Simba kupata bao kwa Nkana sio shida, shida ni kuwazuia nao kupata bao

Napenda kutoa pongezi za dhati kabisa kwa Simba SC na watanzania kwa ujumla katika ushindi ambao utakumbukwa na kuwekwa katika historia ya soka barani Afrika.
 
Reactions: Tui
Bumbavu mlikuja mkijua mnyama anafungwa mmeumbuka,hii simba nyingine bwana.Mkakimbia uwanyani magoli yalivyorudi.
 
Reactions: Tui
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…