Simba kupata bao kwa Nkana sio shida, shida ni kuwazuia nao kupata bao

Simba kupata bao kwa Nkana sio shida, shida ni kuwazuia nao kupata bao

Nawashauri Nkana wasisahau kuondoka na mashabiki wao

Mbona walishawatema kitambo, yaani pale pale Taifa. Mashabiki wa Yanga walikwenda kudai viroba vya mchele na unga kwenye bus la Nkana na wakaambiwa na uongozi wa Nkana kuwa kule kushangilia kulikuwa ni ushabiki uchwara tu na wao kama timu ya Zambia hawana jukumu la kulisha mashabiki wa kujitolea wa Yangu kwani walifanya vile kwa hiyari yao na hawakulazimishwa. Yanga wanalitia taifa letu haibu sana, yaani they are worse than Wagogo wa Stesheni na barabara ya Bibi Titi.
 
Nasikia mnaongoza dunian kwa kushabikia timu nyingi, mfano juzi kati mlishabikia mbabane, na nkana sasa bado kwenye makundi!
Pambaneni na hali zenu mfanye uchaguzi kwanza!
Mlikuwa hivyo miaka ile mitatu mkiwa porini. Ni kawaida au tumeanza sisi?
 
FB_IMG_1545584386501.jpg
poleni sana
 
Vyura wana uchungu wa kuzaa .Apigwe Nkana walie wao.Mtashangilia timu za nje na kila atayekuja atapokea bakora tu.
1.2 bilioni tayari.
 
The match was fabulous fantastic and Simba won only by chance, it was their day and we really tried harder, anyway we shall be proceeding to the confederation cup and thats our only desire.
Sorry for the fans who travelled all their way from Zambia, let's not lose hope, we shall make it next time.


Did you guys compensate Yanga and Azam fans? They went to the national stadium to support you guys hoping to get sacks of rice and flour to feed their hungry families.
 
Tuliwaambia hawakusikia. Nkana hayawahi kupona hapa Tanzania. Mara zote kapigwa 2 ,3 na leo 3-1.
Wakasema ohh ni historia.
This is SIMBA brother.
 
Tuliwaambia hawakusikia. Nkana hayawahi kupona hapa Tanzania. Mara zote kapigwa 2 ,3 na leo 3-1.
Wakasema ohh ni historia.
This is SIMBA brother.
Ulitaka tukwambie unashinda au?
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Back
Top Bottom