Simba kupata bao kwa Nkana sio shida, shida ni kuwazuia nao kupata bao

Yanga wanatia huruma simbaa anakula 1.3b Kutoka cuf na 0.3b kutoka short pesa

Mtajibeba MA michango yenu ya buku buku
 
You are welcome dude, how did mighty Nkana do today?
The match was fabulous fantastic and Simba won only by chance, it was their day and we really tried harder, anyway we shall be proceeding to the confederation cup and thats our only desire.
Sorry for the fans who travelled all their way from Zambia, let's not lose hope, we shall make it next time.
 

You are right ila tatizo liko kwa Yanga na labda timu zingine hizi ila si kwa Simba. Kawaida hata ukiangalia katika historia ya nchi yetu tukiondoa ushabiki wa kinjinga, ni Simba pekee ndiyo ina matumaini ya kwenda mbali. Timu pekee yenye kuweza kuleta maajabu hapa Tanzania ama ukanda huu wa Afrika Mashariki ni Simba pekee, hakuna mwingine.
 
Pamoja na hayo,kipigo cha Mikia kipo pale pale na Sisi mashabiki wa kujitolea wa Nkana tupo nao bega kwa bega mpaka kieleweke.

Kweli mmekula hasara kulipa kiingilio kisha mmetoka bila hata kupata viroba vya mchele. Poleni sana.
 
Reactions: Tui
Vyura mliwapokea Nkana waonyesheni njia ya kutokea. Ili wuwe wenyeji wazuri.
Wee Chama wewe .
Tayari 1.2 bilioni kibindoni wengine wanachangisha kwenye ndoo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…