tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ndio ina reflect akili za Mbumbumbu fc wengi yaani ana amini Simba kushirikishwa katika bonanza la AFL kuna kampuni zitakuja kuwekeza.

Timu ambayo ina miaka miwili haina kombe lolote la maana.

Timu ambayo ina miaka mitano mfululizo katika michuano ya kimataifa haijawahi kuvuka ngazi ya robo.
Timu ambayo mashabiki wake wana wastani usio ridhisha kuingia uwanjani katika mechi za ligi ya NBC.

Timu ambayo imepata nafasi ki shemeji ili ishiriki katika mashindano ya AFL na bado mpaka Leo tiketi za kuingia uwanjani bado hazijaisha.

Timu ambayo mpaka leo bado siku moja
Kabla ya mechi wanahamasisha watu kwa kuzunguka vi chochoroni na vi spika ili watu waende uwanjani.

Wakati wapinzani wao Yanga msemaji wao Ally Kamwe alitoa kauli moja tu, uwanja wa Pele pale Kigali Rwanda zaidi ya kilomita 1400 kutoka DSM ulijazwa na masshabiki wa Yanga.

Hakuna mwekezaji atakuja kuwekeza kwenye timu ambayo imejikita kwenye fitina na makafara, uchawi wa hadharani ili ipate ushindi kwa njia chafu, kwa kufanya hivyo anakwenda kuua Brand ya Kampuni yake.
Vipi taswira ya Simba kimataifa utaweza kufananisha na yanga?
Mimi naona NBC premier league ndio bonanza
 
Hii ndio ina reflect akili za Mbumbumbu fc wengi yaani ana amini Simba kushirikishwa katika bonanza la AFL kuna kampuni zitakuja kuwekeza.

Timu ambayo ina miaka miwili haina kombe lolote la maana.

Timu ambayo ina miaka mitano mfululizo katika michuano ya kimataifa haijawahi kuvuka ngazi ya robo.
Timu ambayo mashabiki wake wana wastani usio ridhisha kuingia uwanjani katika mechi za ligi ya NBC.

Timu ambayo imepata nafasi ki shemeji ili ishiriki katika mashindano ya AFL na bado mpaka Leo tiketi za kuingia uwanjani bado hazijaisha.

Timu ambayo mpaka leo bado siku moja
Kabla ya mechi wanahamasisha watu kwa kuzunguka vi chochoroni na vi spika ili watu waende uwanjani.

Wakati wapinzani wao Yanga msemaji wao Ally Kamwe alitoa kauli moja tu, uwanja wa Pele pale Kigali Rwanda zaidi ya kilomita 1400 kutoka DSM ulijazwa na masshabiki wa Yanga.

Hakuna mwekezaji atakuja kuwekeza kwenye timu ambayo imejikita kwenye fitina na makafara, uchawi wa hadharani ili ipate ushindi kwa njia chafu, kwa kufanya hivyo anakwenda kuua Brand ya Kampuni yake.
Pole kwa maumivu!!!!wanathimbaaa gonga like twende sawa.
 
Tumekwisha zoea kauli zenu za mafanikio hewa
Kama unabisha ngoja tuone kinachofuata,
Mnayo mafanikio ya kuongea tu mpaka sass na tayari litimu lenu limetajirika ki hewa hewa tu mpaka sasa
Na mtaoata mafanikio zidi y haya hasa mkia n msemaji muongo muongo muongo na mropokaji kama huyu mli nae anaetwala vichwa vyenu, kiongea wote mbumbu mnaka kimya kumsikiza, likisha maliza kuropoka mnalipigi makofi hy kama limeongea pumba
Hapo ndipo nausikia ulenwimbo wa mariooo na Reyvan
'hivi unakili wewe,, zinachaji kweli,,,,,,,,
Mlizieni asee
Unijibu msinijibu kivyenu
Huo ndo ukweli sifuti kauli makolokolo ovyoo[emoji41]
Wewe unalalamika kila siku maisha magumu,ushakula?
 
Hii ndio ina reflect akili za Mbumbumbu fc wengi yaani ana amini Simba kushirikishwa katika bonanza la AFL kuna kampuni zitakuja kuwekeza.

Timu ambayo ina miaka miwili haina kombe lolote la maana.

Timu ambayo ina miaka mitano mfululizo katika michuano ya kimataifa haijawahi kuvuka ngazi ya robo.
Timu ambayo mashabiki wake wana wastani usio ridhisha kuingia uwanjani katika mechi za ligi ya NBC.

Timu ambayo imepata nafasi ki shemeji ili ishiriki katika mashindano ya AFL na bado mpaka Leo tiketi za kuingia uwanjani bado hazijaisha.

Timu ambayo mpaka leo bado siku moja
Kabla ya mechi wanahamasisha watu kwa kuzunguka vi chochoroni na vi spika ili watu waende uwanjani.

Wakati wapinzani wao Yanga msemaji wao Ally Kamwe alitoa kauli moja tu, uwanja wa Pele pale Kigali Rwanda zaidi ya kilomita 1400 kutoka DSM ulijazwa na masshabiki wa Yanga.

Hakuna mwekezaji atakuja kuwekeza kwenye timu ambayo imejikita kwenye fitina na makafara, uchawi wa hadharani ili ipate ushindi kwa njia chafu, kwa kufanya hivyo anakwenda kuua Brand ya Kampuni yake.
Umemaliza kila kitu huu uzi ufungwe
 
Back
Top Bottom